The Six Million Dollar Man is an American science fiction and action television series, running from 1973 to 1978, about a former astronaut, USAF Colonel Steve Austin, portrayed by Lee Majors. After a NASA test flight accident, Austin is rebuilt with superhuman strength, speed, and vision due to bionic implants and is employed as a secret agent by a fictional U.S. government office titled OSI. The series was based on Martin Caidin's 1972 novel Cyborg, which was the working title of the series during pre-production.Following three television films intended as pilots, which all aired in 1973, The Six Million Dollar Man television series aired on the ABC network as a regular episodic series for five seasons from 1974 to 1978. Steve Austin became a pop culture icon of the 1970s.
A spin-off television series, The Bionic Woman, featuring the lead female character Jaime Sommers, ran from 1976 to 1978. Three television movies featuring both bionic characters were also produced from 1987 to 1994.
Historia ya Cde Bakari inaendelea kumtafuna kwa alikotoka na ambako yupo. Alipokuwa kwenye sekretarieti kama katibu wa vijana Simanjiro alikuwa kikwazo sasa kwa wilaya ya Missenyi ndio kawa kikwazo kabisa kama bosi wa chama. Ndugu Katibu Mkuu najua utakuja Missenyi ila naomba kabla hujafika...
Baadhi ya wanawake katika mtaa wa Maramba Mawili kata ya Msigani katika manispaa ya Ubungo wanalazimika kupitia kwa kutambaa katika kivuko kinachotenganisha mtaa wa Zebra na Azimio kufuatia kivuko hicho kutokuwa salama wakati wa kuvuka
Inaelezwa kuwa hali hiyo wamedumu nayo kwa zaidi ya...
Umoja wa Mataifa unaoshughulika na Idadi ya Watu ‘UNFPA’ umesema wasichana milioni 12 duniani huolewa kabla ya kufikisha miaka 18 hali inayowaweka katika manyanyaso na hatari ya magonjwa
Vifo vya uzazi vimetajwa kuwa vingi kwa wasichana wa umri kati ya miaka 15 hadi 19 kwa kuwa viungo vyao huwa...
Shamba la ekari 100
linauzwa, Tshs milioni 12 (laki 1.2 kwa eka 1)
zao la korosho inakubali Sana hapo.
SHAMBA lipo wilaya ya manyoni kijiji cha (....) mkoa wa singida.
Shamba linakubali sana zao la KOROSHO
mazao mengine yanayokubali hapa ni karanga, alizeti, ufuta, njugu, mihogo...
Wanabodi,
Nimesikitishwa sana na kitendo cha yule Mbunge juzi kutoa hoja ya wao wabunge waongezewe mishahara maana wana kazi nyingi sana.
Kama hilo halitoshi Mbunge yule ameenda mbali akisema hata malipo ya mishahara yao yafanyike kwa malipo ya dola za kimarekani. Kwa jinsi hasira zilivyokaba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.