mpanda

  1. Mnyuke Jr

    Msaada: Namna ya kufanya booking ya tiketi ya ndege kutoka Mpanda kwenda Dar

    Habari zenu wakuu Naomba msaada wa muongozo wa namna ya kubook online ticket ya ndege kutoka Mpanda to Dar es salaam kwa Air Tanzania Nina mpango wa kusafiri tar 18 mwezi huu na nina hitaji kubook ticket hiyo online ili nikimaliza shughuli zangu nitumie flight hiyo kurudi Dar JF Wajuaji...
  2. support wpn

    Tetesi: Tetemeko la ardhi Kigoma leo alfajiri

    Kuna tetemeko dogo limepiga Leo kigoma wilaya ya buhigwe alfajiri
  3. BilioneaPATIGOO

    Kampuni gani nzuri ya mabasi ya kwenda sehemu hizi?

    Mpanda au Katavi, tushirikishane kampuni gani ya basi zuri la kwenda mikoa/wilaya hizo kutokea mkoa wa Dar es Salaam. Natanguliza shukrani.
Back
Top Bottom