Habari JF,
Baada ya uelekeo wa kubinafsishwa bandari yetu ya DSM, nimejaribu kuangalia kwa undani miaka 100 ni mingi kiasi gani.
1. Hivi unajua nchi tangu imepata uhuru na awamu zake sita zote hatujafikisha miaka 100?
2. Hivi unajua Baada ya Miaka 100 karibu binadamu wote tuliopo sasa...