The ruler of Dubai and head of global racing giant Godolphin, 72, was hit with the half-a billion-pound settlement in a 73-page ruling published on Tuesday.
And as part of it, Princess Haya, 47, has been awarded £5m to ‘buy a few reasonable horses’ of her own and ‘run them for several years’...
Usikilizwaji wa Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu; Halfan Bwire Hassan, Adamu Hassan Kasekwa na Mohammed Ling'wenya inatarajiwa kuendelea leo Desemba 14, 2021
Mahakama inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu pingamizi la Mshitakiwa Mohammed...
Ni takribani kilometa 5,627 kutoka katikati ya mjini mkuu wa misri Cairo mpaka katika jiji kubwa la London pale nchini Uingereza hakika ni umbali mrefu lakini nani anajali kama unaenda kupambana kutafuta maisha.
Alitokea katika ardhi yenye historia kubwa zaidi duniani ardhi yenye historia pia...
Marehemu Maalim Seif Mohamed Azzan amefariki dunia usiku wa kuamkia leo kisiwani Pemba. Marehemu ni miongoni mwa waasisi wa harakati za mageuzi na kuwaunganisha wazanzibari, kupigania haki na demokrasia ya vyama vingi.
Maalim Seif Azzan amewahi kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika- Mo - "Time ya Ushindani (FCC) imeshatupa ruhusa, hivyo mchakato wa mabadiliko ya Simba umekamilika, tumepewa vipengele vichache vya kufanyia kazi kama kutoa fedha," - Mohammed Dewji.
====
MWENYEKITI wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba, Mohamed Dewji "Mo...
Ameshamalizana na Simba SC dakika 15 zilizopita na anaendelea kubakia Simba SC mpaka pale atakapozeeka kabisa.
Na sasa kuna Clause tumeweka ambapo Timu za ndani kama Azam FC ikimtaka itoe Tsh Bilioni 1 tu.
Kama Klabu ya Yanga SC ikimuhitaji basi itabidi imnunue kwa Tsh 37 Bilioni tu.
Klabu...
SIMBA NI TEAM KUBWA. MOHAMMED HUSSEIN ni mchezaji kama wachezaji wengine waliopita Simba wakaenda zao. Huyu hawezi Isumbua Simba hata kidogo.
Mwacheni Meneja wake asiye na Shule amchukue ampeleke anakotaka. Mkimsajiri Mo Hussein kwa kushirikiana na huyu Meneja Mhuni.
Alikuwa na njia sahihi za...
Naona wanaohangaika sana na hili suala ni baadhi ya wachambuzi na Mzozo. Nadhani kama Simba wanamuhitaji wataongeza wau wangemwongeza.
Sioni issue inakuaje kwa Mohammed Hussein aonekane bila yeye Simba haiwezi kwenda mbele? Nadhani wamwache tu aamue anachotaka, ana haki ya kwenda popote...
Kutoka kwa Nguli la Artifical Intel
=AZVPJI1yW9MoSQQLn68jW059p2Hv9XovEul-4su0ExTptJBYvDyS1jE5BzK4VAjAg3BPzbI5cl3_G1i3_IVWYde5oHPBIku7pj_dWLi-vjUNkq-t6QDJYUANsPiE71cRXRnvYf8ry6HAPQzOgsnRiNESlOhsj5GV4YoFJKBSAXIKfDAMnXeQyhtjAwwxN8jaSQE&tn=-R']Yahya Msangi
Wakati wa zile RTC palitokea uhaba wa...
KUMBUKUMBU YANGU FUPI YA MOHAMMED SEIF KHATIB
Mara yangu ya kwanza kukutana na Mohammed Seif Khatib uso kwa macho ilikuwa Makka wakati wa Hijja mwaka 1998.
Balozi Ramadhani Dau alinichukua kwenda kumsalimia Mzee Aboud Jumbe ambae alikuwa amefikia kwenye nyumba za wageni wa Mfalme wa Saudi...
Kiwango chake cha Uchezaji kwa Siku za karibuni si tu Kinashuka bali Kinaporomoka vibaya mno hadi naanza Kujiuliza Maswali mengi na kupatwa na wasiwasi.
Tshabalala sasa amekuwa Mzito Uwanjani, hakabi kama Kawaida yake, hasa Kasi yake ile, anapitika Kiurahisi sana na Washambuliaji lakini pia...
Everyone won't believe just like it was in Tunisia. The country was quiet, peaceful and life was normal.
But just a slip of mistreating the vegetable hawker, Mohammed Boaziz, led to the unstoppable revolutionary political hurricane branded as "Arab spring".
Mr. Lisu is made up of the same...
TUNATARAJIA UCHAGUZI MKUU UTAKUWA WA UHURU NA HAKI, YEYOTE ATAKAYETUTIKISA TUTAMWANGUSHA KAMA PAPAI MTINI"
KATIBU MKUU CUF HAROUB MOHAMMED SHAMIS
Ameyasema hayo katika Mkutano Mkuu Maalum wa kuwachagua wagombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Urais wa Zanzibar uliyofanyika julai...
Mwenyekiti wa Chama cha ADC ambaye pia ni Waziri wa Afya Zanzibar Hamad Rashid Mohammed, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho.
Mgombea Namba 15: Dk Khalid Salum Mohammed aliyekuwa waziri wa fedha Zanzibar Leo wamejitokeza ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui kuchukia fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar
Mheshimiwa Bilal.
Popote ulipo, bado wapo Watanzania tunaokukumbuka kwa utumishi wako makini wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Elimu yako haina Chembe ya shaka, wewe ni mtaalamu wa Physics ya masuala ya Nyukilia, kwa hiyo naturally wewe ni kichwa. Ndani ya Afrika mko wachache.
Huwa...
Aliyekuwa Naibu Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa na Mwambata Ubalozi India, Mohamed Hija Mohammed amechukua fomu ya kuwania kuteuliwa kugombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya CCM katika ofisi kuu ya CCM Zanzibar, ambapo sasa anakuwa ni mgombea wa 8 kuchukua fomu hiyo.
She is qualified because she was a senior official at the WTO before resigning to become a minister in the GOK
Will Kenya’s Amina Mohamed be the WTO’s first African leader?
By World Trade Organization / Studio Casagrande, CC BY-SA 2.0
Just weeks after current World Trade Organisation...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.