Nini manitiki ya wakala mdogo wa pesa anayeanza biadhara kuwa attached.ana.wakala mkuu na.pesa akipata anapunjwa anagawana.na.wakaala.mkuu.
Kazi ya.msingi.ya.wakala.mkuu.ni.nini.kwenye mobile.money.business
Want to own an app/site for Selling eBooks, PDFs, Magazines, Exams, Photos, Drawings, Music, Software, and More to thousands of customers online? We offer a ready-to-use web system that you can fully own!
📲 +255 657 685 268
🔥 Powerful Features Included:
✔ Instant Payments & Downloads –...
app
bitcoin
digital
digital files
ebooks
file
forex
mobilemoney
moja
mpesa
online
online business
online money
pdf
sell online
side business
side hustle
uza
website
wengi
Habari zenu wakuu,
Experts wa mambo naombeni ushauri hapa. Nina 30mill, niko interested na kufungua Phamarcy/uwakala wa miamala ya pesa (simu na bank).
Je, biashara ipi itafaa na haitanihitaji mda wote eneo la kazi?
Changamoto na faida zake.
Asanteni.
Jeshi la Polisi nchini limezindua Mfumo wa kidijitali wa huduma za kifedha uitwao (URA MOBILE MONEY) utakaotumika na Viongozi pia Wanachama wa URA SACCOS katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Jijini Dar es Salaam Leo Septemba 30, 2023.
Akizungumza katika hafla fupi ya Uzinduzi wa Mfumo huo Mgeni...
Safaricom is still hopeful that it will launch mobile money services in Ethiopia as it awaits the decision on the acquisition of a licence to operate in the country.
The telco’s bid for control of the Ethiopian telecommunication market seems to have received a boost ahead of the official...
Naomba nitumie ile salamu inayozidi kuchukua sura mpya kila kukicha, ambayo mwasisi wake ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassani (SASHA au SSH).
Ninawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Unaweza kuitikia kimoyomoyo) Kazi iendelee
Mara baada ya...
Wana jukwaa,
Naomba maelezo ya namna ya kuwa wakala wa M-PESA pamoja na uuzaji wa luku.
Ikiwezekana kama kuna mtu anayehusika moja kwa moja naomba kumuona. Nipo Dar es Salaam
wapalepale post
Heshima kwenu,
1. M PESA
2. Tigo pesa
3. Airtel money
4. CRDB fahari huduma
5. Kifaa cha max malipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.