Ninakupongeza sana Mhe. Mpina kwa taarifa yako iliyo na ukweli ndani yake na kwa kweli umetufumbua maacho wananchi jinsi tunavyonyonywa na watu wachache wasio waaminifu.
(1) Sukari tunayouziwa wachache wameweka chao cha juu Tshs.1,000 kama alivyotamka Tundu Lissu.
(2) Kampuni za stationery...
Igweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote. Kwanza tuanze kwanini Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je, chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.
Awali ya yote ni lazima mjue Mpina sio wa anga hii wala sio wa type yao... mbaya kuliko yote ni moja ya watu...
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameelekeza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa madai ya utovu wa nidhamu.
Akitangaza uamuzi huo bungeni jijini Dodoma leo Jumanne, Juni 18, 2024 Dk Tulia amesema kuwa Mpina amedharau mamlaka ya Spika na Bunge...
Luhaga Mpina anazingumza na Waandishi wa Habari kuhusu kinachoendelea kati yake na Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuhusu hoja ya sukari ambayo ilianzia Bungeni.
======
Mpina asema wakati wa Mjadala wa kupisha makadirio ya mapato na matumizi aliagizwa na Spika wa Bunge kupeleka ushahidi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.