mr nice

  1. Kaka yake shetani

    Ugumu wa maisha umefanya MR nice kuwa freemasonry yeye na mwanzilishi wake

    kuna clip inaonyesha mr nice akiapishwa freemasonry na mwenzake alafu cha kushangaza soski za mikono wamepeana mmoja kabaki na kulia mwengine kabaki na ya kushoto. Mfuko wa wastaafu uboreshwe kusaidia huyu mwenye nyimbo za zamani kuku kapanda baiskeli.
  2. lugoda12

    Wadau wanakumbuka kweli mchango wa Mr. Nice kwenye kuikuza Bongo Flavour?

    Hivi watu wanakumbuka mchango wa huyu mwamba katika Entertainer ya bongo flavor au ndio kila mtu ale urefu wa kamba yake?! 😂 Wanamuita Lucas Mkenda au “Mr Nice” #Legendary
  3. Mshana Jr

    Kichekesho cha karne: Ibada ya kumuingiza Mr. Nice kwenye U Freemason

    Vyuma vikikaza sana watu huerevuka zaidi na kutafuta kila namna ya kutoka kimaisha ama la walau watoto waende chooni. Kuna werevu mbaya usio na baraka za mamlaka, huu huitwa utapeli na kuna werevu mbaya lakini wenye baraka za mamlaka, huu nao ni utapeli kama utapeli mwingine tuu lakini umepakwa...
Back
Top Bottom