mkasa

Adolphus Ludigo-Mkasa, also known as Adolofu Mukasa Ludigo (c. 1861 – June 3, 1886), was a Ugandan Catholic martyr killed for his faith. He was born in the kingdom of Toro in the western part of the country, and became a companion of Charles Lwanga at the court of King Mwanga II.He was one of many Christians put to death by the king between 1885 and 1887; his day of martyrdom, June 3, is remembered as the feast day of the Uganda Martyrs.

View More On Wikipedia.org
  1. Mashamba Makubwa Nalima

    TBT: Msimamizi wa Tashriff asimulia mkasa mzima wa kibao, ataja jina la abiria waliyemshuku

    Sikiliza dakika 1:23 mpaka 1:28 ujue wahusika https://youtu.be/1sCeV1v0r3Y?si=6cBtNdH3js6ZhEvz
  2. Leonce jr

    Mkasa wa kweli kabisa maisha ya ujana wa mapenzi

    Mkasa ni wa kweli kabisa Mnamo mwaka 2024 mwezi 7 niliapata kujuana na bint tumuite rose alikua muuza duka la nguo mimi nikiwa msimamizi wa eneo hilo lote. Huyu bint rose ni bint wa kinyakyusa huko kwao TUKUYU, mfupi mweusi ana kwa mwanya fulani amaizing ni mcheshi sana Basi siku moja...
  3. Tajiri Sinabay

    Kuna mwamba usiku huu kaja kwa bimkubwa wake kumwabia mkasa alioufanya mkewe sasa hivi

    Nyieee.... mnapoambiwa kataa ndoa (hasa kwa kijana unaejitafuta) muwe munaelewa. Kuna mwamba kaja kwa bimkubwa wake (jirani yangu) hapa sasa hivi kumsimulia kwamba kamshika ugoni mkewe na muhuni flani hivi hana hili wala lile, kawakuta laivuuu bila chenga. Kasimulia kwa uchungu sana hadi...
  4. F

    Huu ni mkasa wa kweli

    1.RAFIKI YANGU,ULIMI WA SUMU Ni Mkonze wilayani Nzega ni miaka zaidi ya 30 iliyopita. Mimi nilikuwa na rafiki yangu ambae tulianza kidato cha kwanza pamoja,yupo hai hadi sasa na tunaendeleza urafiki. Wazazi wangu walijenga nyumba mtaa mmoja,ambao hapa nauita mtaa wa katani,ambapo vyumba vya...
  5. Teko Modise

    Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

    Leo nimekumbuka mkasa mmoja uliotokea enzi ya awamu ya tano! Ilikuwa ni Julai 16 ya mwaka 2019 Jumanne tulivu tu ndani ya jiji la Mwanza, ghafla Gereza Kuu la Butimba likapata ugeni wa Amiri Jeshi Mkuu, Rais Magufuli. Basi baada ya maofisa wa juu kutonywa kuwa Rais angeweza kufika pale...
  6. T

    Mkasa wakutisha katika Taifa la Zambia na kwanini kama Taifa yatupasa kujifunza kwao kuepuka laana

    Leo nimependa kuwasimulia mkasa wakutisha ulio likumba Taifa la Zambia na kwanini kama Taifa na idara za usalama yatupasa kujifunza kwa Zambia nakuliepusha Taifa ktk mkwamo. Ktk Taifa la Zambia ambalo lilikuwa na urafiki na Tz palikuwa na Rais wao wa kwanza alie itwa Kenneth Kaunda. Kiongozi...
  7. Roca fella

    Ulishawahi kufumaniwa au kufumania tupe mkasa wako

    As salaam alaikhum ndugu Wana familia wa JamiForums Katika maisha Kuna visa vingi hutokea na kila mwanadamu huwa ana kisa au stori ambayo katika maisha yake au mazingira anayo ishi humtokea Siku hizi tumeona ukatili kisa fumanizi la mke wa mtu au mume wagoni wamekuwa wakifanyiwa ukatili...
  8. je parle

    Ingekuwa wewe ungefanya nini kwenye huu mkasa?

    Moja kwa moja kwenye kiini. Jana nimepokea simu kutoka kwa jiran yangu mahali nilipokuwa naishi.Jamaa ni mtu mzima anakaribia 47 ni vile tu anajitunza na hela ya kula haimsumbui kwa hiyo anaonekana kijana ila ni old school na pia alichelewa kuoa kutokana maisha yalimchelewesha. Ana mtoto wa...
  9. Mr mutuu

    Kuna mkasa ulitokea nikaamini Tanzania hii bado Kuna watu waaminifu

    Huu mkasa ulitokea kama miaka miwili imepita, dogo wangu alivyomaliza chuo akapata kazi shirika Moja binafsi, akafanya huko kama miaka minne akaanza mazoea ya kunipiga vizinga Tabia ambayo alikua Hana, nikapigwa vizinga weeee mpaka nikachoka, mawazo yakanijia huyu dogo kaajiriwa na Kuna kipindi...
  10. N'yadikwa

    SIMULIZI FUPI: Sogesa, Mkasa wa RC Kleruu na Mnyalu Mwamwindi wa Iringa

    Ni Krisimasi ya mwaka 1971. Mkulima tajiri wa Iringa akiitwa Said Mwamwindi anamuua kwa risasi Mkuu wa Mkoa RC wa Iringa na Katibu wa Chama Dkt. Wilbert Kleruu. Kleruu alikuwamo miongoni mwa watawala wasomi wa wakati huo. Alipendwa na Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere, kwa vile...
  11. C

    Mrejesho wakuu nilileta mkasa hapa baada ya kuyatimba yapata sasa week ya8 nimepima bado Neg hukunikiendelea kumuomba Mungu.

    Habarini wa Jf imepita sasa takribani week7 na nusu niko week ya 8 baada ya kuishi kwa msongo mkubwa sana wa mawazo kupelekea afya kudhorota na ufanisi wa kazi kuwa mbovu baada ya kuyatimba kwa mdada ambae anamoto aka umeme bado naendelea kumuomba Mungu. Nimeleta mrejesho huu nitumaini nitapata...
  12. Mohamed Said

    Mkasa wa Oscar Kambona

    Oscar Kambona. Kuna wakati ukitaka kumwangamiza mtu basi muhusishe na Kambona. Hii ilikuwa baada ya Kambona kukimbilia Uingereza kufafuta hifadhi. Namweleza Oscar Kambona: MASAHIHISHO Katika video nasema Mwalimu Nyerere aliondoka Dar es Salaam kwenda Butiama baada ya kuundwa kwa TANU. Ulimi...
  13. Mwanadiplomasia Mahiri

    Mkasa wa Marcelo kufuga nywele ili tu watu wasimchanganye na Robinho

    Baada ya Marcelo kwenda Real Madrid walikutana pale na Mbrazil mwenzake Ribson Robinho aliyekuwa star wa timu. Marcelo akiwa ananyoa kipindi hiko akajijuta anafanana sana na Robinho kiasi cha baadhi ya mashabiki kushindwa kuwatofautisha mpaka waangalie namba za jezi. Marcelo akaona isiwe tabu...
  14. Shining Light

    Mkasa wangu mwingine wa Bolt

    Nilipanda bolt, akaniomba sana akate request nusu ya safari. Nilimdanganya kuwa nahitaji risiti kwa ajiri ya ofisi kisha nika muuliza kwanini anataka tucancel request hio. Dereva huyo alilalamika sana kwa kusema kuwa serikali ilawaagiza Bolt kufanya makato asimilia 15% lakini wao wanakatwa...
  15. G

    Hata wanawake wanapenda mabosi wa kiume, weka hapa mkasa wako wa boss wa kike

    Maboss wa kiume hujitahidi sana kuwa katikati / neutral na hata ishu za chuki / upendeleo huwa wanaweza kula na kipofu wengine iwe ngumu kujua kinachoendelea, Ubaya wa maboss wa kike ni kwamba wengi huwa hawana uvugu vugu, ni aidha wawe malaika ama wakaksi, sasa umkuta mkaksi maji unayaita...
  16. Shining Light

    Mkasa wangu na dereva wa Bolt

    Umepata Changamoto gani wakati umetumia usafiri wa Bolt, Farasi au Uber? Juzi kati hivi niljikuta katika migogoro moja na dereva wa bolt, Nilipanda bajaji kutoka palm village nikiwa naelekea Temeke. Tufika njia panda ya Morocco na alinuliza tunapita njia gani, nikasema napendelea ya magomeni...
  17. Abtali mwerevu

    Mkasa wa Idi Amin na Wake Zake

    Na: Mwalimu Makoba 1 Hadithi ya Idi Amin na wake zake ni miongoni mwa hadithi za kusisimua, kuchekesha na zilizojaa ukatili. Kuwa na wake watano na wote wazuri ni msisimko wa aina yake. Kuwa na michepuko thelathini na watoto thelathini na nne (namba ya idadi ya watoto wa Idi Amin haijawahi...
  18. GENTAMYCINE

    Je, Jeshi la Polisi limeshindwa kushughulika na hawa 'Wahuni' waitwao 'Beach Boys' katika 'Fukwe' za Dar?

    Hivi IGP Sirro na Watendaji wako umeshindwa kweli 'Kukabiliana' na hawa 'Wahuni' waitwao 'Beach Boys' huku katika 'Fukwe' za Bahari ya Hindi ambao tabia yao ya Kujifanya Wanawafundisha Mabinti / Wanawake 'Kuogelea' kisha wanawapeleka Maji Marefu na Kuwatishia 'Kuwazamisha' kufanya nao Ngono...
  19. sky soldier

    kuahirisha shughuli muhimu ili kula tunda, kama iliwahi kukutokea weka hapa mkasa wako, naanza mimi

    Yalinikuta !, Niliahirisha kwenda interview niliyoisaka kea muda ili nile tunda Nakumbuka kuna kipindi wakati natafuta kazi kuna sehemu nilii apply na kweli nikapigiwa simu kwamba siku ya jumatatu niende, nikatumiwa pdf ikaonesha nafasi niliyoomba inabidi nifike saa nane mchana Siku ya ijumaa...
  20. Bwana Bima

    Mkasa wa kishirikina uliowahi kunikuta

    Kwanza kabisa namshukuru Mungu hapa nilipofika. Ila nimepitia majanga hatari sana na yote yalijiri wakati nataka kuoa. Nikipata Binti fulan ambaye alipata ujauzito na ilipita kama miezi miwili hv. Nilikuja kushangaa aliponiambia alikua akipata hedhi while ana mimba. Hilo liliambatana na homa...
Back
Top Bottom