Mizinga Melu, is a Zambian businesswoman, accountant, and bank executive. She is the current chief executive officer, of Absa Bank Zambia Plc, effective February 2017, based in Lusaka, the capital and largest city in the country.Prior to her current assignment, she served as the CEO of Barclays Africa Management, responsible for overseeing the "development of stakeholder relationships with governments, regulators, the Boards and customers" in the subsidiaries on the African Continent, outside of South Africa. All Barclays Africa Group managing directors, outside of South Africa, reported directly to her. She took office effective 1 October 2014. Prior to that, she was the managing director and CEO of National Bank of Commerce (Tanzania). She was appointed to that position in March 2013, and assumed office on 20 May 2013. Before that, she served as the managing director and CEO of Standard Chartered Bank Zambia, from January 2008 until May 2013.
Siku ya kumbukumbu ya uhuru wiki juzi mwanajeshi mmoja alikuwa anafafanua gwaride na mambo ya kijeshi.
Kuhusu saluti za mizinga alisema rais anapigiwa mizinga 21, makamu wa rais na waziri mkuu mizinga 19.
Kwa ujumla alisema hivi,
1. Rais, mfalme, malkia, Sultani (21)
2. Makamu wa Rais, Waziri...
Amesikika Samia Suluhu Hassan akisema hatuna rais mwanamke. Akiendelea kasema rais mwanamke tutamweka 2025.
Amesema huyu tunayemwona sasa kaingia kwa kudra za Mola tu.
Ni wazi kuwa mheshimiwa huyu kesha nogewa kama mwonja asali vile. Tamaa yake iko sasa kwenye kuendelea kuwa rais 2025. Hii...
Habari wadau;
Leo naomba nidokeze namna ya kugawa Mzinga wenye nyuki ili kujaza mizinga yako mipya isiyo nyuki kwa njia ya haraka badala ya kutumia njia ya awali ya kuwatega na kungoja waingie jambo ambalo linaweza kukuchelewesha na kuchukua muda mrefu.
Kwa mnaofuga au mnaotarajia kuanza...
Miezi kadhaa nilimtaka mwanamke jirani tu na ninapoishi, licha ya kunikubalia lakini chenga zikawa nyingi mnooo mpaka nikakata tamaa.
Lakini siyo siri jumla ya thamani ya vizinga alivyonipiga ni kama laki 270 lakini sikupata penzi.
Siku niliyoachana naye ni siku tumeenda hotel baada ya chakula...
Kuna kitu nimekigundua siku za hivi karibuni, na naona kinafanana na wadada wengi, hata baadhi ya marafiki zangu nao wameanza kukumbana nacho.
Inaonekana mahusiano ya kimapenzi imekuwa mojawapo ya chanzo cha mapato kwa wadada wengi, au kwa maneno mengine wewe mwanaume umekuwa chanzo cha mapato...
Habari wakuu. Ninaanza ufugaji wa nyuki kwa hiyo sina uzoefu. Kuna changamoto moja nimeisikia kwamba nyuki wana tabia ya juiacha mizinga na kuhamia sehemu nyingine. Kana hii ni kweli naomba kujua mbinu za kuwafanya wasihame. Natanguliza shukrani.
Wakuu nina swali kuhusu utengenezaji wa mizinga ya nyuki. Mzinga in lazima utengenezwe kwa mbao au unaweza kutengenezwa pia kwa material nyingine kama plastic?
Habari wadau,
Naomba kama kuna anayefahamu namna ninaweza kupata mizinga ya kufugia nyuki. Kwa ajili ya kuweka shambani kwangu. Ninahitaji michache kama mitano hivi.
Mimi nipo Dar es Salaam Ila nataka kuiweka Mlandizi.
Tafadhali Kwa anayejua wapi naweza kupata naomba msaada.
Asanteni sana.
Unatongozwa unakubali unatoa ahadi vizuri, siku ya kwenda kutoa mzigo ndio unaanza kupiga mizinga, hii ni tabia gani?
Kwa nini usiseme mapema kama unauza papuchi mtu akakukatia chako alafu mkamalizana? Huu sio uungwana.
Kwa muda mrefu nimekuwa ni kijiuliza kuwa ni msichana wa namna gani ambaye naweza kufanya mahusiano naye?
Hii ni kutokana na kuchoshwa na tabia za wadada wengi ambao ukijichanganya ukafanya nao mahusiano ujuwe wazi upo kwenye tabu ukilingamisha na raha atakayokupatia pindi unapomhitaji.
Ukiwa...
Unakutana na msichana mrembo anavutia kwa muonekano na angalau mnaendana mfano dini etc. Unaamua kuanzisha uhusiano nae kwa malengo ya kuwa mwenzio wa maisha (Mke).
Sasa kidogo anaanza kukuambia naomba uninunulie simu yenye whatsapp, mara naomba hela ya mchango wa kitchen party, mara naomba kod...
Baada ya hayo sasa tunarudi katika mada yetu ya leo, nazungumzia juu ya tabia za baadhi ya watu walio katika uhusiano kupenda kuwapiga 'mizinga' sana wenzi wao. Tabia hii ipo zaidi kwa upande wa wanawake, ingawa siku hizi hata wanaume nao wameingia katika mkumbo huu.
Siyo ajabu kumsikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.