Benjamin William Mkapa (12 November 1938 – 24 July 2020) was a Tanzanian politician who served as the third President of Tanzania. He was in office for one decade from 1995 to 2005. He was Chairman of the Revolutionary State Political Party (Chama Cha Mapinduzi, CCM).
Mimi nina imani kubwa kwamba Yanga alijiandaa na kamati ya ufundi pale kwa Mkapa dhidi ya wale waarabu weusi, na alifanikiwa kabisa kupata ushindi mnono wa nje...
Ila naamini kuna wahaini ambao kwa hulka zao za kichawi za kutopenda maendeleo ya wengine waliamua kuwasanua ama wao wenyewe kutibua...
Kiwanja chenye ukubwa wa sq.909, kinauzwa, bei milioni 5.5
Kipo Nghonghona, kilomita chache sana kutoka Benjamin Mkapa Hospital, Dodoma. Kimepimwa. 0779017650
Kimewekewa beacon kabisa, very potential plot. Nyaraka zote zipo.
Ni siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu sana na mashabiki hapa Tanzania, kule Angola na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Mnyama mkali anashuka dimbani akiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao matatu kwa moja ugenini.
Anaenda kumaliza ngwe na kuingia hatua ya makundi kwenye Ligi ya Mabingwa wa...
Tuna Nyerere Day kuenzi mambo makubwa aliyotufanyia Nyerere (legacy) kama vile Uhuru wa nchi yetu pamoja na umoja na mshikamano
Lakini Nyerere pia alikuwa na mapungufu makubwa yaliyopelekea nchi kuwa na hali mbaya sana kiuchumi
Mtu aliyechukua maamuzi yaliyofufua uchumi wetu ni Mkapa, mkapa...
Viongozi wa Yanga SC waliokanusha kuwa Kocha Nabi hana Mpango wa Kufukuzwa ni Waongo na Wanafiki.
Ukweli ambao GENTAMYCINE ninao kutoka katika Vyanzo vyangu Ndani ya Klabu ya Yanga SC ni kwamba Kocha Nabi kapewa Mechi Mbili tu ya Al Hilal FC ( Sudan ) Jumapili na ile dhidi ya Simba SC (...
Anzeni sasa kujiandaa kulaumiana kwani leo kwa kujiamini kabisa GENTAMYCINE naandika hapa kuwa unafungwa Jumapili ya tarehe 16 Oktoba, 2022 huko nchini Sudan, lakini unaenda kufungwa vibaya Tanzania kwa Mkapa tarehe 23 Oktoba, 2022.
Nikisema jambo hapa niamini 99.9%.
August 10, 2019 Simba alitoka sare ya bila bila ugenini na UD Songo ya Msumbiji na Yanga walitoka sare ya 1-1 na Township Rollers ya Botswana. Kama kawaida yao wachambuzi maandazi waliishambulia sana Yanga kwa kuruhusu bao nyumbani na kuisifu sana Simba kutoka sare tasa ugenini.
Tulinyanyasika...
Niko na mzee wangu aliyefanya kazi serikalini kwa muda mrefu sana.
Ananiambia Marehemu Mzee Mkapa kwenye teuzi zake aliangalia sana Vetting uliyofanyiwa inasemaje hasa kwenye uwezo wako kikazi, na Mambo ya msingi tu.
Kwa kikwete yeye alimix Vetting inasemaje na uswahiba
Kwa magufuli hapa...
Wanabodi
Hii issue ya Rais Samia kupandishwa basi moja na viongozi wengine wa Afrika kwenye mazishi ya Malkia, imegubikwa maneno mengi, ujuaji mwingi, na kujua kwingi, lakini ukweli wennyewe halisi, tatiza ni ushamba tuu mwingi zaidi ya uhalisia!. Watu wakimuona Rais lazima apande benzi na...
FULL TIME: Simba imeshinda kwa magoli 2-0
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza.
85' Dejan anampa pasi nzuri Sakho, shuti linatoka nje kidogo ya lango.
83' Phiri anatoka anaingi Dejan.
75' Shangwe za mashabiki zinaongezeka baad aya kumuona Dejan akipata misuli.
70' Simba wamepunguza kasi,
61'...
Mchezo wa pili baina ya Yanga dhidi ya Zalan kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, leo Jumamosi Septemba 17, 2022, ni Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Mchezo wa kwanza Yanga ilishinda kwa mabao 4-0.
Kumbuka mshindi wa mchezo huu ataenda kukutana na mshindi kati ya Saint George ya...
Upo Uwezekano leo Predator (hata Henock Inonga ) anamjua Fiston GENTAMYCINE Kalala Mayele leo akafunga kati ya Goli 3 au 6 na wakizubaa hata 9 peke yake dhidi ya Zalan FC Jioni katika Mechi yao Marudioano.
Yanga wanaongoza kwa goli la freekick ya Djuma Shaban
37' Mayele anafunga goli murua baada ya kupiga chenga mabekibwa Mtibwa
Kipindi cha kwanza kimekamilika Yanga wanaongoza magoli 2-0.
MAPUMZIKO
81' Yanga wanamiliki mpiramuda mwingi
83' Kasi ya mchezo siyo kubwa, ni kama Mtibwa wameshakata...
Mwaka 2013 nilikuwa namkubali sana Magufuli kwa namna alivyokuwa anasimama imara kufuata sheria kama waziri. Nilileta huu uzi kumfanyia lobbying kwenye chama Kwa timu hii ya rais na makamu wa rais, CCM tutashinda 2015.
Niliamini huyo ndio atakuwa msaada katika kuijenga Tanzania inayofuata...
Majira ya saa 1:00 usiku, mabingwa watetezi wa taji, Yanga SC watashuka dimbani kumenyana na Azam Fc katika muendelezo wa ligi kuu ya NBC.
Yanga itashuka dimbani kutafuta alama 3 huku Azam Fc nayo ikijaribu kutafuta alama 3 huku ikiwa haina kocha mkuu.
Mechi inategemewa kuwa ngumu na...
Jeneza la simba day lamfungisha virango meneja wa uwanja wa benjamin mkapa godon msajigwa.
=====
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imemwondoa Meneja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Gordon Nsajigwa kwa kushindwa kusimamia matumizi endelevu ya uwanja huo. Wizara imesema Nsajigwa atapangiwa...
Mashabiki makini wa Simba SC Mnyama tutakuwa hapa Live Jamiiforums.
Mashabiki wa Simba dunia nzima wameendelea na vibe la Simba Day kona zote duniani,huku mashabiki wa Dar Es Salaam wakiendelea kumininika Uwanja wa Mkapa.
Simba tutatambulisha kikosi hatari na benchi la ufundi katika msimu wa...
Hivi huyu ni Ben Mkapa wetu?
Aliyemkosoa Chinua Achebe......kwenye kitabu chake cha "No longer at ease"
Ben Mkapa of the W.E.B. DuBois Institute wrote, "Achebe has a broad vision of the world he is writing about, but unfortunately this broadness is manifest at the expense of depth of...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Kongamano la Pili la kumuenzi aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu Hayati Benjamin William Mkapa leo tarehe 14 Julai, 2022 katika ukumbi wa Golden Tulip, Zanzibar.
JOAQUIM ALBERTO CHISSANO, RAIS MSTAAFU - MSUMBIJI
- Siwezi...