Habari,
Kuna wakati tunashindwa kuamua kufanya maamuzi juu ya jambo au mambo yaliyopo Maishani.
Inatokea ipo biashara unataka kufanya, kazi unataka kuacha, safari unapaswa kufanya lakini yote hufanyi kwanza wewe, na badala yake unaamua kutafuta ushauri Kila sehemu.
Sisemi ushauri ni mbaya...