michezo ya utotoni

  1. Mtoa Taarifa

    Ulikuwa Bingwa wa Michezo ipi Utotoni?

    Ifahamu michezo asilia ya watoto inayotambulika katika Lugha adhimu ya Kiswahili 1) Kombolela 2) Mdako/nakwa 3) Rede 4) Nage 5) Tobo 6) Saga koboa 7) Ukuti ukuti 8) Kinyulinyuli 9) Visoda 10) Kula mbakishie baba Itaendelea...
  2. D

    Tukio gani uliwahi kufanya enzi za utoto wako hata wazazi/walezi wako hawalijui?

    Poleni na majukumu ya hapa na pale. Nisiwachoshe kama mada inavyosema ni tukio gani ulifanya kwenye utoto wako hata familia yako haijui mpaka leo. Mimi naanza nakumbuka kipindi nipo darasa la tano nilikuwa nasoma mkoa X kati ya wale Watoto ambao tulikuwa na akili nilikuwa mmoja wapo nilikuwa...
Back
Top Bottom