morrison

Sir George Ivan Morrison (born 31 August 1945), known professionally as Van Morrison, is a Northern Irish singer-songwriter, multi-instrumentalist and record producer whose recording career spans seven decades. He has won two Grammy Awards.Morrison began performing as a teenager in the late 1950s. He played a variety of instruments such as guitar, harmonica, keyboards and saxophone for several Irish showbands, covering the popular hits of that time. Known as "Van the Man" to his fans, Morrison rose to prominence in the mid-1960s as the lead singer of the Northern Irish R&B and rock band Them. With Them, he recorded the garage band classic "Gloria".
Under the pop-oriented guidance of Bert Berns, Morrison's solo career began in 1967 with the release of the hit single "Brown Eyed Girl". After Berns's death, Warner Bros. Records bought out Morrison's contract and allowed him three sessions to record Astral Weeks (1968). While initially a poor seller, the album has become regarded as a classic. Moondance (1970) established Morrison as a major artist, and he built on his reputation throughout the 1970s with a series of acclaimed albums and live performances.
Much of Morrison's music is structured around the conventions of soul music and R&B. An equal part of his catalogue consists of lengthy, spiritually inspired musical journeys that show the influence of Celtic tradition, jazz and stream-of-consciousness narrative, such as the album Astral Weeks. The two strains together are sometimes referred to as "Celtic soul". His live performances have been described as "transcendental" and "inspired", and his music as attaining "a kind of violent transcendence".Morrison's albums have performed well in Ireland and the UK, with more than 40 reaching the UK top 40. With the release of Latest Record Project, Volume 1 he scored top ten albums in the UK in four consecutive decades. Eighteen of his albums have reached the top 40 in the United States, twelve of them between 1997 and 2017. He has received two Grammy Awards, the 1994 Brit Award for Outstanding Contribution to Music, the 2017 Americana Music Lifetime Achievement Award for Songwriting and has been inducted into both the Rock and Roll Hall of Fame and the Songwriters Hall of Fame. In 2016, he was knighted for services to the music industry and to tourism in Northern Ireland.

View More On Wikipedia.org
  1. Ken Gold FC tafadhali msitupotezee muda kwa lawama zenu dhidi ya ''maudhi'' ya Bernard Morrison mliyemsajili Kimhemko

    Yaani kama Yanga SC na Simba SC wamemshindwa kwa tabia zake nyie ndiyo mtamuweza? Na mlivyo Wapuuzi nyie wenyewe ndiyo mmempa Mkataba 'Maalum' kuwa awe anakuja tu huko Mkoani kwenu mliko Siku Mbili kabla ya Mechi yoyote na akimaliza Kucheza Siku hiyo hiyo anarudi Dar es Salaam kuendelea kula...
  2. Bernard Morrison: Nimekuja Bongo kujitafuta sio kupata Hela – Muhimu ni kuibakisha KenGold

    Hiki Kiswahili cha BM3 🫰🏽 Mchezaji nyota Bernard Morrison kwenye mahojiano na Azam TV asema amekuja Bongo kujitafuta sio kupata hela, kwani ametoka kupona majeraha sio rahisi kurudi moja kwa moja kwenye timu zenye presha (kubwa) – Muhimu ni kuipambania KenGold kuibakisha Ligi Kuu ya NBC.
  3. KenGold yamnasa Bernard Morrison, yajipanga kuwasajili Yondani na Chirwa

    KenGold imemsajili winga wa zamani wa Yanga na Simba, Bernard Morrison kwa mkataba wa miezi sita huku ikikaribia kuwanasa Kelvn Yondani na Obrey Chirwa. Timu hiyo inaonekana kuweka kipaumbele kwa wachezaji huru ili kutolipa ada za uhamisho katika dirisha hili dogo la usajili linaloendelea kwa...
  4. Yanga ni timu ya kuogopwa, Benard Morrison yupo Ken Gold, Djuma Shaban atupiwa virago Namungo FC

    Katoka AS vita katua Jangwani akiwa na uwezo mkubwa sana ndani ya miaka mitatu hata Namungo hawataki kumuongezea mkataba, wanemtupia virago, wanadai uwezo wake ndogo ,huyo ni Djuma Shaban, hana timu ya kucheza kwa sasa. Kwingineko Benard Morisson ametua KenGold timu inayoekekea kushuka daraja...
  5. S

    Ni afadhali Simba imrudishe Morrison Koliko huyu Joshua Mutale

    Aisee hyu Jamaa arudi kwao maana Simba imemshinda, bora Morrison au arudishwe Sakho kuliko hasara hii, hii ni hasara kubwa kwetu, rudisheni Morrison
  6. Mwambieni Morrison aanzishe Timu yake na Amsajili Manula ila kwa tunaomjua Madhaifu yake na Alivyotuumiza hapati Namba Simba SC hii ya sasa

    Aliyekuwa winga wa klabu za Simba na Yanga, Bernard Morrison amempa maua yame kipa Aishi Manula kwa kiwango kizuri alichokioinesha katika mchezo wa kufuzu Afcon 2025 dhidi ya Guinea. Morrison ameweka ujumbe katika Insta story yake baada ya Taifa Stars kuichapa Guinea bao 1-0 na kufuzu michuano...
  7. Hivi Morrison kapotelea wapi??

    Mzee wa mbwembwe kibao Mzee wa kuwakera, mara ya mwisho kumskia alikuwa analia na raisi apewe uraia wa Tanzania. Yuko wapi sikuizi au ndio mpira kushnei?
  8. Kwa nini tukikutana na mwanaume ana jina la kike unakuwa mjadala wa kitaifa?

    Mtanisamehe kwa makala ndefu ila hili inabidi leo tuliongelee. Mimi ni mmoja wa watu ambao kuna kipindi nilikuwa nashangaa nikikuta mwanaume ana jina la kike. Kyrie, Shannon, Courtney, Lindsay, Klay yote ni majina yalikuwa yananishangaza kukuta amepewa mwanaume. Nikaja kukutana na Joyce ndiyo...
  9. Professor Nabi na Morrison hali ni tete CAF CL

    Ikiwa mechi ya pili ya marudiano kati ya Far Rabat na Etoil du Sahel, kocha wa zamani wa Yanga prof Nabi pamoja na mchezaji wa zamani mtukutu Morrison wana kibarua kigumu leo kufuzu michuano ya klabu bingwa hatua ya makundi. Mechi ya awali iliisha kwa Far Rabat kufungwa goli moja na leo wakiwa...
  10. Hela ya kuwalipa akina Morrison na Doumbia huna huyu Makabi Lilepo ndiyo Ungempata?

    Na Mashabiki wa Timu yako wengi wao wasivyo na Akili wakaanza Kuamini kuwa Five Five za Kubahatisha FC watamsajili Kiungo Mshambuliaji Makabi Lilepo na hatimaye dirisha la Usajili limepita Jana hajaja. Haya haraka sana tafuteni Pesa za Kuwalipa akina Morrison na Doumbia kabla hawajaenda FIFA na...
  11. Wakati Skudu sasa amewazimieni Simu jitahidini mumlipe Morrison kabla hajaenda FIFA na Mkafungiwa Maisha

    Yaani kabisa GENTAMYCINE nije na Exclusive hapa JamiiForums halafu isiwe Kweli 100%? Kudadadeki. Mlipeni Skudu haraka ili Kesho apande Bung'o (Ndege) arejee Tanzania vinginevyo atajikita sasa Kutunga Nyimbo za Amapiano na Kuzicheza tu huko huko Kwao Bondeni.
  12. Morrison ndiye mchezaji pekee mjanja kwenye timu ya Yanga

    Hapa nazungumzia saikolojia ya kucheza na refa. Waarabu kitu kidogo wamelalamika na kuonekana kama wameonewa. Mpira katoa yeye anakimbilia atake kurusha na uhuni mwingine mwingi. Mambo kama haya yanaathiri saikolojia ya refa na maamuzi yake ya baadaye. Ni Morrison pekee ndiye anaweza uhuni huu...
  13. S

    Yanga Watoa Sababu za Winga Mtukutu Morrison kutocheza Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬

    Y YANGA imeeleza sababu ya winga wake Bernard Morrison 'BM33' kutotumika kwenye mchezo wa kwanza robo fainali Kombe la Shirikisho dhidi ya Rivers United uliopigwa kwenye Uwanja wa Godswill Akpabi nchini Nigeria. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Yanga kupitia kwa Kocha msaidizi Cedric Kaze...
  14. Bernard Morrison katumwa na Simba kuja mwaribu Mayele....

    Huyu jamaa mshenzih sana.... Kwenye video hapa tunaona wakati mayele kainamishwa yeye anaenda kumtia kidole. Tunaona jinsi ambavyo Mayele anaruka na apotizama kumwona BM anatulia Huyu BM alitumwa na Simba kuja kuharibu wachezaji Yanga. Tutamshusha busha mbwa huyu.... Asije akatuharibia chezaji...
  15. Nilikuwa mmoja ya watu wa kwanza kupinga usajili wa Bernard Morrison na kweli hajaniangusha. Huu ni uhuni kwa sisi Yanga

    Hawa watu niliwakataa 1. Haji Manara (huyu hana akili ila alituona sisi Yanga ndo hatuna akili. Simba wakamfukuza) sisi tukaona tumeokota Dodo. 2. Bernard Morrison (huyu alitudhalilisha sana...tulihangaika TFF, CAF na CAS. alikuwa anatuonesha dharau sana) ameachwa Simba tumemkimbilia ameanza...
  16. Morrison asimamishwa Yanga kwa utovu wa nidhamu

    Mchezaji wa Klabu ya Yanga, Benard Morrison anadaiwa kusimamishwa na Kocha wa klabu hiyo, Nasreddine Nabi kutokana na utovu wa nidhamu. Taarifa zinadai kuwa mchezaji huyo alipewa adhabu hiyo na wachezaji wengine wawili wa klabu hiyo, Djuma Shaban na Farid Mussa ambao kwa ujumla wamekosekana...
  17. Ya Makocha Nabi na Kaze 'Kutukanana' mlibisha haya Kanusheni sasa na la Aucho na Morrison kutukanana jana mazoezini

    "Wachezaji wa Yanga SC kiungo Khalid Aucho na mshambuliaji Bernard Morrison jana wakiwa mazoezini kambini kwao Avic Tawn walitukanana huku Aucho akimwambia Morrison hana akili na Morrison naye akimwambia Aucho kubwa jinga." Tembelea taarifa hii kutoka mtandao wa Sports Arena, ila ukiniuliza...
  18. Sikubaliani hata kidogo na utovu wa nidhani wa Bernard Morrison, lakini kuna hoja za msingi ni lazima zijibiwe na TFF.

    3ANAANDIKA Mchao Tv KWA MFANO TU Mechi ya Azam dhidi ya Yanga ilipigwa Septemba 6, 2022 (zaidi ya wiki mbili zilizopita, ni siku 16 zilizopita) ambapo mchezaji wa Yanga Bernard Morrison alifanya utovu wa nidhamu kwa kumkanyaga Lusajo Mwaikenda wa Azam kwa makusudi. Kwa mfano Bodi ya Ligi...
  19. N

    Jenerali Manara, wanayanga wanasubiri wito na amri yako kuhusu Morrison kufungiwa

    Huu uonevu hadi lini jamani? wanayanga wanahoji huko mtandaoni haswa facebook... wanadai mechi ya ihefu iliahirishwa kimkakati ili Bm 3 aikose simba Kwani ratiba ya international games haikujulikana kabla? wanahoji mbona Inonga hadi leo hajafungiwa? Jenerali manara,wana yanga ni watiifu sana...
  20. Morrison being Morrison

    Kuna mtu kadandia mtumbwi wa vibwengo huko twitter. Mjifunze kubalansi shobo
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…