Ugomvi mkuu wa Wayahudi na Waarabu/Waislamu upo katika eneo la ukingo wa magharibi wa mto Yordan mahali ambapo pana miji tisa muhimu na mikongwe ya historia ya mababa wa Imani na manabii. Na miji hiyo ni Yerusalemu, Hebron, Bethlehemu, Yeriko, Rama, Nablus, Jenin, Qalqilya, na Tulkarm.
Leo...