Leo ni siku ya wanawake duniani, chadema wamefanyia katika ukumbi uliojaa fahari kuu na anasa-Mlimani City.
Kuna Msimbazi Centre ya mwanachadema Padri Kitima na nyingine nyingi, kwa nini chama changu kikodi ukumbi kwa zaidi ya milioni mia moja (100, 000,000/) wakati juzi tu wamelia hawana...
chura kiziwi
duniani
kiziwi
lissu
mapokezi
mlimanimlimani city
rais
samia
sherehe
siku
siku ya wanawake
siku ya wanawake duniani
tundu
tundu lissu
wanawake
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa naye yumo leo Mlimani City kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa na Baraza la Wanawake wa chama hicho katika ukumbi wa Mlimani City Dar Es Salaam
Kuna Vijana Wahuni wamelewa hapa Mlimani City wanapiga Makelele hovyo ya Lissu na Heche kila mahali kuanzia asubuhi hadi muda huu kiasi cha kuwa Kero kwa kila mtu hapa Mlimani City hata ambaye hajaja kwa mambo ya Uchaguzi, Hizi Siasa za kipumbavu hazikuwepo CHADEMA ambayo huko nyuma ilizoeleka...
Akizungumza leo Januari 20, 2025 katika ufunguzi wa Kikao cha Baraza Kuu Mbowe amesema “kila mmoja wetu katika ukumbi huu waliofika Dar Es Salaam na watakaoendelea kuja Dar Es Salaam wote tuje tumenuia mamoja kwamba tutatoka hapa tukiwa imara pamoja(Stonger together)”
Siku ambayo dunia...
Kama ilivyo utamaduni wetu ni kupiga kura na kuzilinda.
Kesho wajumbe watafanya kazi ya kupiga kura.
Baada ya hapo kazi ya kuzilinda kura tutaifanya sisi wananchi pamoja na wanachama kwa ajili ya kuakikisha haki inatendeka.
Ima ima tujitokeze kwa maelfu pale Mlimani City kulinda kura zetu...
Wakuu,
Baada ya wadau kudai kuwa Msigwa ndio alimlipia Lissu ile hela ya yeye kufanya press yake ya Mlimani City, Lissu amejitokeza kupiga uzushi huo
Siku ya leo akiwa anatoka kurudisha fomu ya Uneyekiti CHADEMA, Lissu amezungumzia tetesi za kwamba Peter Msigwa ambaye kwa sasa ametimkia CCM...
Najiuliza tu, hayo mamia ya mamilioni kayatoa wapi wakati juzi tu tulikuwa tunamchangia apate usafiri? Na akaandamana na watu wengi sana, wengine wamelipiwa nauli kutoka mikoani na kulazwa kwenye hoteli zenye fahari kuu jijini Dar es salaam?
Wakuu kwema humu?
Nahitaji chumba masters, cha kisasa maeneo ya Mwenge, Mlimani City au Chuo (Ardhi) au Sinza
Nataka kuhamia tarehe 1 mpaka 3 December!
Bajeti yangu haitazidi 200,000/- TZS
Nicheki +255676095799 kama una pictures kwa maeneo hayo.
Asanteni
Wakuu kwema humu?
Nahitaji chumba masters, cha kisasa maeneo ya Mwenge, Mlimani City au Chuo (Ardhi)
Nataka kuhamia tarehe 1 mpaka 3 December!
Bajeti yangu haitazidi 200,000/- TZS
Nicheki +255676095799 kama una pictures kwa maeneo hayo.
Asanteni
Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.
Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi...
Kariakoo itaendelea kuheshimiwa tuu hata wafanye nini hawawezi kuhamisha wafanyabiashara eti waje kununua bidhaa pale
Hata Mlimani city kipindi inajengwa watu waliaminishwa kua sijui posta au Kariakoo watu watakua hawaendi tena lakini sasa mnajionea wenyewe Kariakoo inakimbiza.
Mi naona...
Kiwanja kinauzwa Makongo CCM
Kilomita moja kutoka Makongo Road
Kiwanja kina njia pande mbili/Conner Plot
Kiwanja kipo juu tambarare
Kiwanja kina SQM 1500+
Kiwanja kinauzwa Milioni 210 tu(maongezi yapo)
Kiwanja kimezungukwa na nyumba za kisasa
Dakika 10 upo Mlimani city
☎️+255 699 255 530
Beach...
Habari za muda huu...
Viwanja vinauzwa..
📍 Vipo goba kantina (Makongo road)
⌚ Dakika mbili kutoka Goba center 🔥
⌚ Dakika 15 kutoka Mlimani city 🔥
🛣️ Mita 30 tuu kutoka barabara ya lami
🏟️ Upande wa kulia kutokea Mlimani city
🏟️ Upande wa kushoto kutoka Goba
🏟️ Viwanja vipo tambalale...
Jamani nimekua selected course ya bachelor of arts with education Duce lakini ninahitaji kwenda udsm mlimani kusoma course nyingine nifanyaje ili kubadili admission
Hapo jana tarehe 19/08/2024 kuna mwanafunzi amekuja akiwa na shida ya kufunguliwa account hapo kwenye Tawi lenu, mmemkatalia.
Eti kwa sababu hana kitambulisho cha NIDA, wakati ambapo anautambulisho kamili toka serikali ya mtaa.
Lakini alipoenda kwenye benki ya CRDB walikubali kumfungulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.