NDOA NI AGANO LA MILELE
Neno la Mungu linasema,
MATHAYO 19:3-12
"Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu, wakimwambia, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe kwa kila sababu?
Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
Akasema, Kwa sababu hiyo...