Mikasa (三笠) is a pre-dreadnought battleship built for the Imperial Japanese Navy (IJN) in the late 1890s. Named after Mount Mikasa in Nara, Japan, the ship served as the flagship of Vice Admiral Tōgō Heihachirō throughout the Russo-Japanese War of 1904–1905, including the Battle of Port Arthur on the second day of the war and the Battles of the Yellow Sea and Tsushima. Days after the end of the war, Mikasa's magazine accidentally exploded and sank the ship. She was salvaged and her repairs took over two years to complete. Afterwards, the ship served as a coast-defence ship during World War I and supported Japanese forces during the Siberian Intervention in the Russian Civil War.
After 1922, Mikasa was decommissioned in accordance with the Washington Naval Treaty and preserved as a museum ship at Yokosuka. She was badly neglected during the post-World War II Occupation of Japan and required extensive refurbishing in the late 1950s. She has been partially restored, and is now a museum ship located at Mikasa Park in Yokosuka. Mikasa is the last remaining example of a pre-dreadnought battleship anywhere in the world.
Miaka hiyo nikiwa ni kijana mwenye nguvu, walikuja kijijini kwetu jamaa wawili wameongozana na MZUNGU. Muda wote MZUNGU yuko kimya tu, zaidi ya salamu yake ya Jambo Toto, hata wazee aliowakuta aliwasalimia hivyo.
Jamaa wakatoa photo album iliyokuwa na picha ya vitu kadhaa walivyokuwa...
😶🌫️ - hii inapiga chabo kwa dirisha
😩 - Iko kwenye sexy vile inaona raha
🏃 - imetoka fumaniwa na mke/mume wa mtu
😂 - inachekea salio jipya kwa m-pesa
😭 - inalia vile inamdanganya mtu kwenye mahuy
🤧 - imechapwa shule venye inarudi
😕 - hii mdada ilitumiwa pesa kwa makosa kabla ya kutoa...
Kutokana na uzi wa mkuu Nikifa MkeWangu Asiolewe nimevutiwa kuanzisha hii maada ili watu wengine wajifunze kwenye hii maada kua watu wanapambana usiku na mchana,
Upambanaji upo na watu wanapambana kufa na kupona ili waondokane na umaskini,
Kwenye upambanaji kuna mambo mengi Sana masaibu...
Aisee uyu mwamba ni hatari sikuizi haishiwi vituko
Week kadhaa uko nyuma nilipost umu aliniomba pesa sasa aumekuwa na muendelezo wa vibweka Sana
"Mfano number yangu anayo na Huwa ananipigia then siku moja asubhi akanipigia mchana nakutana na rafiki yangu ananiambia flani anataka number yako😁🙌"...
Kwako ndugu yangu, namshukuru mungu kwa aliekuchagua anajua makusudi yake
Hakika wananchi wameumia wanateseka sana na wahuni wapiga dili viwanja vya watu
Hawa wahuni wana channel ndefu sana naamini mungu amekuleta kuwasaidia wananchi. Naomba kama inawezekana uonnane na wananchi hata mara...
Wakaka njoeni hapa usishushe nguvu ya mwanamke kwenye kulipiza kisasi Cha mapenzi huwezi kujua atafanya nini.
Kuna mkaka mmoja alikuwa ameoa shida alikuwa anasaliti sana kwenye ndoa yake akitegemea mwanamke atamsamehe na kumpuuzia kumbe mke wake alikuwa hajasamehe usaliti aliofangiwa na mume...
Hii ilishawahi kukutokea? Na ulichukua hatuna gani?
Wadada Kwa wakaka itaneni hapa..
.
Ulishawahi kuwa kwenye mapenzi yenye Mikasa ya ajabu mara fumanizi na vitimbili vya Kila namna?
Hatari! Kuna rafiki yangu alipitia magumu kwenye mahusiano yake usaliti, vipigo, masimango na vitu kibao. Siku...
Shalom,
Siku hizi wanawake nao hawatunzi hisia za minyanduano. usipomcheki hakutafuti.
Huwa najiulizaga sana sipati majibu, shida ni mimi nina shoo mbovu kwa mademu zangu , ni mizimu haitaki au Mademu wanakunywa dawa za ganzi ili wasipate hisia za k.udumu tunapowapa shoo kali.
Kitu Cha ajabu...
Jamani kuna mijitu hapa Tanzania wanawake na wanaume ni mashetani hatari, kuna wasichana na wakaka , wadada , wamama, wababe kabla hawajalala husikilizia milango kupata picha maghetto yetu Yana me na ke ndani ili wasubirie chabo za kuona au kusikilizia miguno ya minyanduano.
Mashetani haya...
Habari za mapambano wana Jf?
Mimi ni kijana wa miaka 27 ni muhitimu wa chuo kikuuu x na nipo nasubili ajira. Na saivi najishughurisha na bodaboda pia nalima. Kuna ndoto inanijia mara kwa mara yaaani " naota nipo shule nafanya mitihani ambayo ni migumu ambayo simalizi, nyingine nipo kwenye...
Haikuwa kazi nyepesi kuigiza movie za Yesu. Songombingo lilianza katika ile scene ya msalabani. Scenes zote ilikuwa rahisi sana isipokuwa ile ya msalabani.
Kwenye ile movie ya mwaka 1979 ya Yesu iliyoigizwa na Decon, Brian Deacon anasimulia kwenye interview kuwa wakati wa scene ya msalabani...
Hello JF,
Baada ya uchovu wa mishe fupi za Leo, nikiwa nimepitiwa na usingizi ndani ya matako ya mjapani nikawaza msoto wa kufundishwa ujinga Calculus Algebra na Trigonometry, plus econometrics kwenye uchumi, nikawa nafananisha kazi niliotoka kuifanya na pesa nilizopata na aina ya msoto wa hizo...
Hapa wenye nguvu wadhalimu wanajipa vyeo kama wenye mam1aka katika nyanja zote za maisha, uungu ukiwemo, huku metha1i nzima ikionesha matajiri au wenye nguvu za kifedha na kimamlaka katika jamii kama wenye kinga dhidi ya adhabu zozote duniani na ahera licha ya maovu wayatendayo.
1. Nakumbuka...
Ukiweza jaribu kufanya tafiti wewe mwenyewe alafu uchague njia ya kwenda.
Dunia kwa sasa imekua kijiji, hasa kwa hii technology ya mawasiliano.
Katika mitandao ya kijamii kwa sasa utakutana na watu wanafundisha kuroga kabisa, kutumia majini na mafundisho ya ibada za kimiungu.
Mchaguzi wewe...
1. Naanza ona mikasa, yawezaleta balaa,
Viongozi wengi tasa, kwa hoja zisizo zaa,
Hasa kwa Wana siasa, wao ni kama tabia,
Wajifanya ni matasa, wafanyacho wakijua.
2. Ni kutafuta majanga, kuvunja mzinga nyuki hi,
Mambo tunayoyalenga, mbele yataleta chuki,
Badala sisi kujenga, wengi twatafuta...
Sikumfahamu, nilimuona ni mwanamke tu amekaa sebuleni, nilimsalimia na kuendelea na shughuli zangu naye aliniangalia bila kusema chochote, hivyo ndivyo nilivyokutana na mama yangu mzazi kwa mara ya kwanza,” anaanza kusimulia Afande Sele katika mahojiano maalumu na gazeti hili akiwa nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.