Siku ya kumbukumbu ya uhuru wiki juzi mwanajeshi mmoja alikuwa anafafanua gwaride na mambo ya kijeshi.
Kuhusu saluti za mizinga alisema rais anapigiwa mizinga 21, makamu wa rais na waziri mkuu mizinga 19.
Kwa ujumla alisema hivi,
1. Rais, mfalme, malkia, Sultani (21)
2. Makamu wa Rais, Waziri...