monkeypox

  1. Gama

    WHO: Ugonjwa wa Monkeypox unatarajiwa kusambaa zaidi

    Shirika la Afya Duniani - World Health Organization limesema kuwa linategemea kuwepo visa vingi zaidi vya mlipuko wa ugonjwa wa MONKEY POX na kupata visa vingi zaidi. Amesema pia kuwa kusambaa kwa ugonjwa huu kulipungua katika kipindi cha mlipuko wa UVIKO na kusema kuwa visa vya ugonjwa huu...
  2. Lady Whistledown

    Rais Biden atoa angalizo Virusi vya Monkeypox, asema vikisambaa itakuwa ni hasara kubwa

    Rais wa Marekani, Joe Biden amesema Dunia inapaswa kuwa na uangalifu kuhusu maambukizi ya Virusi vya Monkeypox ambayo yanazidi kusambaa na unaweza kusababisha athari mbaya ikiwa utaendelea kusambaa. Amesema Wanasayansi walioo Marekani wanaendelea kupambana kutafuta dawa na ikiwezekana kuwe na...
  3. chizcom

    Wizara ya Afya tunaomba kufahamishwa ugonjwa wa Monkeypox kabla haujazuka Tanzania

    Kumeanza kuenea kwa habari kuhusu ugonjwa huu sehemu za mipaka nchi mbali mbali na hata huko USA na wagonjwa kupatikana. Ugonjwa huu husababishwa na virusi vya nyani, na ni sehemu ya familia moja ya virusi kama tetekuwanga na ndui. Ni nadra sana nje ya Afrika, na CDC inasema virusi hivyo...
Back
Top Bottom