Sensa na mitazamo ya jamii ajira fupi za Sensa.
Imeandikwa na: K.Masanja
DIBAJI
Katika kipindi hiki ambacho nchi yetu pendwa inapoelekea katika utekelezaji wa sensa ya watu na makazi ya awamu ya sita na utaratibu wake ambao hufanyika kila baada ya miaka kumi, Makala hii inalenga si tu kutoa...
Google na kampuni nyingine za teknolojia zimeshutumiwa kukiuka kanuni za ulinzi wa taarifa za Ulaya(GDPR) ambapo wanatoa taarifa za watumiaji kwa mamia ya watangazaji.
Wadai wamefungua madai hayo kwa mamlaka za Uingereza na Ireland kwa niaba ya Brave na Open Rights Group.
Brave inadai...
Kumezuka tabia ya kuendekeza starehe na sherehe kubwa za harusi kwa kutegemea michango ya watu, tatizo linakuja unapotaka kila mtu akuchangie ilimradi unamfahamu au Mtumishi katika taasisi moja, inakera sana michango inakuwa nongwa, msg mara simu mara nini nini? Mara umeadiwa kwenye group bila...
Punyeto ni nini?
Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.
Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono, kwani haimshirikishi mtu mwengine.
Punyeto ni toshelezo kamili la kimapenzi...
dawa
kuacha punyeto
kujichua
madhara
maisha
miaka
mitazamo
mke
msaada
ndoa
picha
punyeto
tendo la ndoa
ugumba
uhusiano
uraibu
utafiti
utu
video
vijana
vitu
wanaume
wanawake
Habarini za leo Jumamosi poleni na mihangaiko ya wiki nzima matumaini yangu kuwa wote mpo wazima kabisa wa buheri .
Twende kwenye mada yetu husika na pendwa kama ilivyotajwa hapo juu rejea kichwa cha habari. Kumekuwa na nadharia mbalimbali kuhusu swala la Kuoa kumekuwa na Mitazamo chanya kwa...
JE, WAJUWA WALIVYOPISHANA MITAZAMO "HAKI ZA BINDAMU" ?
Awali ya yote nitangulize shukrani kwa Mungu ambaye anatulinda na kutuhifadhi sisi binadamu tulio watu wake maana yeye ndiye mwamuzi wa maisha yetu Usiku na mchana.
Lifuatalo ni shukrani zangu kwako msomaji na mfuatiliaji Mwenye UTU na...
Tukibadilisha mitazamo yetu nirahisi kuibadilisha jamii.
Kila tatizo lina chanzo hatuwezi kufika tuendako kama hatujui tulipo toka historia ya mwanadamu ina mahusiano makubwa na mafanikio ya mwanadamu.
Inabidi ifike muda tusimame kwenye ukweli unaojulikana na wachache walio amua kubaki nao...
Wakuu,
Kwa muda mrefu tumekuwa tukitumia hii misamiati katika maisha yetu: "amani na usalama". Hata hivyo ni dhahiri kuwa jinsi tunavyofafanua misamiati hii katika maisha yetu ya kila siku, kunaweza kuwa na utofauti. Tunaposema kuwa tunaitakia nchi yetu amani na usalama, je tunamaanisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.