Mji wa Kyiv upo salama, hamna kinachopenya, Mrusi ametuma kila alicho nacho kasoro nyuklia, na vyote hamna hata moja inapenya Kyiv, mwanzoni zilikua zinashushwa 50%, zikaja 80% sasa 100% hamna mzinga, drone au chochote kinaingia ndani ya mji mkuu, na bado Magharibi wanatuma madubwana zaidi...