misaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. #COVID19 Kamwe hatuwezi kuishinda corona kwa kutegemea misaada

    Bunge la bajeti limepita bila mpango maalumu wa kukabiliana na corona. Hatima yake tunataka kuwekeza mapambano dhidi ya corona kwa kitumia hisani za WHO,USA n.k. Tuamshe bongo zetu na tuje na majibu kamili
  2. Bunge litunge sheria ya aina ya misaada ya kiteknolojia

    Badala ya kusaidiwa mitumba ya nguo za ndani tusaidiwe mafunzo ya mashine za kutengeneza nguo. Badala ya kusaidiwa unga wa yanga tupewe mafunzo ya kilimo bora na teknolojia mpya ya maswala ya kilimo. Badala ya kuletewa ARVs tuletewe teknolojia ya kutengeneza dawa Badala ya kusaidiwa chanjo...
  3. Punguza misaada, watu hawana kumbukumbu

    Habari za majukumu wana mizengo bila shaka muwazima wa afya naomba kwenda kwenye mada moja kwa moja PUNGUZA MISAADA WATU HAWANA KUMBUKUMBU [emoji117]Watu wanapost sana huo msemo hapo bila kujua wanakosea san ipo hivi unapomsaidia mtu tarajia malipo kutoka kwa Mungu na sio kwa binadamu yeyote...
  4. Askofu Malasusa: Msipende umaarufu kupitia misaada

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP), Dk. Alex Malasusa, amekemea baadhi ya Wakristo nchini wanaotumia njia ya kuwasaidia wahitaji ili kujipatia umaarufu au kukubalika zaidi katika jamii. Alisema kutenda matendo mema na kuyatumia kama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…