mikopo kwa vijana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dkt. Dugange: Umri wa mikopo kwa vijana umeongezwa hadi miaka 45

    Dkt. Festo John Dugange, Naibu Waziri TAMISEMI "Mikopo ya asilimia 10 inatolewa kwa makundi maalum ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kupata mikopo isiyo na riba. [..] Aidha, umri wa ukomo katika mikopo kwa vijana umeongezwa kutoka miaka 35 hadi miaka 45."
  2. RC Chongolo: Vijana msitumie mikopo mnayopata kutoka halmashauri kulipa mahali

    Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo amewataka Vijana kutotumia fedha wanazokopeshwa na Halmashauri kulipia mahari badala yake wafanyie shughuli za maendeleo akieleza kuwa Wanawake wamekuwa waaminifu kurejesha fedha hizo za asilimia 10 zinazotolewa na Halmashauri kuliko Vijana wa Kiume. RC...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…