Habari wakuu,
Katika harakati za kutafuta maisha nimeamua kufanya biashara ya kupika na kuuza mikate.
Kama mnavofahamu Mifuko imepigwa marufuku ,hivyo ili kufunga mikate inatakiwa ile Mifuko iliyopigwa Nembo ya muuzaji ya kuuza Mkate.
Nimejaribu kumuuliza Jamaa yangu yupo Dar es salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.