Mikasa (三笠) is a pre-dreadnought battleship built for the Imperial Japanese Navy (IJN) in the late 1890s. Named after Mount Mikasa in Nara, Japan, the ship served as the flagship of Vice Admiral Tōgō Heihachirō throughout the Russo-Japanese War of 1904–1905, including the Battle of Port Arthur on the second day of the war and the Battles of the Yellow Sea and Tsushima. Days after the end of the war, Mikasa's magazine accidentally exploded and sank the ship. She was salvaged and her repairs took over two years to complete. Afterwards, the ship served as a coast-defence ship during World War I and supported Japanese forces during the Siberian Intervention in the Russian Civil War.
After 1922, Mikasa was decommissioned in accordance with the Washington Naval Treaty and preserved as a museum ship at Yokosuka. She was badly neglected during the post-World War II Occupation of Japan and required extensive refurbishing in the late 1950s. She has been partially restored, and is now a museum ship located at Mikasa Park in Yokosuka. Mikasa is the last remaining example of a pre-dreadnought battleship anywhere in the world.
Wakuu sana pokeeni salamu zangu.
Naomba leo nisimulie visa viwili vya kusikitisha ambavyo niliwahi kushirikishwa na rafiki zangu kwa nyakati tofauti.
KISA CHA KWANZA:
Huyu ni rafiki yangu kipenzi sana, na naomba nimpe jina Tonia (jina sio halisi)
Tonia nilikutana naye katika mazingira yangu...
Maisha ni safari ndefu yenye vikwazo na changamoto nyingi, wakati mwingine unaweza kusema maisha hayana raha na Kama ipo ni kidogo Sana.
Hauta sahau nini katika maisha yako?
Kwema Wakuu!
Nimesoma Uzi wa member mmoja humu kuhusu adhabu za matofali wapewazo wanafunzi nikakumbuka miaka nikiwa nasoma.
Shule bila adhabu inakuwa ya kiduwanzi kichizi. Yaani inakuwa ya kimama. Raha ya shule iwe na hekaheka bhana! Yaani shule Kama ipo na Kuku WA broiler.
Shule gani haina...
Kama sinema vile madege ya Ethiopian airlines hutua viwanjani kwa hisia huku yamebeba abiria:
Ethiopian Airlines Airbus A350 Suffers Wing Tip Strike During Landing
Mtu anaweza vipi tua dege kwa kusikiliza wazimu wake tu?
Siyo case 1 bali ni case baada ya case na katika kipindi kifupi.
Haya...
HII MIKASA YA MOTO KIPI KIMEJIFICHA?
Ajali haina Kinga na ajali Ni suala la kawaida Wala haishangazi sana Bali kujirudiarudia kwa majanga ya kufanana kila mwenye akili timamu huzama katika fikra.
Katika hali isiyo ya kawaida, majanga ya moto yakigusa maeneo maalumu yametamalaki kwa kipindi cha...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ndugu zangu bila shaka mwenyezimungu anaendelea kutupigania hadi sasa.
Ndugu leo naona nilete story kidogo kuhusu safari yangu moja hivi nchini DRC mikasa na visa mbali mbali kwa kipindi chote cha safari wakati napambana na maisha kwenye...
Habari wana JF,
Nimekua nikisikia kwamba barabarani Kuna vitimbwi vya mauza uza nikawa siamini, sasa ni juzi nilikua natoka Arusha kuelekea Kibaha. Nilifika sehemu jina silifahamu, ni kijiji baada ya kutoka Mombo.
Ni kwamba nikiwa kwenye mwendo alitokea mtu upande wa kushoto akawa anaingia...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Karibuni tena.
Kwa tahadhima, ninaomba nijibu mahitaji ya watu juu ya mfululizo huu wa 'nyuzi' za visa vya filamu kwa kutuma uzi huu wa tisa sasa kwa mfululizo.
Nakiri ni muda sasa lakini natumai hakuna kilichoharibika. Kwa 'weekend' hii...
PART I
Katika harakati za kutafuta maisha kuna mengi sana ambayo wanaume tunapitia. Leo ntawaelezea visa na mikasa ambayo nlipitia toka nimemaliza kidato cha nne mwaka 1995. Mambo haya yametokea nikiyaona na pia nikihusika.
Mimi ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto 7. Nikiwa na dada...
Ni siku ya Pili sasa nipo Tanga na hapa leo nimekutana na jambo la kushangaza sana. Nikiwa nmepark gari wanaosha nikaona ni vyema nikae sehemu nipate Dafu pia na kubadilishana mawili matatu na wenyeki kwenye Bench wakicheza Draft.
Hii dunia imejaa visa,mikasa,vioja na maajabau yake.kuna mambo...
Niaje Wadau wa JamiiForums
1. Jamaa akiwa na demu wake wakiwa wameshikana mikono, mara ikapita njemba nyingine paap kuangalia demu ya jamaa imeshona tako balaaa, si jamaa kaona mwenzake anafaidi, basi akajongea akamminya yule demu wa jamaa tako.
Jamaa akakubaliana na matokeo mana njemba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.