miaka 50

Fushigi Yūgi (Japanese: ふしぎ遊戯, lit. "Mysterious Game"), also known as Fushigi Yûgi: The Mysterious Play or Curious Play, is a Japanese shōjo manga series written and illustrated by Yuu Watase. It tells the story of two teenaged girls, Miaka and Yui, who are pulled into The Universe of the Four Gods, a mysterious book at the National Diet Library. It is essentially based on four mythological creatures of China. Shogakukan serialized Fushigi Yûgi in Shōjo Comic from December 1991 to May 1996 and later compiled the manga into eighteen tankōbon volumes.
Studio Pierrot adapted it into a fifty-two episode anime series that aired from April 1995 to March 1996 on TV Tokyo. The anime spawned three original video animation (OVA) releases, with the first having three episodes, the second having six, and the final OVA, Fushigi Yûgi: Eikoden, spanning four episodes.
A thirteen-volume Japanese light novel series, written by Megumi Nishizaki, followed Fushigi Yûgi. Shogakukan published the novels from January 1998 to September 2003. Watase also released two prequel manga series: Fushigi Yûgi: Genbu Kaiden, which ran from March 2003 to February 2013, and Fushigi Yûgi: Byakko Senki, which began serialization in August 2017.
In North America, Viz Media licensed the manga series for an English-language release in 1999. The anime series was first licensed by Geneon Entertainment and re-licensed by Media Blasters in 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Binadamu ambaye hajaoga kwa miaka 50 afariki akiwa na miaka 94

    Amou Haji aliyetajwa na vyombo vya habari kuwa "mtu mchafu zaidi duniani" amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 94, ikiwa ni miezi michache tu baada ya kunawa kwa mara ya kwanza katika miongo kadhaa. Amou alikuwa amekataa kutumia sabuni na maji kwa zaidi ya nusu karne, akihofia ingemfanya...
  2. Mr Pixel3a

    Siioni Yanga ya enzi za Nyerere ikijirudia kwenye Ligi ya Mabingwa CAF kwa miaka 50 mbele

    Ukitizama kwa mbali unaona Yanga (Utopolo) malengo yao ni kuifunga Simba tu, ukisogea karibu kumbe ni kweli bwana! Wakati timu za Afrika zikiweka malengo Ligi ya Mabingwa Afrika na Shirikisho, wao Yanga wamewekeza akili zao Derby ya Watani😅 . Inajithibitisha usajil wa hovyo kuikomoa Simba...
  3. BARD AI

    UTAFITI: Kuna ongezeko kubwa la wenye chini ya miaka 50 kuugua Saratani

    Je, ni uchaguzi wa mtindo wa maisha au teknolojia bora ya uchunguzi? Kulingana na utafiti mpya, vijana wengi zaidi duniani kote walio chini ya umri wa miaka 50 wanagunduliwa kila mwaka na Saratani inayoanza mapema. Dk. Suneel Kamath, kutoka Kliniki ya Cleveland alisema, "Hivi ndivyo ninavyoona...
  4. T

    Je, umewahi kujiuliza Tanzania itakuwa wapi kisiasa na kiuchumi miaka 50 ijayo?

    Huu ni utabiri anaye taka abishe anaye kubali akubali. Yapo mambo mawili makubwa yatatokea kwenye kipindi cha miaka 50 kutoka sasa. Jambo la kwanza ambalo tutaliona ktk kipindi cha miaka 50 kutoka sasa litategemea na utashi wa kisiasa chini ya serikali ya ccm. Ikiwa ccm atakuwa na ndoto...
  5. presider

    Natafuta mwanamke Mtu Mzima kuanzia miaka 50 had 70

    Ninatafuta Mwanamke Mtu mzima wa kuwa naye Rafiki na kushauriana mambo mbali mbali ya Maisha. Mimi n kijana wa Miaka 40, Mrefu, Mweusi Mcheshi. Nipo Dar es salaam Tabata. Nitafute kwa kwa 0693 296 809
  6. EINSTEIN112

    Viongozi wa G7 washerekea miaka 50 ya USHOGA

    Pro NATO mambo yenu ya usagaji na kufirana haya
  7. L

    Heshima kwa bibi Tu Youyou aliyefanikiwa kuvumbua dawa ya kutibu malaria ya Artemisinin miaka 50 iliyopita

    Leo tarehe 25 Aprili ni Siku ya Malaria Duniani. Kwa maelfu ya miaka, vita vya binadamu dhidi ya malaria havijawahi kukoma. Katika miaka ya 1960, Bibi Tu Youyou na timu yake hatimaye walivumbua artemisinin yenye ufanisi wa kutibu malaria baada ya kuchunguza mamia ya dawa za jadi za Kichina...
  8. Camilo Cienfuegos

    Miaka 50 baada ya kifo cha Karume, ni nani haswa alimuua Karume?

    Tukiwa tunaadhimisha miaka 50 baada ya kifo cha Abeid Karume, sasa tujiondoe kwenye jela ya fikra, ni nani haswa alipanga mipango na kumuua Karume? Uzi tayari. Karibuni kwa mjadala... Cc: johnthebaptist
  9. Linguistic

    Rais Samia kuhudhuria sherehe za kutimiza Miaka 50 ya kanisa Katoliki Jimbo la Ngara

    Wakuu After 6 years Tz Utakuwa kama Ulaya. Wakuu Leo Chief Hangaya anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kwenye sherehe za Kutimiza Miaka 50 ya Jimbo Katoliki Rulenge - Ngara -Kagera. Ànatarajiwa kutua Uwanja wa ndege wa Chato(Chato Airport) kuanzia muda wa sa 5 asubuhi kwa Saa za Afrika Mashariki...
  10. Mohamed Said

    Miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika1961: "Uamuzi wa busara" kitabu kuadhimisha miaka 50 ya kura tatu 1958

    MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA 1961: "UAMUZI WA BUSARA" KITABU KUADHIMISHA MIAKA 50 YA KURA TATU 1958 Utangulizi Kitabu hicho hapo chini, "Uamuzi wa Busara," mwaka nilikiandika mwaka wa 2008 kwa shinikizo kutoka Abantu Publishers, Nairobi wakitaka pawepo kitabu kitakachokuwa kama rejea la...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Natabiri miaka 50 ijayo watoto wengi hawatawapenda Mama zao. Upendo utarudi Kwa Baba

    Bila Shaka muwazima! Kama kichwa kinavyoeleza hapo. Natabiri miaka 50 ijayo wamama wengi watachukiwa na watoto wao wa kuwazaa. Ule upendo wa mtoto Kwa mama utafutika. Chuki itatawala. Upendo watauhamishia Kwa Baba zao ambao hata hivyo Kwa bahati mbaya hawatakuwa Baba wazazi isipokuwa Baba...
  12. S

    Kutairiwa mtu wa miaka 50

    Ndugu zangu naomba kujuzwa Kuna madhara yeyote ya kufanya tohara kwa mtu wa umri wa miaka 50? Kuna kikwazo chochote kwa hospitali kufanya hivyo? Kuna doctor anayeweza fanya hivyo kwa usiri ukizingatia umri huo? Nawakilisha.
  13. F

    Tanzania imerudi nyuma miaka 50

    Tanzania ya leo kila maskini anavojaribu kupambana anarudishwa nyuma kwa ngumi na mateke. Leo hii vigezo vya kupata mkopo havieleweki, mtoto amesoma kayumba, kaenda sekondari ya kata, kaenda A level ya kata iliyopandishwa daraja. Kafaulu kwenda chuo, ananyimwa mkopo eti kwa sababu wazazi wake...
  14. L

    Wachina wajivunia utaifa na uzalendo, miaka 50 baada ya kurejeshewa kiti halali cha China katika Umoja wa Mataifa

    NA CAROLINE NASSORO Wananchi wa China wamevamia mitandao ya kijamii wakitoa heshima kwa mashujaa waliojitoa mhanga kwa ajili ya amani na ustawi wa taifa hilo, na pia kwa China kujitolea kulinda utaratibu wa kimataifa na amani ya dunia. Hayo yamefanika wakati wa kumbukumbu ya miaka 50 tangu...
  15. L

    China yaadhimisha miaka 50 tangu kurudishiwa kiti chake kwenye Umoja wa Mataifa

    Leo China inaadhimisha miaka 50 tangu irejeshewe kiti chake halali kwenye Umoja wa Mataifa. China inaadhimisha siku hii wakati ikikumbuka safari yake hadi kurudishiwa kiti chake, na mchango iliotoa kwa Umoja huo na uwajibikaji iliounesha. Ikumbukukwe kuwa Umoja wa Mataifa ulianzishwa kwa lengo...
  16. Ignatus Mkonga

    SoC01 Mambo Yatakavyo Kuwa Miaka 50 Baadaye

    Mambo yatakayokuwepo miaka 50 Baadae. Inasikitisha kufahamu ya kwamba mambo yatakayokuwepo miaka 50 ijayo ni matokeo ya yale yanayofanyika leo. Je ni mambo yapi yatakayokuwepo miaka 50 ijayo? Picha 📸 : Google Habari mpendwa, Naitwa Ignatus John Mkonga, ungana nami katika makala hii. Dunia...
Back
Top Bottom