mod

  1. Gemini Are Forever

    Jinsi ya kuseti Dream league soccer 23 Simba SC mod.

    Salaam wakuu. Kama picha inavyoonekana hapa juu, nimeseti hili game la Dream league soccer Simba SC mod vizuri lakini mwishoni kwenye hatua za kuanza kuplay linagoma na kuleta maneno Kama picha inavyoonekana hapa chini. Je, tatizo Nini wakuu? Mwenye uzoefu anipe msaada🙏🏿🙏🏿
  2. Black Opal

    Leo tuwape Mods na Kiongozi Melo maua yao. Mod gani anakukosha? Alifanya kitu gani ukafurahia uwepo wako JF?

    Wakuu kwema? Mada inajieleza kabisa hapo. Leo ni tuwape Mods wa JF pamoja na Muanzilishi wa JF, kioo cha wengi Bwana Maxence Melo maua yao. Sema jinsi Mods na Melo wanavyosaida siku yako iwe nzuri kila unapoingia JF. Ulifanyiwa kitu gani kikakupendeza mpaka ukatamani uwatoe hata ka ofa ka...
  3. OmaryElias

    Nitaishi hivi hadi lini lini?

    Sijui nimemkosea nin mwenyezi Mungu mimi kama kuna kosa napiga magoti natoa chozi mbele yako nisamehe nitoe kwenye haya mateso. Natoa historia yangu fupi, sina elimu ya uandishi maana elimu yangu ya shuleni ni ndogo. Kwa majina yangu ni Juma Elias Chacha, ni mwenyeji wa Tarime Bomani ndo...
Back
Top Bottom