michongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Action and Reaction

    Jr. Farhan wa clouds fm mchambuzi wa michongo!

    Ndugu wananzengo mchumbuzi huyu sikuiz kashalevuka maana hana fact bali kajawa na mihisia kama ya mwanamke, leo ni siku aliyoipanga kwajili ya kimuinua mpuuz Zaka za Makazi ... dadeki eti hakuna afisa habar Tanzania kama wa Icecream Yaan unatuhamasisha twende tukafollow lipage la Kazikazini...
  2. B

    Spika Ndugai kaa na Mama Makinda akufunde, hukufundika vyema

    huyu jamaa siku hizi kama simwelewi yupo upande upi, inaonesha wakati anakabidhiwa usipka hakupata shule ya kutosha kabisa kutoka kwa bi mkubwa Makinda. mfano angalia hapo chini kauli 2 tofauti za JOB Ndugai 1: Bunge tunakupongeza Rais Samia kutuletea mkopo Trillion 1.3, hii ni boost kubwa...
  3. IslamTZ

    Tuwasemee na wale wengine wanaoozea mahabusu kwa 'ugaidi wa michongo'

    Mimi ni katika watu waliosikitishwa sana na kesi ya ugadi aliyobambikiwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe. Hii inaonesha suala la haki za raia lina mushkili sana. Fikiria kama inaweza kufanyika hivi kwa mtu mkubwa kama Mbowe, vipi hali zetu sisi wa kawaida? Hata hivyo, wakati tukishinikiza...
  4. N

    Shahidi wa michongo Afande Jumanne kuja na jipya lipi leo?

    Tunaona kila kitu kinavyoenda na kwa kweli sio mbaya kabisa kwani Mbowe akifungwa itakuwa ni chachu Zaidi ya mapambano kwani very soon we will see the right light! Leo Shahidi wa michongo Afande Jumanne anakuja kuendelea kutoa ushahidi wake wakati hata yeye anajua fika kuwa yeye ni Shahidi wa...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    PhD ya michongo ni kubwa zaidi ya PhD ya darasani

    PhD. YA MICHONGO NI KUBWA KULIKO PhD YA DARASANI. Na. Robert Heriel. PhD ya michongo ni degree ya heshima ambayo mtu hafundishwi na mtu isipokuwa maisha. Mkufunzi mkubwa wa PhD ya michongo ni maisha, PhD hii ina coursework na thesis papo hapo Kwa pamoja. Ogopa mtu mwenye PhD ya michongo huyu...
  6. T

    Kisiasa, kisheria nini maana ya neno 'MICHONGO'?

    Mara nyingi nilikuwa nasikia kwa vijana vijiweni Luna mchongo pale. Nikaja kusikia mgombea Fulani anawambia vijana nitawapa michongo. Jana nimesikia mahakamani Michongo. Nini maana halisi ya neno Michongo? Je, ina athali kisheria kutumia neno hilo kwa shahidi awapo mahakamani?
  7. Mtamba wa Panya

    Uzi wa kupeana michongo ya 'kuzamia' nchi za ng'ambo

    Habari, Huu ni uzi wa vijana tunaopenda safari, namaanisha kuzamia nchi za Ulaya na America bila kusahau Japan na Australia. Lengo Ni kusaidiana kama watanzania ili kuwezesha wengi zaidi kutimiza ndoto zao za kuishi "mambele mbele" a.k.a duniani.. Tuambie upo chimbo gani na taratibu za...
  8. jitombashisho

    Uchaguzi 2025 itakuwa ni CCM na kivuli cha Hayati Magufuli

    Kama lipo eneo Magufuli aliwa-win wabongo ni kuwaaminisha kwanza Tanzania ni Nchi tajiri huko akitolea mifano akiba ya rasilimali tulizonazo na zaidi akiwaachia uhuru usiyo na mipaka walalahoi kufanya lolote lile wanalotaka huku akitoa amri ya wasifanywe lolote. Rejea machinga. Sasa,kwa...
  9. MUTUYAMUNGU

    Mliopo Mafinga tupeane michongo ya kazi za viwandani

    Ndugu zetu mliopo Mafinga tunaomba mtupe connection ya kazi za viwandani huko. Mtuambie viwanda vilivyopo na malipo yake kwa kila kiwanda. Pia kama nafasi zipo tunaomba mtushirikishe na sisi. Huku mjini njaa ni kali sana.
  10. k-bee

    Vijana tupeane michongo

    Habari gan wadau? Kitambo nlipotea ila nilikuwa na michongo flan naipiga so nlikuwa bize kidogo...! Tatizo la VIJANA sisi ni wagumu kupeana michongo. Ni hivi kuna ishu kama mbili tatu nlikuwa nazifanya ambazo now napiga mpunga tararibu ISHU hizo ni kama zifuatazo 1) FOREX...Ni kweli sema...
  11. I

    Tupeane michongo ya machimbo ya Dayworker viwandani Dar es salaam

    Ha
  12. E

    SoC01 Unatafuta "Connection"? Hizi ni mbinu tano (5) za kijanja na akili zitakazokusaidia kupata "Connection" ya kazi

    Na Elivius Athanas. 0745937016. Tatizo "connection" umekuwa ni wimbo ambao unaimbwa na vijana wapambanaji wa mtaani, wahitimu wa vyuo, wasanii na watu mbalimbali kuwa ni moja ya kikwazo kinachowachelewesha wao kupata kazi au kufanikisha jambo fulani. Ni kweli kuwa "connection" ina mchango...
  13. De Rabbits slick

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    Habari nimeamua kuadika uzi huu kwa lengo la kusaidiana hasa kwa wale pata shida kwa kukosa ajira na kuishi kulimbikiza stress kichwa na wakti mwingine kufikia kujiwazia mabaya katika maisha yao. Hivyo bhasi niombe wanzengo kama kuna mwenye mchongo wowote ilhali ni salama na usio kinyume sheria...
  14. G

    SoC01 Sera na Sheria za Tanzania inavyowanyima Vijana Michongo

    Mifano ya sera na sheria za tanzania zinavyowanyima vijana wengi michongo. # Mashariti ya kumiliki na kusajili maudhui ya mtandaoni( Youtube channels, Blog, website, etc) Chanzo: https://www.tcra.go.tz/uploads/documents/sw-1619110553-The Regulator Special Edition.pdf Ni vijana au...
  15. simba wa dodoma

    Jamani mnaingizaje hela kwa siku? Tupeane hiyo michongo

    Mambo vipi wadau, Mimi kijana nafanya kazi sehemu moja ila mshahara wangu mdogo ila unagawanyika sana naona kabisa mshahara haujitoshelezi. Nimeandika huu uzi kwa wale wajanja mjini tupeane basi code nasi tufanye hizo harakati tutoboe wote maisha kiukweli hela ya kutegemea mshahara ni mateso...
Back
Top Bottom