The Malaysian Maritime Enforcement Agency (Abbr.; MMEA; Malay: Agensi Penguatkuasaan Maritim Malaysia – APMM); formally known as Malaysia Coast Guard for international identification, is the coast guard organisation of Malaysia, and principal government agency tasked with maintaining law and order, and coordinating search and rescue operations in the Malaysian Maritime Zone and on the high seas.
The Agency and its members are part of the Malaysian Federal Civil Agency and report directly to the Ministry of Home Affairs. The MMEA however, can be integrated under Malaysian Armed Forces command during an emergency, special crisis, or wartime.The agency maintains close ties with the United States Coast Guard (USCG) and Japan Coast Guard (JCG).
Mmea Mdogo Wenye Mambo Makubwa: Utumie kama chakula dawa ili uepuke kutumia dawa kama chakula!* KIVUMBASI
1. Huu mmea umesambaa Afrika nzima kwa majina tofauti:
Kanda ya Ziwa unaitwa Lumbalumba,
Nyanda za Juu Kusini wanauita Mnunganunga, Kilimanjaro wanauita Mnyenye,
Tanga ni Luvumbampuku...
Watu wengi hufikiri uchungu wa bia unatokana na pombe. Uchungu wa bia hutokana na mmea unaoitwa hop. Watengenezaji wa pombe hutumia mimea mbalimbali kuzipa pombe ladha mbalimbali. Mmoja wa mmea huo ni hop ambao huzipa bia uchungu. Mmea huu upo jamii moja na mmea wa bangi lakini hauna kemikali...
Napal cactus ni mmea wenye asili ya jangwani hasa unapatikana maeneo ya Afrika, Amerika na Asia. Kutokana faida zake na muingiliano wa watu imefanya kusamba maeneo mbalimbali duniani kote. Nopal imekuwa chakula pendwa zaidi Mexico, Asia na baadhi ya maeneo ya Afrika magharibi. hutumika zaidi...
Hapa kijijini mjadala umekuwa ukiendelea kuhusu wanyama jamii ya Punda namna ya ulaji wa mimea, mfano "mhindi" ambao umeng'atwa na punda huwa hauoti tena, tofauti na unapong'atwa na wanyama wengine kama ng'ombe, kondoo au mbuzi, na wanakijiji wamefika mbali zaidi na kusema labda wanyama aina ya...
MAFUTA ASILIA KABISA YANAYOTENGENEZWA NA ROSEMARY ILI KUHAKIKISHA NYWELE INAKUA NA KUJAA KWA MUDA WA WEEK 2.
ROSEMARY NI MMEA UNAOSIFIKA KWA KUKUZA NA KUZUIA NYWELE KUKATIKA.
Tupo Makumbusho stand
Bei ni 15,000/=
0689 209 209
Mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa.
Mchunga ( Dandelion) ni mmea wenye faida nyingi sana Binadam. Hapa Tanzania unapatikana porini na majumbani kama maua.
MCHUNGA ni mmea unafaha na kutibu maradhi mbalimbali kama vile;
Matatizo ya mifupa
kukosa damu
-matatizo ya mkojo
-kisukali
- Figo
-Ini
-Kansa ya damu
kansa ya utumbo mpana...
Nimeukuta mkoani Kigoma. Wenyeji wanasema matunda yake ni matamu na yanaliwa.
Huenda ni dragon fruits ya Kiafrika?
Inasemekana, dragon fruits ni kati ya matunda ghali sana Afrika Mashariki! Ninataka nikaipande shambani kwangu.
Kuna mtu anayefahamu kama yana soko?
Kama yana soko, nitaipanda...
Moringa oleifera is a drought-resistant tree native to South Asia and Africa. It has been cultivated for centuries around the world for its potential health benefits. While the plant's leaves can be eaten, it is also found as a supplement in pill or powder form. The leaves have a spicy...
Habari za mchana wandugu,
Nyumbani kwangu kumeota mmea flani hivi. Kuna mshikaji alikuja home kunisabahai akaniambia linaitwa Kongwa huko Zanzibar. Akasema huko kwao Tanga linaitwa msharifu. Anadai kuwa huu mmea unatumika kuua nguvu za uchawi na waganga wengi sana.
Sikutaka kumuliza maswali...
Salaam wakuu.
Natumai wote mpo salama na mnaendelea na majukumu yenu kama kawaida.
Nina swali ambalo pengine naweza pata majibu hapa,
Mmea wa Bangi unatumika kama dawa kwa baadhi ya watu na wengine wanautumia kwa dhumuni la kujistarehesha kihisia si ndivyo?
Sasa maswali yangu ni haya na...
habari zenu wadau yeyote anayefahamu faida za hizi mambo manake nimeanza kutumia ashagwandha(Mmea unaokua huko india) nilikua natatizo la Depression na anxiety kuna daktari akanishauri nitumie Ashagwandha itanisaidia kuna ukweli wowote juu hizi capsules manake nimejarbu kupita pita huko Youtube...
Habari ya muda huu ,natumai mmeamka salama yote anayewezesha kuwepo mpaka muda huu ni Mungu pekee.
Bila ya kwenda mbali, nimeamua kuandika huu uzi kwa lengo la kupata ushauri juu ya ugonjwa huu ambao umekua unajirudia sanaa kwangu pamoja na kutumia madawa kama Ceftriaxone, Ciprofloxacin...
🥕1. Awali ya yote, ukichukua majani ya bamia ukayachoma kwenye moto na ukachukua yale majivu ukayapaka kwenye ngozi au kidonda ni tiba ya vipele na allergy kwenye ngozi.
🥕2. Halikadhalika ukichukua bamia mbichi ukawa unatafuna pamoja na mdimu kila siku asubuhi kama ulikuwa na kinyama kwenye...
Tafadhali wadau naomba mwenye kuufahamu mmea unaoitwa Mnanaa au kwa kiingereza unaitwa 'Mint" nina uhitaji nao sana hususani majani yake, kwani yanasafisa figo nami nina tatizo hilo.
Tafadhali kwa uungwana wa kipekee naomba mwenye kuufahamu unapopatikana aniline kwa njia yoyote hasahasa "...
Amani kwako mdau.
Mara nyingi siri ya uponyaji ipo kwa Mwenyaazi Mungu mja wa rehema na huwapa wachache nuru ya kujua tiba kutokama na mimea.
Nimeona nisifaidike mwenyewe, huu ni mmea ambao unajiotea wenyewe tu hapo mtaani kwako endapo tu kuna sehemu nyasi zinajiotea pasi kupandwa na mtu...
Kati ya nchi nyingi za Afrika, ni nchi chache sana ambazo wananchi wake wake walikuwa na ule uzalendo wa toka moyoni kabisa, ule uzalendo wa kikondoo wa kuambiwa chochote kile na kiongozi hata wa nyumba 10 na ukatekeleza kiroho safi.
Haka ka kitu sijui nikaite ni uzalendo ama ni nini, sijui...
SIRI Iliyojificha Kwenye Ganja , Kaya , Bangi , Mmea Wa Uzima Inayofanya Kukatazwa Matumizi Yake Nchi Nyingi Duniani Aswa Africa na Kuruhusiwa Matumizi Ya Pombe na Sigara...
Habari yako mpenzi msomaji wa makala hii , natumai wewe ni mzima wa afya kabisa,na kama ni mgonjwa usiwaze sana mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.