Kama ilivyo wekwa bayana hapo awali.
Hakuna namna unaweza kumfunga Al Ahly kwake, tena kwenye game ya mtoano isitoshe zaidi kwenye michuamo ambayo bingwa anabeba pesa nyingi.
Tujipongeze kwa kushiriki, lakini hakuna timu ya kushindana.
Wenzenu Yanga wanajua namna ya kucheza games za mtoano...