Je, iwapo mtumishi wa Serikali akafariki mshahara wake utaendelea kuingia au lah.
Iwapo alikuwa akiishi kwenye nyumba ya Serikali, utaratibu gani unatumika kuiondoa familia yake kwenye nyumba ya Serikali na utaratibu wa mirathi.
Wajuzi wa Mambo hayo naomba mtusaidie kwa manufaa ya Jamii nzima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.