Mkombozi Commercial Bank Plc. (MKCB) is a commercial bank in Tanzania. It is licensed by Bank of Tanzania, the central bank and national banking regulator. Mkombozi is a Swahili word meaning Savior
Je, Hili jina la scholarship ni sahihi?
Je, Marais wengine walipewa majina kwenye mkopo ambao fedha ni za walipa kodi?
Je, nani alaumiwe, kama kuna lawama, kwa kila kitu kukiita ch aRais hata kama yeye mwenyewe hajaagiza hivyo?
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inatangaza programu ya...
Wakuu,
Hiki ndio ambacho kimefanyika leo huko Ngorongo!
Kwani alikuwa hana taarifa kuwa Wamasai wamepewa order ya kuhana? Kwani alikuwa hajui kuhusu wajomba zake wanaokuja kuwekeza? Alikuwa hajui kuhusu resistance iliyotokea huko wakitaka kuendelea kuishi katika ardhi hiyo waliyokuwa wakikaa...
Ni uzi mwingine tena kuhusu Application za kukopesha watu ukiwa na dharura.
Sijakopa, ila hii weekend nimetumiwa zaidi ya meseji 8 tofauti tofauti ya watu wanne nnaowajua wamekopa na hawajalipa sasa meseji inasema niwaambie walipe.
Wao wanasema mimi niliwekwa kama mdhamini lakini baada ya...
SILIKONI BONGO MKOMBOZI WA BUNIFU TANZANIA, ILI KUCHOCHEA ONGEZEKO LA AJIRA KATIKA NCHI YETU
Utangulizi
Ukitazama picha hapo juu wazo la uumbaji wa ulimwengu kama ambavyo maandiko matakatifu hutueleza linakuijia kichwani, lakini vile vile ukiendelea kuangalia vizuri utaona nembo za bunifu...
History is the study of past,present and future events maana hii nazani nwaliosoma o level ndiyo walikuwa wanaitumia katika mitihani,historia ya bara la afrika imeandikwa kwenye waandishi tofauti kina walter Rodney,smith na wengineo.
Historia ipo kwa lengo la kuonesha GAP au MAPUNGUFU ili watu...
Position: Executive Personal Assistant
JOB PURPOSE
Provide high-level administrative support by conducting research, preparing statistical reports, handling information requests and general office management for the Office of the Group Director Regional Businesses (GDRB) and Managing...
MKCB Graduate Trainee Program is now open for applications. Apply now and unlock your potential.
RECOMMENDED QUALIFICATIONS
Bachelor’s Degree in these fields;
• Business Administration
• Accounting and Finance
• Banking and Finance
• Economics and Statistics
• Law
• Human Resource Management
•...
Wakuu kama thread inavojieleza either kulingana na uzoefu wako au umeskia ndugu jamaa wanasema tupate, mkombozi wa mapishi kwa umeme.
Induction cooker
Multi Cooker
Ukweli lazima usemwe bila woga bila kamari nchi hii hakuna maisha, iwe kwa vijana au wazee wake kwa waume! Kamari imekuwa tegemeo la uchumi na mapato ya serikali.
Bila kamari vyombo vyote vya habari ikiwemo TBC haviwezi kulipa mishahara ya watumishi wao. Bila kamari serikali haiwezi kulipa...
Tunajua kumuelimsha mtoto wa kike kwa elimu bora pamoja na malezi mazuri, atakuja kuwa mkombozi bora katika familia yake.
Bila kumpatia msingi mzuri wa elimu, pamoja na kumjengea hofu ya Mungu; ndio wanakuja kuwa, hawa wanao tanguliza pesa mbele kabla ya mahusiano.
Baba ukiwa mtu wa totoz...
Wakuu habari ya nyie, mi naomba leo niwape promo hawa watu wa SpeedAf kwa kweli wananifurahisha sana.
Tar 5/09/2023 nilipress order yangu, shopping method ilikua ni cainniao global shipping, kama sijakosea, kwa uzoefu niliokua nao zamani ulikua ukitumia njia hii kwa usafiri, jiandae kusubiri...
Kama ningepewa nafasi kuongea na viongozi wangu wa Tanzania kuhusu sekta moja inayo hitaji uwajibikaji kati ya sekta nyingi zenye chanagamoto ningechagua kilimo. kwani haya ndio ndio natamani kuyajadili zaidi.
Tanzania ni moja ya nchi duniani zinazo sifika kwa kilimo. Mazao kama mahindi...
UFUNGUZI
kutokana na teknolojia ya uchanganyaji wa vyakula inavyokua kwa kasi na kutuletea vyakula vyenye uwiano sahihi ,sasa basi kwa namna moja ama nyingine baadhi ya wafugaji wamekuwa wakilazimika kutumia gharama nyingi katika upatikanaji wa vyakula hivyo kwa ajili ya mifugo yao;hivyo...
Wanaforum poleni na mihangaiko ya weekend.
Nimetafakari kwa kina kwa muda mrefu, nafikiri ni wakati sahihi nikaombe ridhaa kwa chama changu CCM panapo majaliwa niwatumike wana same magharibi. Mi ni damu Changa ya kizazi kipya. Kwa miaka nenda rudi Jimbo hili limekuwa na changamoto zile zile...
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.
Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.
Sharia haijaacha...
Hapo jana taa za Sanamu Maarufu la “Kristu Mkombozi”(christ the redeemer) lililopo Rio de Janeiro huko Brazil zilizimwa kwa Muda wa Saa Moja hapo Jana ili kuonesha Mshikamano wa Watu wa Brazil na Mchezaji Vinicius Jr aliyefanyiwa Vitendo vya Ubaguzi huko Spain.
Pia wachezaji mbalimbali kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.