mikosi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mivyumba

    Kuna watu mnasababisha mikosi kwenye ndoa na familia

    Kuna wanaume baadhi huwa wanajiona wanaakili sana, kumbe ndiyo chanzo cha wao kuleta uharibifu kwenye familia zao. Hofu ya Mungu isipotawala ndani yako, vitu kama hivi ndiyo huwa vinafanyika! Naomba usome hiki kisa👇👇👇👇 Wamama nimekuta sms mchepuko anamtumia mume wangu nanukuu, "Baby vipi...
  2. sky soldier

    Kabila lako bado mnaendelea kufanya matambiko ama mmeikacha asili yenu? Tambiko lenu hufanyikaje liwe la upatanishi, kufukuza mikosi, msamaha, n.k

    kabila hutambuliwa kwa Lugha, Mila, Miko, Majina na matambiko , hapa tutagusia matambiko .... Hakuna mtanzania asiye na tambiko, kila kabila alilotoka lina tambiko lake . yapo makabila ambayo.97% ya kabila hilo ni wakatoliki lakini matambiko ya kiukoo yanaendelea na wazee wamila...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Usipokuwa makini Unaweza pata Mikosi, mabalaa na magonjwa Chooni!

    USIPOKUWA MAKINI UNAWEZA KUPATA MIKOSI, MABALAA NA MAGONJWA YA AJABU CHOONI! Anaandika, Robert Heriel Moja ya dalili ya mtu mwenye akili ni kujua kutofautisha vitu visafi na vichafu, vitakatifu na Najisi. Ikiwa mtu yoyote atashindwa kutofautisha vitu hivyo basi ni kiashiria kuwa ni...
  4. M

    Lifanyike tambiko kuondoa mikosi inayoliandama taifa letu

    Mababu zetu walikuwa wanajali sana masuala ya muhimu hasa linapokuja suala la kuondoa majanga katika jamii. Ilikuwa ikikosekana mvua na dalili za ukame kuwepo mababu zetu walifanya makafara na mizimu iliweza kulinda taifa letu. Sasa hivi kuna balaa la ajali limeandama taifa letu. Hapa...
  5. Restless Hustler

    Ni kweli kwamba nisipoenda kuyasafisha makaburi ya wazazi na mababu nitapata laana au mikosi kwenye kazi zangu?

    Habari za muda huu! Kufuatia uzi wa tycoon wa fasihi ndugu ROBERT HERIEL alioeleza sababu za watu wengine kuishi umri mrefu na wengine umri mfupi, kuna nukta alieleza kwamba tunapaswa kuwaheshimu wazazi hata kama mameshakufa! Na akaeleza kwamba tutawaheshimu kwa kutembelea makazi yao(...
  6. Mayunga234

    Tendo la Ngono linabeba bahati, mikosi na hata laana za watu

    Tendo la ngono linabeba bahati, mikosi na hata laana za watu unaolala nao usipokuwa makini unaumia. “Kuna mwanamke/Mwanaume ukilala naye bahati zinakutembelea na Kuna mwingine, utajuta” “Kuna watu wana laana za ukoo ukilala nae na wewe unazibeba mikosi inaanza” “Kabla hujalifanya tafakari...
  7. Evvy jr

    Mikosi au wakati wetu haujafika?

    Q
  8. mfate42

    Kuna wanawake wana mikosi na wengine baraka?

    Habarini ndugu zangu. Leo usiku huu nimeona nije na hii mada ambayo imenikulupusha kwenye usingizi..je, Ni kweli Kuna baadhi ya wanawake wana mikosi na wengine wana baraka?..kwa mfano nna jamaa yangu alipooa tu,. baada ya miez miwili kupita akafariki kwa ajali.. Pia nna mwingine ye baada ya...
  9. Samcezar

    Kwanini watu wengine huwa na mikosi katika mahusiano?

    Habarini. Kuna ile hali ya baadhi yetu, huwa katika kila mahusiano mapya unaingia unajikuta hayadumu hata ukijitahidi kuwa vizuri maeneo muhimu. Na hata ukijituma bado utajikuta ndani ya huo uhusiano amani inakuwa haipo na utulivu unakosekana. Mojawapo ya sababu ni mahusiano tuliyokuwapo awali...
  10. sherberry

    Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

    Heshima kwenu wakuu. Kuna hii dhana ya matumizi ya chumvi kuondoa mikosi katika maisha, hivi hii kitu ni kweli na inafanyaje kazi niliona sehemu watu wakitoa ushuhuda kuhusu wao kuchoma chumvi na ikawatendea kama vile walivotamani iwe. Nawasilisha na natamani kujua kama ni kweli.
Back
Top Bottom