morrison

Sir George Ivan Morrison (born 31 August 1945), known professionally as Van Morrison, is a Northern Irish singer-songwriter, multi-instrumentalist and record producer whose recording career spans seven decades. He has won two Grammy Awards.Morrison began performing as a teenager in the late 1950s. He played a variety of instruments such as guitar, harmonica, keyboards and saxophone for several Irish showbands, covering the popular hits of that time. Known as "Van the Man" to his fans, Morrison rose to prominence in the mid-1960s as the lead singer of the Northern Irish R&B and rock band Them. With Them, he recorded the garage band classic "Gloria".
Under the pop-oriented guidance of Bert Berns, Morrison's solo career began in 1967 with the release of the hit single "Brown Eyed Girl". After Berns's death, Warner Bros. Records bought out Morrison's contract and allowed him three sessions to record Astral Weeks (1968). While initially a poor seller, the album has become regarded as a classic. Moondance (1970) established Morrison as a major artist, and he built on his reputation throughout the 1970s with a series of acclaimed albums and live performances.
Much of Morrison's music is structured around the conventions of soul music and R&B. An equal part of his catalogue consists of lengthy, spiritually inspired musical journeys that show the influence of Celtic tradition, jazz and stream-of-consciousness narrative, such as the album Astral Weeks. The two strains together are sometimes referred to as "Celtic soul". His live performances have been described as "transcendental" and "inspired", and his music as attaining "a kind of violent transcendence".Morrison's albums have performed well in Ireland and the UK, with more than 40 reaching the UK top 40. With the release of Latest Record Project, Volume 1 he scored top ten albums in the UK in four consecutive decades. Eighteen of his albums have reached the top 40 in the United States, twelve of them between 1997 and 2017. He has received two Grammy Awards, the 1994 Brit Award for Outstanding Contribution to Music, the 2017 Americana Music Lifetime Achievement Award for Songwriting and has been inducted into both the Rock and Roll Hall of Fame and the Songwriters Hall of Fame. In 2016, he was knighted for services to the music industry and to tourism in Northern Ireland.

View More On Wikipedia.org
  1. Mr_Plan

    Morrison katukosea sana, yaani sisi Wana-Yanga hatujasoma! Kweli hatuelewi anachoongea?

    Kwa kweli tumehuzunishwa sana na kauli ya Morrison tena mbele ya Jukwaa la Wiki ya Mwananchi. Kutuumbua kwa kusema hatuelewi anachoogea
  2. Kurunzi

    SENZO: Mimi Bado ni Mwananchi Sijaondoka Yanga kwa Ubaya, Akanusha kuchukizwa na Usajili wa Morrison

    #Kutoka_mwanasport Saa chache baada ya uongozi wa Yanga kutangaza kwamba aliyekuwa Ofisa Mtendaji wao Mkuu Senzo Mazingiza anaondoka mwenyewe ameibuka na kukanusha juu ya kuondoka kwake kuhusishwa na ujio wa mshambuliaji Bernard Morrison. Akizungumzia ishu ya kupishana mara mbili na kiungo...
  3. Teko Modise

    Morrison aanza kuwaendesha Yanga huko mtandaoni😂

    Admin wa mitandao ya kijamii ya Yanga ana kazi ya ziada msimu huu😆😆😆
  4. sky soldier

    Morrison kawapiga kanzu CEO wa Simba na wote walioamini kwamba kugomea release letter ndio kumzuia kucheza Yanga

    Hakika hii ni pumzi ya moto wanayohemewa Simba. Mwenye Nguvu mpishe tu. Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita. Walitaka kumkomoa Morrison kwa kumpunguzia mshahara na kumnyima release letter ila wakili msomi kawaumbua.
  5. P

    Yanga yatangaza kumrudisha Benard Morrison

    Haya ngoja tuone Mabingwa wa Tanzania Bara Dar Young Africans maarufu kama Yanga usiku huu wametangaza kumsajili tena mchezaji wao wa zamani Benard Morrison Morrison alikuwa ni mchezaji wa Yanga kabla ya kuhamia kwa watani wao Simba SC
  6. kavulata

    CEO wa Simba na Morrison nani anasema ukweli?

    CEO anasema Morrison ameomba mwenyewe aende nyumbani kwao akamalize matatizo ya nyumbani kwao lakini Morrison anasema hakuwa na matatizo ila alilazimishwa aondoke na CEO. Swali ni kama Morriso anasema ukweli ni kwanini CEO, Barbara audanganye umma kuhusu huyu mchezaji, je, kuna nini anakificha...
  7. BigTall

    Bernard Morrison arudi Dar, aomba jezi 100 za Simba ili aende nazo Ghana

    Andiko la Bernard Morrison: "Mara nyingi tunakatishwa tamaa na wale tunaowapenda na kuwaamini. lakini wacha nifanye hadithi yangu kuwa fupi na rahisi, nahitaji vipande 100 vya jezi za simba kutoka kwa mashabiki waaminifu ili zipewe marafiki na familia nchini Ghana. "Hii ni kutokana na nyinyi...
  8. M

    Yanga kumsajili Morrison ni kula matapishi yao na ni ishara ya kukubali udogo wao

    Morrison aliondoka Yanga kwa nyodo sana so to me kuona yanga leo wanamtaka tena kwa kweli ni ishara ya kukubali udogo wao dhidi ya simba . Simba wanachukua mchezaji kutoka Yanga akiwa kwenye top form wakati Yanga wanachukua walioachwa Simba . Timu kubwa haiwezi kuwa dhaifu kiasi hiki mchezaji...
  9. kavulata

    Simba wanaonesha utoto kwa Morrison na wachezaji wa kigeni

    Simba haionyeshi ukomavu kwenye soka hata baada ya kufikisha miaka zaidi ya 80 tangu kuanzishwa kwake. Kila mtu waliwasikia viongozi wa Simba wakimuaga na kumtakia kheri Morrison huko aendako wakimaanisha kuwa aende mbele kwa mbele huko hata kabla ya msimu kumalizika kuonyesha kuwa hawana kazi...
  10. Riz king

    Simba na viongozi Morrison mmekosea sana kumfukuza mrudishen game ya CCM Kirumba

    Nimeona uchezaji wa mawinga wa simba leo sio stubborn hata kidogo kwa game tough. Morrison katusaidia sana kuleta mivurugano kwa mabeki kwenye game za namna hii. Nawaombeni viongozi wetu tumrudishe dhidi ya Yanga ili mabeki wake wasikae na utulivu na ukizingatia Kirumba pitch yake sio smooth...
  11. N

    Al Hilal ya Sudan kumchukua Morrison na keeper wa Dodoma Jiji

    Bm 3 ana deals 2 moja kwenda sudan au saudi arabia na mshahara ni mkubwa sana ,tatizo ni kwamba kule starehe hakuna sijui kama ataweza. Kingine kikubwa ni kipa wa Dodoma jiji aitwaye Mohamed Yussuph ambaye yuko kwenye kiwango bora sana anahitajika huko sudan pia
  12. M

    Barua ya wazi kwa Bernard Morrison

    Salaam. Pole na majukumu ya Kila siku. Niende moja kwa moja kwenye ujumbe wangu: Bernard Morrison jifunze katika maisha KUOMBA MSAMAHA! Kuomba MSAMAHA si unyonge!! Bali ni utu!! Una kipaji kikubwa sana Cha soka lakini katika maisha umekuwa? ukiwakatisha tamaa wale ambao wangeweza kulea...
  13. GENTAMYCINE

    Tulioona mapema kuwa Bernard Morrison hatufai Simba SC na aachwe, ila 'tukatukanwa' na 'kudhihakiwa' Mitandaoni tuombwe Radhi tafadhali

    Binafsi naanza kusubiri Kuombwa Radhi zenu hizo kwani nilishaona Kitambo matatizo ya huyu Mchezaji, nikapaza sana Sauti hapa Jamiiforums kuwa aachwe mara moja na nikaishia Kutukanwa na Kudhihakiwa kama kawaida ya 'Mapopoma' wengi waliojazana. Ahsante Mwenyezi Mungu kwa Maono.
  14. Christopher Wallace

    Shabiki mwezangu wa Yanga unakubali Morrison kurudi Yanga?

    Benard Morrison ni kama Ex aliyeondoka kwa dharau sana na kila tulipokutana nae alitudhihaki. Je, unakubali kumpokea Morrison katika klabu yetu tena? Morrison anaenda kucheza nafasi ya nani?
  15. U

    News alert: Klabu ya Simba Yamtema rasmi Morrison

    Tafadhali fungua kiambatanisho chenye taarifa rasmi Kutoka Klabu ya Simba KaziIendelee Ubingwa kwa Wananchi uko palepale
  16. Suzy Elias

    Chama na Morrison wana mgogoro na Pablo....?!

    Chama nimemuona hapa maeneo ya Bridge Ndola anaendesha gari na kweli hata kwenye kikosi hayumo! Morrison naye pia hayupo?! Pablo anaihujumu Simba?! Nb; Simba ya makaratasi uwanjani leo.
  17. mugah di matheo

    Morrison agombana na shabiki wa Yanga, adaiwa kutumia kitu chenye ncha kali

    Dah,huyu jamaa
  18. Shark

    Barbara Gonzalez: Benard Morrison Haingii Afrika Kusini

    Mkurugenzi Mtendaji wa Simba Barbara Gonzalez amethibitisha kuwa kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Bernard Morrison hawezi kuingia ndani ya ardhi ya Afrika Kusini kutokana na kuwa na kizuizi cha kuingia nchini humo. Morrison kabla ya kujiunga na klabu za Yanga na Simba alishawahi kufanya kazi...
  19. GENTAMYCINE

    Ni matumaini yangu Uongozi wa Simba SC utaandaa Uongo wa kutuambia kwanini Bernard Morrison hatoenda South Africa tarehe 24 April, 2022

    Na GENTAMYCINE najua ili 'Kutuzuga' zaidi na Wawahadae Majuha (Mazuzu) wengi huyu Mchezaji ataambiwa ama ajifanye Kaumia Mechi yetu ya Kwanza na Orlando Pirates FC tarehe 17 April, 2022 au acheze Faulo apate Kadi Nyekundu ili sababu ya Yeye kutoenda Afrika Kusini katika Mechi ya marudiano na...
  20. Christopher Wallace

    Simba Sc 4-0 Us Gendarmerie | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium

    CAF: SIMBA YAIFUNGA GENDARMERIE 4-0, YAINGIA ROBO FAINALI Timu ya #Simba imefanikiwa kuingia Hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya US Gendarmerie kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, usiku wa Aprili 3, 2022. Matokeo hayo ya michuano hiyo...
Back
Top Bottom