mnada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Lini ni siku ya mnada wa mifugo-Mkata (Handeni)

    Wadau, Naomba kujua siku zipi ni siku za mnada wa mifugo kwa mkata-handeni, natafuta san ambuzi wa kutosha. Natanguliza shukurani kubwa!
  2. Pdidy

    Zile pikipiki zilizopo kwenye vituo vya polisi ziwepo na ukomo wa kukaa

    Leo nilikuwa nakimbizana na wapendwa kadhaa kuwasaidia baadhi ya vituon waliivyopelekwa Ktkt pita pita Yangu nimeona vituon vimejaaza pikipik mpaka unashangaa Na zingine zinaozea vituoniiii TUNAOMBA tu kama USHAURI hixipikpik pale OFISIN hazileti picha nzuri LA kufanya muwe na mda kadhaa...
  3. 3-Star General

    Mnada wa magari yaliyotumika nchini

    Utangulizi: Kumekuwa na changamoto hasa mtu anapotaka kuuza au kununua gari moja kwa moja bila kupitia kwa madalali (middlemen) suala linalosababisha usumbufu kwa muuzaji/mnunuzi kama vile; gari kuchelewa kuuzika kutokana na dalali kuongeza bei huku muuzaji akipewa bei ndogo na/au mnunuzi...
  4. 3-Star General

    Wazo la Mnada wa Magari Yaliyotumika Nchini

    Utangulizi: Kumekuwa na changamoto hasa mtu anapotaka kuuza au kununua gari moja kwa moja bila kupitia kwa madalali (middlemen) suala linalosababisha usumbufu kwa muuzaji/mnunuzi kama vile; gari kuchelewa kuuzika kutokana na dalali kuongeza bei huku muuzaji akipewa bei ndogo na/au mnunuzi...
  5. K

    DOKEZO Mnada wa Mifugo Bariadi - Simiyu, mapato mengi yanaishia mifukoni mwa Wakusanya Mapato

    Kama kuna sehemu uongozi wa Mkoa wa Simiyu, Wilaya ya Bariadi na vyombo vya kiuchunguzi wanatakiwa kutupia macho sana ni hili eneo la mnada wa mifugo Bariadi, unaopatikana kwenye eneo la Halmashauri ya Mji wa Bariadi, Mtaa unaitwa KIDINDA. Kwenye huu mnada wetu ambao kwa wiki unafanyika mara...
  6. A

    KERO Hatujalipwa pesa za Korosho mnada wa 8 nA 9 Newala Kitangali

    Hatujalipwa pesa zetu za korosho wa mnada wa 8,9 Newala kitangari ,tangu mnada umepita ni mwezi sas na hakuna taarfa zozote zinazotolewa kwa katimu wa chama cha msingi Limanga
  7. Nehemia Kilave

    Kampuni ya magazeti ya serikali (TSN) yatangaza mnada , kazi kwenu kuna Range Rover wagon

    Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) imetangaza kuwa itapiga mnada magari mbalimbali ambayo hayatumiki ikiwemo Range Rover Wagon siku ya Ijumaa Desemba 13, 2024. Mnada huo utafanyika katika Jengo la TSN lililopo Mtaa wa Isimani Upanga, Dar es Salaam utahusisha pia pikipiki, vifaa vya TEHAMA...
  8. M

    Naanzaje biashara ya kuuza vitu kwa mnada kama Chris's Lukosi, biashara za Ramsek?

    Habari wakuu, Nahitaji kufanya biashara yakuagiza vitu tofauti na kuuza kwa mtindo wa mnada kama wafanvyo hao kina Chris lucos, biashara za ramsek
  9. Mwakawasila

    Jinsi ya kushiriki kwenye Mnada wa hatifungani za Serikali

    1.Fungua akaunti ya uwekezaji (BOT CDS ): Ili kufungua akaunti hii mwekezaji anatakiwa aambatanishe vitu vifuatavyo. a. Picha 3 za passport b. Copy ya TIN certificate c. Copy ya kitambulisho cha taifa 2.Baada ya kuhakikisha viambatanisho vinavyohitajika, mwekezaji anatakiwa Kujaza fomu ya...
  10. N

    Huu utapeli ni mpya au upo? Wauza Vyombo vya Mnada wawaliza kina mama Kimara, kuweni makini

    Aina ya risiti zao Leo asubuhi kina mama wa Mtaa wa Kilungule B Kata ya Kimara, Wilaya ya Ubungo wameamka na vilio baada ya kutapeliwa na watu waliokuja kufanya mnada wa vyombo mbalimbali kama masufuria na vifaa vingi vikiwa vya kieletroniki kama simu, laptop, sabufa, pasi na vitu vingine...
  11. Mlaleo

    Pete ya Nasrallah kuuzwa kwa Mnada kwa yeyete Bei ya kuanzia mnada ni USD 113,000$ = na TZS Milion 300 na ushee

    Iranian network announces auction of Nasrallah's ring to aid Lebanese people, starting bid at $113,000 Lebanon News 2024-10-23 | 17:28 Mtandao wa "Ofogh" wa Iran ulitangaza kwenye akaunti yake ya X kwamba unapanga kupiga mnada pete ya Gaidi katibu mkuu wa zamani wa Hezbollah, Hassan Nasrallah...
  12. aBuwash

    Wakulima wa Korosho Mtwara, Mnada wa kwanza kilo 4075-4070

    Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU, Karimu Chipola amefungua rasmi mnada wa kwanza leo Na bei ndo ni kuanzia kilo 4075 hadi 4070 Kwa kweli hongereni wakulima hiyo ni babu kubwa sana
  13. Dr Matola PhD

    Kwanini taasisi za kanisa zinapotengeneza faida waumini hatuhusishwi na wala hatunufaiki na lolote?

    Huu mjadala nimeutoa Facebook tuuchakate kwa mapana yake. Ni kwa nini taasisi za kanisa zinapotengeneza faida waumini hatuhusishwi na wala hatunufaiki na lolote? Ukondoo sasa basi, tunatumia akili zetu kwa kila jambo. ========= INAWEZEKANA KUNUSURU MALI ZA KANISA LA KKKT ZISIPIGWE MNADA NA...
  14. Kasri Homes Tz

    INAUZWA Iringa Town, Business Center for Sale - Iringa

    • Direction: Iringa Town opposite Mlandege main bus terminal • Built up area: 277 sqm • Plot area: 4320 sqf (401 sqm) • Document: Title deed • Price: USD 950,000 . • 22 hired shop frames 3 on front side 6 beside 13 in the corridor • The frames laid on a foundation of 9 storey building • The...
  15. L

    Hatimaye basi la Kilimanjaro latangazwa kupigwa mnada

    Kampuni ya udalali ya Legit Auctin Mart ya Dar es Salaam imetangaza mnada wa kuuza basi la kampuni ya Kilimanjaro Express kwa amri ya mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam. Kutangazwa kuuzwa kwa basi hilo kutokana na kampuni la Kilimanjaro kushindwa kulipa deni la shilingi milioni mia tatu...
  16. JS Dairy Farm

    Maonesho makubwa ya mifugo na mnada kufanyika kuanzia 14-16 juni 2024

    Chama cha wafugaji kibiashara(Tanzania commercial cattle society) kimeandaa maonesho makubwa ya mifugo na mnada yatakayoanza tarehe 14-16 juni 2024. Yatafanyika katika shamba la Mbogo ranches lililopo Ubena zomozi, km kadhaa baada ya kutoka Chalinze. Shamba hilo lipo kando ya barabara ya...
  17. R

    Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii

    Salaam, Shalom! Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri. Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa? Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa...
  18. BigTall

    Mnada ambao NHC wamenunua eneo la Urafiki kwa Ekari 50 kwa Bilioni 3 ulifanyika lini? Wapi? Nani walioshirikishwa?

    Nimesoma hapa JF kuhusu NHC kununua eneo la urafiki kwa njia ya Mnada kwa Shilingi Bilioni 3, nikahisi labda wamekosea au walimanisha Dola Bilioni 3, nilipoenda kwenye kurasa rasmi za NHC nikakutana na taarifa ileile. Taarifa ya Ununuzi - NHC yanunua eneo la Urafiki lenye ekari 50 na majengo...
  19. Chachu Ombara

    Mzee Cheyo: Uchaguzi wa sasa ni mnada, kama huna pesa hupati

    Katika mjadala rika uliokutanisha wadau mbalimbali wa siasa, Mzee Cheyo akichangia amewaasa vijana kuhakikisha wanapigania sheria nzuri za uchaguzi kwani sasa tumepewa tafsiri mbovu ya uongozi kuwa ni pesa. Amesema kama sasa hivi vijana wanataka kufirisika katika maisha yao basi waende kwenye...
  20. Pfizer

    Nyumba ya Dudley Mbowe kupigwa mnada kwa kushindwa kulipa Sh milioni 62.7 za waandishi

    Na mwandishi wetu Dar es Salaam MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imetoa amri na kumteua dalali wa kukamata nyumba ya mtoto wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, Dudley Mbowe na kuipiga mnada kwa kushindwa kulipa Sh milioni 62.7 za waandishi wa habari. Uamuzi huo wa mahakama...
Back
Top Bottom