Wanasayansi wamegundua mmea mkubwa zaidi duniani katika pwani ya Magharibi ya Australia. Mmea huo una miaka zaidi ya 4,500 na ukubwa wake unakisiwa kuwa ni kilomita 180.
Ukituliza akili ukaangalia maua, miti, mazao basi utagundua ina tabia tofauti ambazo zinavutia sana.
Mfano:
Lotus, hukua kwenye mazingira magumu sana ambayo usingetegemea kama kuna maua yangeweza kukua katika hayo mazingira na kuwa mazuri mno.
Napenda kuyafananisha na wale watoto ambao...
Habari wakuu,
Mwishoni mwa mwaka 1998 na mwanzoni mwa miaka 2000 kuna wanajeshi walienda nchini China kuchukua mafunzo ya ngazi Fulani. Baada ya muda Fulani walirejea nchini, walirudi na vitu mbalimbali ikiwemo zawadi, mmoja kati ya wanajeshi hao ambaye tulikuwa na undugu nae, alirudi na mmea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.