Zaidi ya kusema niko Juu Ya mawe sijui msemo mwingine unaomaanisha nimeishiwa Hela.
Hebu nipeni msemo mkali zaidi ili nizidi kukwepa Vizinga wazee😅😅😂😂😂
Sikukuu ndio hizo zinakuja kwa kasi sana😎
Haijawahi kuthibitishwa kuwepo na mbwa albino
So unapokuwepo kwenye papatupapatu zako za kutukana na kudhalilisha watu ambazo ndizo zinakuweka mjini elewa hilo
Siyo kila mtu wa kusema niite mbwa nimekaaa pale,wako mbwa wanene wenye kilo 800
ila hamna albino na mbwa wote wana uwezo wa kukaa...
Wadau wa michezo hamjamboni nyote?
Tufurahi Kidogo kwa kukumbushana misemo/ maneno maarufu yatumiwayo na wadau wa michezo hususani Soka
Mimi nianze kama ifuatavyo
Hamna Mchezaji hapo!
Hapo tumepigwa!
Unamuwekaje Kapombe Sub!
Huyo kocha hamalizi msimu!
Sasa endelea
Tukuumbuke kushirikiana...
1. "A fool will learn nothing from a wise man, but a wise man will learn much from a fool."
2. "Anger slowly. Forgive quickly. Trust cautiously. Love easily."
3. "Wisdom comes to us when it can no longer do any good."
4. "There is no bigger weapon than the brain, yet the time powerful in the...
Kuna wakati nashawishika kuamini hata bibilia huenda iliandikwa kwa utaratibu kama huu wa wahenga!
Mfano misemo hii ingekuwa na majina ya wahenga ingeleta maana ileile ya kibiblia!
Mhenga 1:1 Mtoto umuleavyo ndivyo akuavyo
Mhenga 1:2 Asiyesikia la mkuu huvunjika guu
Mhenga 1:3 Asiyefunzwa na...
Habarini wadau..Najua tuko kwenye majonzi makubwa kama taifa,,But katika kuskiliza nyimbo,kuangalia movies za Marekani hasa zenye Black Americans Characters kama Ice cube,Kevin Hart,Wesley Snipes,Mike Epps,Tiffany Had dish,Queen Latifah,Octavia Spencer,Will Smith nk.
Kuna baadhi ya misemo...
1. Mwosha Huoshwa
2. Mficha Maradhi Kifo humuumbua
3. Malipo ni hapa hapa duniani
4. Mficha Uchi hazai ng'o
5. Siri ni ya Mmoja na si ya Wawili
6. Njia ya Muongo ni fupi sana
7. Lisemwalo lipo kama halipo basi laja
Naweza Kuamini kuwa Wahenga si tu walikuwa ni Manabii, lakini pia walikuwa ni...
Wanajamii tujikumbushe baadhi ya misemo ambayo zamani ilikuwa kwenye chati na sasa haitumiki tena..
Kwa mfano nakumbuka misemo kama kuachwa kwenye mataa, Viatu vya Ndula, lakuchumpa n.k, Pia nakumbuka majina kama Chekibobu.
Karibuni.
Huyu mwamba ni habari nyingine mazeee
Ana mistari matata sana, kwenye hii sanaaa
Leo nagusia sehemu ndogo sana ya mistari yake kwenye track mpya ya pamoja kutoka weusi (mbuppu)
Pia nitaonyesha uhusiano wa michano yake na jigga
Daah huyu jamaa anajua ukiachilia flow hatari haijawahi tokea...
Nilikutana na maneno yafuatayo.
i. Kama ndoto yako haijatimia endelea kulala.
ii. We lala si tufanye kazi utakula ulichokiota.
Je, namba moja inajibu hii ya pili au ya pili ndio inajibu hii ya kwanza?
Ni mambo ya kushangaza kuona watu na akili na busara zetu bado tunashikilia misemo isiyokuwa na maana bali kupotosha jamii, eti utasikia ikisemwa; "Mpe mchawi alee mwanao" au utasikia; "Mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake".
Mchawi ni mtu mbaya sasa iweje umpe mwanao amlee?!--- je...
Nimekuwa nikimsikia mara kwa mara mmoja wa Mwana redio anayeitwa au kujiita Mbwiga, huyu bwana amekuwa na misemo tofauti tofauti kila anapopata nafasi ya kuzungumza redioni.
Na mingi ya hiyo naona huwa inabeba maana iwapo utaitafakari...kwa mfano jana usiku nikamsikia akisema "ukimuona Ngedere...
Achari yalisha.
The pickle is an appetizer. Pickles make the guest relish the food. (If you need something from someone request for it in a polite and pleasant manner.)
Ada ya mja hunena, mwungwana ni kitendo.
It is customary for a slave to talk, but a free man acts. (Mja is only used in this...
Nimeonelea nianzishe hii section ili watu tuwe tunapeana maneno ya hekima. Huu ni mwanzo na ruksa kuendeleza thread (mada) hii ili mradi uwe umejisajili. You may use any of the two official languages, Swahili or English.
Karibu
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++
If we don't change, we don't...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.