Malisa amepita vyama tofauti vya siasa ndio akaja CCM kwaiyo bado hajaelewa misingi ya CCM kwaiyo huko aliko akajifunze misingi ya chama cha mapinduzi – Makalla.
Chanzo: Wasafi FM
Habari wana bodi.
Kutokana na Anachoendelea kukifanya Trump huko USA, Nimepata tafakuri ya hapa kwetu Tz.
Tuko na baadhi ya taasisi zilizo shindwa kabisa wazi wazi kutekeleza matakwa ya kuanzishwa kwake hivyo ni sawa na hakuna.
Uzi huu ni wa kupendekeza hizo taasisi, Na kupendekeza zifutwe au...
Kamanda Wenje mbona unazidi kumuanika na kumuharibia kabisa kamanda Mbowe,
Umesema CHADEMA hatuna pesa ni kweli hatuna lakini kwanini hatuna pesa?Jibu wahisani hawamwamini tena Mbowe.
Naomba unijubu maswali haya,
1. Je, mikutano mikuu yote ya misingi zaidi ya 64,274 nchi nzima ni Mbowe...
Binadamu kumbuka u mavumbi wewe na mavumbini utarudi,
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake hapa duniani ni chache Sana,
Ushawahi kukutana na hizo quotes? Ndio mfumu WA maisha ulivo yaani kila kiumbe kinachozaliwa mwishowe hufa,
La of nature inatakiwa ikuongoze katika maisha yako ...
Mada yangu ni ujuzi wa mapenzi na maarifa Mengine..
4 fundamental of life
i. Money and Power
ii. Sex
iii. Food and drink
iv. Umaarufu (fame)
Haya yote manne yanahitaji uchakalikaji sana na kujituma ili kuyatawala.
............
Ni Mungu humpa kila mmoja ufundi katika jambo husika, au kupata...
Demokrasia Imevuliwa Nguo, sura Mpya ya CHADEMA inaanika Changamoto kubwa Iliyokuwa ikifichwa na wengi ya Uongozi wa Milele imebaki wazi na Kuonekana..
Kilichotokea leo, pale FAM alipotangaza kugombea tena nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA, kimeacha alama ya fedheha kwa yeyote anayependa siasa za...
Ukikabidhiwa Mamlaka kamili kama Mwenyekiti wa CHADEMA rudisha Ile misingi ya kudai Haki. Sio kuomba Haki kama alivyofanya mtangulizi wako.
NB: Mwenyekiti aliyepo kila mara analia Lia kama Kada wa CCM kumbe NI Mwenyekiti CHADEMA
Wakuu....
Kati ya watu waliopata hasara pale CHADEMA Lisu anaongoza , Kwanza alihatarisha maisha yake kwa kupigania misingi ya Chama.
Kuna pesa chafu zinazoingia CHADEMA Ili kuwaziba mdomo watu kama kina Lisu lakini Lisu yeye pesa hizo hazitaki na hazijawahi kuingia mfukoni kwake, mwisho wa...
Habari Jf , ujasiri,upambanaji , uzalendo na uwepo wa mwanasiasa Tundu lissu unafanya wapenda mabadiliko kuanza kufikiria sana utendaji kazi wa Mbowe hasa ukichukulia ni Zaidi ya miaka yuko madarakani.
Kuna tunaoamini hatuwezi kuitoa CCM madarakani kwa Busara na utendaji kazi wa Mzee Mbowe...
Tumepokea taarifa ya Waziri wa Nchi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kuongeza muda wa rufani za wagombea na kuelekeza wagombea wetu walioondolewa kwa sababu ya ngazi ya udhamini warejeshwe.
Ikumbukwe kuwa mnamo tarehe 09 Novemba, 2024 Kiongozi wa Chama chetu alitoa rai kwa Rais wa Jamhuri ya...
Asilimia kubwa wanaume wanaopata misuko suko ya ndoa, ni wale waliooa wanawake ambao hawaja lelewa katika misingi ya dini haswa dini ya kiislamu.
Ukipata mwanamke aliyelelewa katika misingi ya dini ya kiislamu utaenjoy sana maisha ya ndoa.
Wengi wao wana utii kwa wanaume wao, wana stara, n...
Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi.
Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za...
Infact,
Mnafanya kazi nzuri sana na inaonekana dunia nzima. Kamwe msikubali kuyumbishwa wala kuzingatia matakwa ya wenye nia binafsi, bali zingatieni misingi ya taaluma yenu. Fanyeni majukumu na kazi zenu kwa uhuru, haki na usawa bila mbambamba za mzee au kijana yeyote. Mmefanya vizuri sana...
binafsi
dhidi
habari
hongera
katika
kazi
kisiasa
kukataa
kusimama
kusimamia
majukumu
matakwa
misingi
na vyombo
nchini
nia
vyombo
vyombo vya habari
waandishi
waandishi wa habari
wenye
Tunatakiwa kujiuliza kwanini nchi inapotaka kufanya maandamano ya amani na ku express hisia za wananchi, CCM huwa inahaha kuhakikisha hilo jambo halitokei, kuna nini? Shida ni nini?
Je ni mkate wenye siagi nyingi utapotea?
CCM na serikali yake inalazimisha umma kuamini nchi inaamani, uhalisia...
Kwa nini Airport ya Dar es Salaam huwa hawauzi Ugali, ubwabwa kama wa mtaani, pilau, ndizi, mchicha, metembele, magimbi, mihogo, viazi vitamu, dagaa, chips mayai(zege) na vyakula vingine vya aina hiyo vya Kiswahili, Kitanzania au kiAfrika zaidi?
Soma Pia: Unauonaje ushauri wa "Dudubaya" kuhusu...
Mbali na kwamba tuna elimu Bure lakini sasahivi Shule za Msingi kuna utitiri wa Michango (Tozo) mfano mzuri ni Shule ya Msingi Mapinga iliyoko Bagamoyo, kata ya Mapinga. Kuna utitiri wa Michango
1. Mchango wa Hela ya mlinzi 3000/=
2. Hela ya Mtihani ni sh 6700 kwa mwaka
3. Hela ya jiko Tsh...
Anonymous
Thread
michango
michango shuleni
misingi
mitihani
shule
shuleni
wimbi
Nchi hii kuna wizi, ufisadi na ubadhilifu wa rasilimali za umma mkubwa usio na kifani. Wakati huo huo hali ya maisha yanazidi kuwa magumu kwa wananchi wote na hasa vijana. Njia kuu zote za kiuchumi ama zinamilikiwa na wajanja wachache na hasa viongozi na familia zao na marafiki wao.
Njia pekee...
Katika ulimwengu wa leo, mahusiano yanaweza kukumbwa na changamoto nyingi kutokana na mabadiliko ya kijamii, teknolojia, na mtindo wa maisha. Mada hii inahusu jinsi wanandoa au wapenzi wanaweza kuweka msingi imara kwa uhusiano wa kudumu. Hapa kuna maeneo muhimu ya kuzingatia:
1. Mawasiliano ya...
Tanzania itasonga mbele kuelekea miaka 5 hadi 25 ijayo na ndoto kubwa ya kufikia maendeleo endelevu na ustawi wa wananchi wake. Moja ya nguzo muhimu katika safari hii ni maendeleo ya kiuchumi. Kwa kufanya hivyo, nchi inatakiwa kulenga katika kuunda mazingira wezeshi kwa ukuaji wa viwanda, kilimo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.