miaka 60 ya uhuru

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwande na Mndewa

    UTV: Mjadala miaka 60 ya uhuru wa Tanzania

    MJADALA MIAKA 60 YA UHURU WA TANZANIA,UTV "Namuona Rais John Magufuli kama Mwalimu Julius Nyerere wa pili,kwa nini nasema hivi kwa sababu alikuwa na kila kitu alichokuwa nacho Mwalimu Julius Nyerere,alikuwa na uthubutu,Mimi mbele yangu nimeona akikataa hela za wenye hela zao akiwaambia sina...
  2. B

    DC Mwenda awafunda vijana jinsi miaka 60 ya uhuru uchumi wa Tanzania ulivyobadilika

    DC MWENDA AWAFUNDA VIJANA JINSI MIAKA 60 YA UHURU UCHUMI WA TANZANIA ULIVYOBADIRIKA Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru mkoani Singida vijana wamefanya Kongamano Vijana na wametakiwa kuenzi miaka 60 ya uhuru wa Tanzania bara na miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanziba kwa kuangalia mabadiliko katika...
  3. Erythrocyte

    Diaspora waanza kupanda ndege ili kuwahi Kongamano la miaka 60 ya Uhuru lililoandaliwa na CHADEMA

    Mmojawapo ni huyu anayeitwa Rehema Mugogo , ambaye tayari ana tiketi mkononi ili kuwahi Kongano hilo lililo gumzo kote duniani , litakalofanyika kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chadema , Kinondoni nje ya Jiji la Dar es Salaam .
  4. Mohamed Said

    Miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika1961: "Uamuzi wa busara" kitabu kuadhimisha miaka 50 ya kura tatu 1958

    MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA 1961: "UAMUZI WA BUSARA" KITABU KUADHIMISHA MIAKA 50 YA KURA TATU 1958 Utangulizi Kitabu hicho hapo chini, "Uamuzi wa Busara," mwaka nilikiandika mwaka wa 2008 kwa shinikizo kutoka Abantu Publishers, Nairobi wakitaka pawepo kitabu kitakachokuwa kama rejea la...
  5. IslamTZ

    Uchambuzi: Ambacho Watanzania hatutajifunza miaka 60 ya uhuru

    ABUU KAUTHAR Moja ya msingi mkuu wa demokrasia ni mamlaka kwa umma. Ina maana, mamlaka yapo kwa wananchi ambao wamekasimu madaraka kwa viongozi waliowachagua katika uchaguzi huru na wa haki ili kutenda kwa niaba yao. Nchi ambazo mamlaka hayatoki kwa wananchi ikiwemo zile zinazoongozwa na...
  6. ZINDAGI

    Sherehe za miaka 60 ya Uhuru, Temeke mmejipangaje?

    Naandika haya nikiwa napita jirani kabisa na uwanja wa Uhuru (Uwanja wa Taifa), naona vikosi vya ulinzi na usalama vikijtaarisha kuanza mazoezi ya gwaride na mambo mengine, vijana wa halaiki nao hawajaachwa nyuma, naona kundi kubwa linaingia. Ama kwa hakika kwa maataarisho haya, tutegemee...
  7. Mohamed Said

    Miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika: John Rupia katika kamati ya mapendekezo ya katiba ya Tanganyika 1950

  8. Mohamed Said

    Miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika 1961: tunamuenzi John Godfrey Rupia (1904 - 1978)

    MIAKA 60 YA UHURU WA TANGANYIKA 1961: TUNAMUENZI JOHN GODFREY RUPIA (1904 - 1978) Wajukuu ni watamu kuliko wana uliozaa mwenyewe. Huwezi kujua ukweli wa maneno haya sharti upate mjukuu. Wajukuu na wao wana mapenzi na babu na bibi zao kushinda wanavyowapenda baba na mama zao. Nimemjua Joyce...
  9. Mohamed Said

    Miaka 60 ya uhuru: kwa nini tumewasahau mashujaa wetu?

  10. Richard

    Ujerumani kuwa na Serikali mseto, vyama vyote yakubaliana Scholz kuwa Kansela, Tanzania bado hizi ni hadithi miaka 60 yaenda ya uhuru

    Chemba ndogo ya bunge au "Lower House" ya Ujerumani imepitisha kwa pamoja uamuzi wa kumfanya bwana Olaf Scholz kuwa Kansela mpya wa Ujerumani. Vyama vya SPD cha Scholz, Green na FDP kwa pamoja leo asubuhi hii vimemuidhinisha bwana Olaf Scholz kuwa kansela mpya na kuondpoa uhafidhina wa chama...
  11. Mohamed Said

    Miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika: Historia ya Ali Asham na Julius Nyerere 1954

Back
Top Bottom