minara

Minara Resources Pty Ltd is one of the major mining companies of Australia, specializing in the mining of cobalt and nickel. It is one of the top ten nickel mines in Australia.
It is wholly owned by the Swiss commodities trading firm, Glencore plc as of November 2011. Based in Perth, Minara Resources was founded in 1994 as the successor to Anaconda Nickel Ltd. which was founded by Fortescue Metals Group chief Andrew Forrest. In 2006, it had a capitalization of approximately $1.3 bn. At the time of takeover, it was valued at a total of $1.02 billion (Australian). Minara applied on October 14, 2011 to have its stock (MRE) suspended from trading on the Australian Stock Exchange.

View More On Wikipedia.org
  1. Chance ndoto

    INAUZWA Minara ya radio na simu

    Habari wakuu, kwa wanaohitaji Mnara wa radio au simu. Nauza mnara napatikana Mbezi, Kimara Suca. Dar es Salaam. Mnara una kila kitu chake. Machine zote. 0783985530
  2. L

    Jengo la minara pacha la Chengdu lafanya maonyesho ya taa

    Jioni ya Machi 8, huko Chengdu, Twin Towers katika mji huo zilifanya maonyesho ya taa ya kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake.
  3. EL ELYON

    Mwenye uhitaji wa betri zilizotumika kwenye minara ninazo

    Mwenye uhitaji wa BETRI ZILIZOTUMIKA KWENYE MINARA ninazo. Usafiri kwa kahama, Singida,Dodoma, morogoro, Mwanza, geita bure mpaka inakufikia no utapeli ushahidi upo kwa wateja wote waliozipata. BETRI ni 160N/ah BEI 330,000. 0629945110. Bukoba. ULIZA WANAOZJUA HUNA HAJA YA KULALA GIZA UMEME...
  4. Z

    Betri za minara

    Wadau mwenye connection ya kupata betri ya mnara
  5. Replica

    Nini kimeikumba Airtel? Wameuza minara yake yote na kugeuka wapangaji!

    Kampuni ya simu za mikononi ya Aitel imeuza minara yake yote 1,400 iliyoko nchini Tanzania kwa kampuni ya mawasiliano kutoka Uingereza ya SBA inayoongoza duniani kwa kuendesha mifumo ya 'wireless' kwa dola za Kimarekani milioni 175. Katika taarifa yake Airtel imesema itatumia baadhi ya fedha...
Back
Top Bottom