Nina miaka 33
Dini mkristo
Elimu Degree
Kazi muajiriwa
Natafuta mke asizidi miaka 30
Sijabadili Id kama wengine ni maisha yangu ya nyuma tuu karibuni.
Kigezo
Awe tuu na hofu ya Mungu.
Awe tayari kuzaa nitamuoa kabisa
Dini yeyote
Ndugu zangu najuabsi jambo geni ila kwa dunia ya sasa hivi watu watakuchukuliaje ikiwa unataka kuoa ila wa kumuoa humuoni ukaomba msaada kwa ndugu wakutafutie, je kuna ubaya?
Upi mtuzamo wako kwa kijana wa namna hii?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29
Naishi Morogoro
Dini mkristo
Kazi ni mwalimu
Mke awe na sifa hizi;
Mrefu kiasi
Awe na kazi sio golikipa
Miaka 20_27
Awe na tabia njema
Ukiwa na sifa hizo please nicheki PM
Wana Jf nimechoka na ukapela
Kwa ufupi tu
Nilioa na ndoa yangu imevunjika miaka mitatu iliyopita.
Tuligawana tulivyo chuma kila mtu ana maisha yake na kwake
Nimejipa time ya kujiangalia na ushauri wa wazee ninaona napaswa kuoa tena ni jenge familia tulivu
Vigezo
Umri:Miaka 30-40
Dini: Yoyote...
Salamu wakuu,
Ikiwa utaamua kuoa kwa lengo la kuishi na mwanamke hadi mauti yawatenganishe usipuuze huu ushauri.
Ushauri huu nautowa kwa wale ambao tayari wameyapatia maisha kwa wewe kijana masikini na unaejitafuta Kama mimi acha kabisa kusoma huu uzi, kwa sababu wewe ndoa haikufai, tena kaa...
Mimi ni Mwanaume wa miaka
27 ,
Dini yangu , ni mkristo.
naishi DAR
kazi yangu ni muajiliwa
elimu yangu ni DIPLOMA.
Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo ,
*awe mkristo
*Awe anaishi dar
*awe ameajiliwa au anafanya biashara
awe na miaka kwanzia 20 adi 26.
*ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO...
Mimi ni Mwanaume wa miaka
27 ,
Dini yangu , ni mkristo.
naishi DAR
kazi yangu ni muajiliwa
elimu yangu ni DIPLOMA.
Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo ,
*awe mkristo
*Awe anaishi dar
*awe ameajiliwa au anafanya biashara
awe na miaka kwanzia 20 adi 26.
*ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO...
Habari wana JF, Natumai mpo salama na mnaendelea vizuri na majukumu yenu, Nipo hapa kutafuta mwanamke serious ambae atakuwa mke endapo tutaridhiana, sifa zangu ni zifuatazo;
Umri: 30
Elimu: Degree
Mahali ninapoishi: kaskazini mwa Tanzania
Dini: Mkristo
Kazi: muajiriwa serikalini
Sina mtoto wala...
Ndugu zangu natafuta mke wakuoa sifa awe muislam elim yoyote awe mikoa jiran na arusha.umri kuanzia 21 mpaka 30.mim sifa zangu ni muislam umri 33 ninaish arusha nimejiajiri.aliyetayar karibu pm
Miaka yangu ni 28
Naishi mkoa wa Iringa
Kazi yangu kwa sasa ni machinga
Natafuta mke wa kuoa
Miaka 22-25
Asiwe na mtoto
Awe muwazi na mkweli
Mwenye kuheshimu kila mtu
Elimu yoyote
Awe na nia ya kweli kuanza maisha na mimi
Natafuta mke wakuoa mwenye umri kuanzia 32 mpaka 38, kabila lolote, Dini awe mkristu. Mimi nina umri wa miaka 35, mkristu pia, kazi ninayo awetayari kupima.
Kwa mawasiliano zaidi karibu pm tuma namba au ujumbe kwa email flavianflorian0@gmai.com.
Namuhitaji mke ambaye Yupo tayari kwa ndoa na siyo utani. Kama Yupo aje PM. Vigezo:
1. Umri usizidi miaka 30
2. Mkristo
3. Awe anapenda ujasiriamali
4. Mweusi na Mnene
5. Asiwe amesomea kozi za sheria
6. Awe na utayari wa ndoa, Asiwe na tamaa
SIFA ZANGU
1. Mkristo
2. Muajiriwa sekta...
Utamaduni huu naomba kwangu ubaki maana Ndoa nyingi siku hizi hakuna japo tunaona sherehe nyingi sana kuliko Ndoa.
mimi naomba wazazi wangu wanitafutie mke atakayenifaa hivo tu sijajua kwako kijana mwenzangu una maoni gani juu ya hili.
Natafuta mke wakuoa, mwenye sifa hizi
Umri-25-40
Dini -yeyote
Kabila -lolote
Kazi- yeyote
Sifa zangu ni
Umri-34-37
Dini -mkristo
Kazi-nimeajiriwa/kujiajiri
Mwenye utayari anitafute kwa namba mke mtarajiwa awe na hofu ya Mungu. Pia awe anajitambua na anajua anachofanya .
Ni mwaka wa tatu Sasa Tangu nianze kuwaza kuoa. Kila Mahusiano ninayojiingiza huvunjika baada ya muda mfupi, si zaidi ya miezi 6.
Jumla ya wanawake nilioingia nao kwenye Mahusiano Ni Watano.
Wa kwanza Alikuwa mhasibu, kosa lake ni kuwa na kampani ya slay quees na walevi. Ni jambo la kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.