microsoft

  1. G

    Urgent: Naomba yoyote mwenye programu ya Microsoft project anisaidie kuipata

    Salamu wakuu. Ninahitaji hii program niiweke kwenye PC yangu. Kwa yeyote aliyenayo kuanzia version ya 2016 mpaka 2021 naomba aje pm. Nipo hapa dar es salaam na nitatoa angalau shukrani.
  2. NetMaster

    Epuka windows iliyochakachuliwa inayoweza kuwa na virusi au matatizo, piga windows original na kui activate kwa njia salama

    Kuna hizi windows za kudownload kutoka mitandaoni hususan kwenye torrents huwa zimekuwa cracked, pre activated na nyingine zipo modded Ndizo windows ambazo wengi hutumia hapa bongo sababu kuu ni kukwepa gharama ya window original, bei imechangamka inafikia takribani laki 3, hata baadhi ya ofisi...
  3. BARD AI

    Australia: Sheria ya Usalama wa Mitandao kuzibana Apple, Meta na Microsoft

    Kampuni za #Meta (Facebook), #AppleInc na #Microsoft zimeandikiwa barua ya kutakiwa kushiriki mikakati ya kukomesha unyanyasaji wa watoto kwenye majukwaa yao vinginevyo yatapigwa faini. Idara ya Usalama wa Kielektroniki imesema kwa mujibu wa sheria mpya za Mitandao zilizoanza kutumika Januari...
  4. L

    Internet Explorer ya Microsoft inafungwa kabisa kuanzia tarehe 15 mwezi Juni

    Internet Explorer ya Microsoft inafungwa kabisa kuanzia tarehe 15 mwezi Juni.
  5. Influenza

    Kenya inatuzidi wapi Tanzania? Baada ya Microsoft na Visa kufungua vituo vyao Nairobi, Google nayo yasema inafungua kituo chake nchini humo

    Google imetangaza kuzindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi, ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika, ili kujenga bidhaa na huduma za "mabadiliko" kwa soko la Afrika na ulimwengu. Haya yanajiri baada ya kampuni hiyo kubwa ya teknolojia kufichua mipango ya kuwekeza dola bilioni 1...
  6. Meneja Wa Makampuni

    Barua za kuomba ajira za TRA utumishi tunaandika kwa mkono au Microsoft Word?

    Marafiki naomba kuuliza. Hivi barua za kuomba ajira za TRA utumishi tunaandika kwa mkono au Microsoft Word?
  7. MK254

    Microsoft opens multi-billion tech talent hub in Kenya

    Ndio umuhimu wa kuwa nchi yenye watu wenye akili kubwa, nchi yako inachaguliwa kwenye kila uwekezaji unaohitaji matumizi ya ubongo. ======== American tech firm Microsoft has opened a new Sh3 billion ($27 million) office and labs for its premier engineering hub, the African Development Centre...
  8. Orketeemi

    Microsoft office ipi ni bora zaidi?

    Wakuu salama? Naomba kujuzwa ni Microsoft office ipi ni bora zaidi? Ikiwezekana nisaidie na link ya kuipata. Shukrani
  9. Mathanzua

    Bill Gates had a video game created for microsoft windows called ‘omikron’

    IS ANY ONE EALLY SURPRISED THAT BILL GATES HAD A VIDEO GAME CREATED FOR MICROSOFT WINDOWS CALLED ‘OMIKRON’ IN 1999 ABOUT DEMONS HARVESTING SOULS? The 1999 Microsoft video game Omikron continues to go viral on social media amid the new Omicron strain and people have a lot to say about it on...
  10. Albert Einstein

    Msaada kwa watumiaji wa Microsoft Word au Any text editing software

    Mimi ni mwandishi mchanga wa vitabu, nimekutana na hii document somewhere; naomba kuuliza kwa Anayefahamu jina la font hizo kwenye picha hii
  11. M

    Imekaaje Bill Gates alivyofukuzwa Microsoft, kampuni aliyoianzisha mwenyewe?

    Inakuwaje wanaJF! Ni miezi michache mwaka huu tu ilikuja kugundulika kumbe Bill Gates alilazimishwa kujiuzulu kwenye board ya Microsoft na kujikita zaidi katika faundesheni yake na aliyekuwa mke wake Melinda. Sababu zenyewe za kumlazisha a jiuzulu ni nyepesi sana halafu za kipuuzi kwa mtazamo...
  12. R

    Kiswahili in microsoft office application

    Habari wadau Hivi nifanye nini ili niweze kuandika kisahili vzr katika Microsoft Office application km ms word nakadhalika ukidownloadi Kiswahili languange pack na ukiiweka humo bado maneno mengi hayamo je kuna extension yoyote inaweza kusaidia katika hili Natanguliza shukrani za dhati...
  13. M

    INAUZWA Microsoft surface

    p
  14. Kasomi

    Hizi hapa keyboard shortcut muhimu uzifahamu

    Important Shortcut Keys for Computer- CTRL+A. . . . . . . . . . . . . . . . . Select All CTRL+C. . . . . . . . . . . . . . . . . Copy CTRL+X. . . . . . . . . . . . . . . . . Cut CTRL+V. . . . . . . . . . . . . . . . . Paste CTRL+Z. . . . . . . . . . . . . . . . . Undo CTRL+B. . . . . . . . . . ...
  15. Bujibuji Simba Nyamaume

    Bodi ya wakurugenzi Microsoft kumchunguza Bill Gates kutokana na tuhuma za kutembea na mfanyakazi

    Bodi ya wakurugenzi Microsoft inachunguza tuhuma za Bill Gates kutembea na mfanyakazi wa kampuni hiyo miongo miwili nyuma. ======= The board used an external law firm for a ‘thorough investigation’ but did not reach a conclusion as Gates stepped down. Microsoft Corp. conducted an...
  16. teac kapex

    Coreldraw for microsoft surface GO

    Habari za leo wadau, naomba msaada wa software inayoendana na pc yangu, ninatumia Microsoft surface go yenye RAM ya gb 8 na proccesor ya Intel(R) Pentium(R) CPU 4415Y @ 1.60GHz 1.61 GHz, nahitaji Coreldraw yenye kuweza kuendana na mashine yangu au software nyingine nzuri itakayokubali kufanya...
  17. Mathanzua

    The C-19 shot is a Microsoft Windows 666 mRNA Opetating System(OS),it is not a vaccine

    COVID BOMBSHELL: mRNA vaccine injects an ‘operating system’ into your body called “The Software of Life.” by OurGreaterDestiny Thanks to http://thecontrail.com Comments by Brian Shilhavy Editor, Health Impact News Our first article of 2021 featured a video of an interview with Catherine Austin...
  18. Sam Gidori

    Mbinu za kutumia Windows 10 kwa ufanisi zaidi

    Whether you've been using Windows 10 for years or have only recently upgraded, there are plenty of new and old tips, tricks and hidden features to learn that will make using your laptop every day faster and smoother. Learning to be quicker and more productive on your laptop may be especially...
  19. Sam Gidori

    White House yataka taasisi kuchukua tahadhari baada ya Microsoft Exchange kudukuliwa

    Ikulu ya Marekani imeonesha wasiwasi wake baada ya shambulio dhidi ya huduma ya Exchange ya Microsoft ikitaka taasisi binafsi na za serikali zilizoathiriwa kuchukua hatua za haraka ili kuepusha madhara zaidi. Katika ujumbe wake kwa waandishi wa habari siku ya Ijumaa, Msemaji wa Ikulu ya...
Back
Top Bottom