Mbona hatujapata sasa suluhisho la haya yote.
Maana ujuzi halisia wa kitu ina maana hauwezi tena kuwa mtumwa wa kitu hicho.
Unaweza kuta mtu anaandika kwa uhakika kuwa sababu ya magumu yako ni nyota yako imeharibiwa au dhambi zako lakini unashangaa kuna tajiri mmoja yupo ana dhambi zaidi yako...
Je Mizimu Ipo au ni Maneno ya Watu
Mizimu ni Nini
Mizimu ni maroho wa kuzimu walio wakuu wa giza ambao wanajimilikisha familia, ukoo au eneo ili watu wa eneo hilo wawe chini ya utawala wao na maelekezo yao. Mizimu ni miungu inayowamiliki watu wa familia fulani, au ukoo fulani, au eneo fulani au...
Kwa nini wanga, wachawi na mizimu huwa kuonekana kwake ni usiku tu?
Kila nikisikia stori za haya mambo ni mtu alikuwa amelala usiku, usiku watu walikuwa wanapaa na ungo ndio likatokea jambo, usiku mtu alikuwa anaendesha gari.
Majini tu ndio huwa nasikia stori zake yakiwa yanafanya mambo yao...
Let say somebody you know interiorly has fallen into the bad land (Being burried), baada ya mazishi na maziko, huna hili wala lile umechil, hujavuta bangi, hujanywa pombe, huna stress za ziada ukitoa maziko, unashangaa mwanga huoooo, unaskia sauti "Shiuuuuu", kuangaza kwa umakini huyoooooo...
Unakuta mtu anajiita Atheist Ila anaamini katika universe na nature Ila haamini kuhusu Mungu mwingine yeye hatambui universe wala nature Ila anaamini Mungu. Ukifatilia hawa wote hawajitambui maana wanafatisha watu wamagharibi wanachokiamini.
Binafsi Mimi naamini katika mizimu na karma. I pray...
Hapa natoa madokezo (hints) kuhusu kujiunganisha na mizimu ya kwenu ili kuweka mambo yako sawa.
Tunaanza.
1. Tafuta eneo safi na tulivu
Hakikisha Una eneo safi na tulivu ambalo utalitumia Kama madhabu yako kuongea na mizimu ya kwenu ili kupata msaada eneo linaweza kuwa hata chumbani kwako...
Habari wakuu,
Nipo bariadi gamboshi masomoni nachukua digrii ya uchawi wenye faida.
Mizimu ni roho za watu waliokufa.
Kila mtu ana mizimu. Mizimu ya upande wa kwa baba na ya upande wa kwa mama (mababu na mabibi wote waliokufa)
Mizimu ipo mizuri na mizimu mibaya
Kuna aina zaidi ya >200 za...
Najiuliza sipati jibu, labda wenzangu mtakuwa Na majibu. Mizimu inanipaje utajiri wakati nao walikuwa masikini?
Yeah Na Bikira Maria hawakuwa matajiri, wanaweza vipi kunipa utajiri?
Sawa kina Mwamposa ni matajiri kwa kuwa ni wajanja wa Mjini.
Habari,
Afrika tumekuwa kwenye kiza kisichojulikana kwa miongo kadhaa, wachongaji wengi utasikia wakisema msiabudu mizimu ya mababu zenu, mara mizimu inaleta nuksi, mara watu wamefungwa na mizimu ya kwao.
Nauliza hivi huyo YESU SIO MZIMU?
MAMA MARIA SIO MZIMU?
WATAKATIFU TUNAWAOMBA...
Watu wengi wanafikiri ushirikina ni kuabudia mizimu na kwenda kwa waganga kutambika tu.
Lakini ukweli ni kwamba hata kumuhusisha mwanadamu na mambo yanayohusu kudura na uweza wa mwenyezimungu ni ushirikina vilevile.
Tena huu ndio ushirikina mbaya maana unahusisha dhati na uwezo wa...
MIUNGU YETU ILISHINDWA, MIZIMU YETU IKAPIGWA, SASA TUMEKUWA JAMII ILIYOANGUKA NA HATUNA TUMAINI TENA LA KUSIMAMA.
Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Mila zetu, Desturi zetu, tamaduni zetu, utambulisho wetu na kila kilichokuwa chetu kiliitwa Potofu baada ya kushindwa.
Upotofu upo kwa...
Tuchel anachopitia ni Adhabu kutoka kwa Mizimu ya Mababu wa Sadio Mane na Mizimu ya Kiafrika.
Huwez ukaamua ugomvi ule wa SANE na MANE kwa dharau Vile,..
Muulize Klopp alimdharau MANE hakufuzu UEFA yupo huko anapigania kombe na Team kama MACCABI HAIFA
Pep Alimdharau YAYA TOURE kahangaika na...
Habari wana JF, mimi ni new member ningependa mnikaribishe katika Jukwaa letu.
Mimi Ni kijana wa miaka 30’s, kwa mda wa miaka 3 nimekua nikisumbuliwa na Nguvu za giza na Mizimu ya ukoo ambayo imepelekea kuharibu dira ya maisha yangu, nilianza na kuumwa homa za ajabu ajabu, mwili kuchoka...
Rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu.
Dini ndio chanzo cha matatizo mengi Duniani. Katika Dunia ya leo raia wanakosa ushirkiano tu kwa sababu wanatofautiana Kidini, Mkristo anambagua Muislamu na Muislamu anambagua Mkristo. Na ubaguzi wa kidini hauzungumzwi sana ila kiukweli ndio unaotendeka...
Kwa nini vimbunga huzunguka kinyume cha saa ("anticlockwise") katika hemisifia ya kaskazini na kama saa inavyozunguka ("clockwise") katika hemisifia ya kusini? Au, kwa maneno mengine, kwa nini vimbunga huzunguka kinyume cha saa huko Marekani na kama saa nchini Tanzania?
Vimbunga huzunguka...
Je umewahi kusikia milango 7 ya kuzimu ya Ziwa tanganyika? sio hadithi za kusikika ni vitu ambavyo vipo na vinatendeka hadi sasa, tutaileta mada hiyo siku zijazo, leo tunazungumzia Mizimu iliyoibiwa hapa mkoani Kigoma.
Itakuchukua dk 12 kusoma taarifa za maajabu haya
Kwanza fahamu maana ya...
Wiki iliyopita nilitembelea jiji la Dar es Salaam baada ya kipindi cha takribani miaka 5.
Niliingia jijini usiku na nilishangaa maeneo ya katikati kabisa mwa jiji - Askari Monument, Mtaa wa Azikiwe na Samora hakuna taa za kuangaza mitaa. Mitaa hii maarufu ni giza.
Barabara zake zimechoka ila...
Moja ya jambo la ajabu so TANZANIA bali takribani mataifa Yote ya Africa, somo la kiingeleza yaani English ni compulsory ilhali somo la kilimo yaani agriculture ni option.
Hivi sisi wa Afrika nani alieturoga.
Mizimu inaumia sana inap ona hivi vituko.
MIZIMU GANI ITAKUIBUKIA KWENYE KITANDA CHA MAUTI?
SIJAWAHI kuchoka kuitazama hotuba ya gwiji, Denzel Washington, katika mahafali ya Chuo Kikuu cha Pennsylvania mwaka 2011 - Penns Commencement Speech 2011.
Jina la hotuba ni “Fall Forward” – “Anguka Mbele". Maisha ni mwendo. Pambana na ujaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.