mnazi

The Mnazi Bay-Ruvuma Estuary Marine Park (MBREMP) was established on 1 July 2000 under Act No. 29 of 1994 of Marine Parks and Reserves of Tanzania.
The park is in the Mtwara district of Southeast Tanzania and extends to the border with Mozambique. The area is considered to have globally significant marine biodiversity values and covers 650 square kilometres, of which 33% is on land. The park extends from the northern portion of the Ruvuma Estuary to Mnazi Bay, including the headland of Ras Msangamkuu.
The environment within the park includes mangroves, rocky and sandy shoreline, mudflats, salt pans, fringing coral reefs, lagoonal patch reef, seagrass beds, three islands (Namponda, Mongo and Kisiwa Kidogo) and numerous small rocky islets.
The Park is home to nesting grounds for Green and Hawksbill turtles, and a number of marine mammals have been seen in the area including migrating Humpback whales and the Indopacific Humpback dolphin. A large population of crab-plovers led to the area being designated as an Important Bird Area (IBA) in 2001.
The area was also once home to dugongs but the last confirmed sighting was in 1992, although there have been unconfirmed sightings since.Close to 30,000 people live within the park, depending mainly on marine resources for their livelihoods; the park includes in its boundaries 11 villages and 8 sub-villages. There are few opportunities for development hence poverty is rife. This has created an over dependence on marine resources and the persistent use of destructive fishing methods.
Gas was discovered in Mnazi Bay in 1982, and wells were brought into operation in 2006. Gas from the wells is now piped to Mtwara where a gas to power plant provides electricity for the Mtwara and Lindi areas. However, the quantity of gas available is far greater and the wells have now become the focus of plans to supply power to the national grid in an attempt to relieve national power supply problems.

View More On Wikipedia.org
  1. Poppy Hatonn

    Mkutano wa VP Mpango Mnazi Mmoja umeanza vibaya. Kibaka aiba simu ya Katibu Mwenezi wa Mkoa.

    Kwenye mkutano wa CCM, mkutano mkubwa,.sherehe kubwa,wasaniii wengi pale,.pamoja na Zuchu. Lakini kibaka kaiba simu ya mheshimiwa. MC akaambiwa atangaze ili simu ipatikane. Kwa hiyo MC ametangaza:"Yupo mwanaCCM mmoja mwaminifu ameichukua simu ya Katibu Mwenezi. Tunaomba airudishe."
  2. mdukuzi

    Mnaodhani Hayati Magufuli aliokota Dodo chini ya mnazi, mnajidanganya alijiandaa kuwa Rais miaka 20 kabla

    Naweza sema ni mzee Ruksa, Mkapa na mama Samia ndio waliokota dodo chini ya mnazi, Nyerere, Kikwete na Magufuli waliutafuta urais kwa mbinu zote chafu na safi. Leo tumuangalia Rais Magufuli, Pompeo wa bongo alivyousaka urais kwa mbinu za chini kwa chini. Hapo mwanzo kulikuwa na jimbo moja...
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Mnazi na wenye mafaniko

    MNAZI NA WATU WENYE MAFANIKIO Na, Robert Heriel Maandishi ya Robert Heriel kwa Lugha ya Kiswahili. Haki zote zimehifadhiwa. Leo tutaangazia habari ya Mti wa Mnazi na namna ulivyo na ufanano na watu wenye mafanikio. Bila shaka baada ya andiko hili tutakuwa tumejifunza mambo fulani yenye...
  4. T

    UONGOZI WA EFM: Huyu mtangazaji wenu mnazi wa Yanga, Twalib Omar aka Muwa, sio proffessional na anapiga kelele tu kuutetea Uyanga wake

    Amani iwe nanyi Moja kwa moja nauendea uongozi wa EFM radio juu ya mtangazaji wao wa kipindi cha Esports anayefahamika kwa jina la Twalib Omar aka Muwa, kwa muda mrefu nimekuwa nikisikiliza kipindi chenu cha mchezo cha asubuhi, huyu mtangazaji wenu anashindwa kusimama katika professionalism ya...
  5. Mohamed Said

    Uwanja wa Mnazi Mmoja 1948

    UWANJA WA MNAZI MMOJA 1948 Nilipata kuandika katika moja ya mitandao ya kijamii kuwa takriban kila aliyesikika katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika yumo ndani ya Nyaraka za Sykes. Baadhi ya wasomaji walinishambulia wakinishutumu kuwa nina mkakati wangu maalum wa kuharibu historia...
  6. simplemind

    Jinsi ya kuukata mnazi jirani ya nyumba bila hasara.

  7. Mohamed Said

    Wanawake katika mikutano ya mwanzo ya TANU Mnazi Mmoja

    WANAWAKE KATIKA MIKUTANO YA MWANZO YA TANU MNAZI MMOJA Peleka jicho lako upande wa kushoto utaona wanawake wamevaa mabaibui meusi. Hawa ndiyo wanawake ambao Daisy anawahadithia katika kumbukumbu ya marehemu baba yake: ''Kitu cha kufurahisha ni kuwa hawa akina mama wa Kiislam wote walivutwa...
  8. Lupweko

    Je, kinywaji aina ya ‘mnazi’ ni halali kwa Waislamu?

    Moja kwa moja kwenye hoja. Kinywaji hiki cha 'mnazi' ni maarufu sana na kinatumiwa kwa wingi katika ukanda wa pwani wa nchi yetu ambao kwa kiasi kikubwa una idadi kubwa ya waumini wa dini ya kiisilamu. Kwa kuwa kinywaji hiki kina 'ulevi' ndani yake, yaani kwa kunyoosha maelezo ni pombe, na kwa...
Back
Top Bottom