Augustino Lyatonga Mrema (born 31 December 1944) is a Tanzanian politician and former minister for home affairs in Tanzania. After switching party affiliation in February 1995 he joined NCCR-Mageuzi before moving on to Tanzania Labour Party (TLP) where he was made the Party Chairman. He also served as the Member of Parliament for Vunjo constituency on multiple occasions until 2015 when he was defeated in the National election by ames Mbatia of NCCR MAGEUZI. In early 2016 Mrema was appointed by President John Joseph Pombe Magufuli as the chairperson of Tanzania Parole Board.Mrema is a member of the Chaga tribe from Kiraracha Village near Mount Kilimanjaro. He is the second of five siblings.
Naona unahamisha Magoli ! Kwamba mwenye tafsiri sahihi kwamba Maridhiano haya yana tija Kwa Taifa na jamii ni nani ?
Kwamba mwenye kuona faida ya maridhiano ni lazima awe diaspora?
Kwamba Maridhiano ya awali hayakuwa na tija ,nani mwenye kusikilizwa?
Haya mambo yafike mwisho Sasa ,kama...
Kuna haja Gani ya kungangania madaraka Kama umejenga chama na Mifumo imara kwa miaka 20
Nilifikiri angegombea Uraisi lakini pia hafai kabisa , Kama mkiti wa chama ameshindwa kujenga Mifumo ni nchi iliyojaa rasilimali Kibao
Aibu kwa watu tuliowaona wangemshauri wamekuwa machawa
Toka John Mrema ahitimu elimu ya Ualimu na kupata Gentlemen pass hajawahi kuwa na maisha nje ya Chadema au siasa.
Gari ya kwanza kumiliki Mbowe alimpa zawadi ya Nissan Safari ambayo ilikuwa Mali ya Chadema.
Kapata mke kupitia posho za chadema. Kajenga kupitia pesa ambazo anahongwa na Mbowe...
Habari za ndani ya kambi ya Lissu ni kwamba ameandaa orodha ya watu ambao yeye anawaita chawa wa Mwenyekiti, na kwamba amejiapiza kuwafuta kazi pale makao makuu.
Tetesi zinasema sababu kubwa ni kulipa kisasi cha rafiki yake Msigwa ambaye wakati wa uchaguzi wa Kanda alisikika akitoa milio ya...
Naomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama...
Nawapa kongole makada hawa wa Chadema kwa kutopenda siasa za vurugu na kutishia kumwaga damu. Sijawaona kabisa katika vurugu za juzi.
Ni yule mzee mwenye tamaa na uroho wa madaraka, cha ajabu hakuwa na viongozi wa chama, alikuwa na familia yake, yule binti Nicole, kama chama kina uongozi, kwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Hayo ni Maneno ya Mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Zamani wa Iringa Mjini. sina cha kuongeza wala siweki neno langu lolote lile zaidi ya kukuwekea Alichokiandika Mwenyewe.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa...
"Mzee Lowasa kuhamia kwake Chadema kulibadilisha kabisa mwelekeo wa siasa mwaka 2015 kwenye nchi hii, kwa sababu alikuwa ni mtu ambaye ana ushawishi mkubwa, jamii ilikuwa inamuelewa, na aliweza kusaidia mageuzi ya nchi hii mwaka 2015 kwa mara ya kwanza majiji yote makubwa yakaongozwa na Chadema"...
Enzi za utawala wa Mzee Ruksa bila kujua athari zake alimwachie Late Mrema madaraka makubwa kupitiliza.
Awamu ya Sita namwona Mama akirejea makosa yale yale ya kumwachia maradaka makubwa Bashite.
Nimekaa pale nawaangalia taratibu.Anachofanya Bashite ni kujijenga yeye binafsi na si chama.Ipo...
Mjane wa aliyekuwa mwanasiasa maarufu wa upinzani wa miaka mingi, Augustine Lyatonga Mrema leo amerejea CCM kwenye mkutano wa katibu mwenezi wa chama hicho, Paul Makonda. Doreen Mrema amekadhi kadi ya chama alichokuwa awali na kuchukua kadi ya CCM.
Naona kabisa SSH anaenda kujipatia Augustino Mrema wake kwa kupitia Makonda. Utaratibu wa Mrema hauna tofauti na wa Makonda, anajijenga yeye binafsi, baadae Sasa ataamini yeye ndio yeye.
Sasa itafikia muda anakuwa liability kwa CCM na Rais Samia sidhani kama ataweza kumdhibiti tena.
CCM bado...
Nafuatilia hawa wasemaji wa vyama kila mmoja ktk chama chake.
# Paul Makonda (CCM);
# John Mrema (CHADEMA); na
# Salim Bimani wa ACT Wazalendo.
Hivi kweli vingunge hawa hata mtoto asiyejua au kufuatilia mambo ya siasa unaona wanalingana uwezo?
Binafsi namwona Paul Makonda akiwaacha mbali sana...
Kisiasa Zitto ameshaingia kwenye njia wanayotumia wenzake kusafiri kuelekea uzeeni. Zitto wa ACT siyo yule wa CHADEMA.
Mwanzo alipoamua kuanzisha mapambano na CHadema akiongozana na Kitila Mkumbo nilidhani ameonewa kumbe alikuwa kwenye harakati zakubomoa chama kwa malengo ya kuwa chama kikuu...
Ushahidi wa kimazingira. Circumstantial evidence ni kuwa huu mkataba mbovu kuna watu wamekula rushwa.
Taifa letu linahitaji mashushushu kama hayati Lyatonda Mrema.
Leo hii tungejua kila mtu namna alivyohongwa na kuisaliti Tanganyika.
Naona tribute zimekuwa nyingi sana . Lakini mbona mnasahau ule upigaji kupitia ubalozi wa Libya?
Mrema alizuia dhahabu za taifa letu zisiibiwe.
Alisema siku saba majambazi wakabizi bunduki polizi na walikabidhi.
Tuwe wakweli juu ya mashujaa wa taifa letu
Jarida la TIME limetoa orodha ya Watu 100 Mashuhuri wenye ushawishi zaidi duniani ambapo katika orodha hiyo ametajwa Elizabeth ambaye ni Katibu Mtendaji wa Sekretarieti ya Mkataba wa Biolojia Anuwai wa Umoja wa Mataifa (UN).
Pia wametajwa, Waigizaji Michael B. Jordan, Shah Rukh Khan, Colin...
Uchaguzi wa kuziba nafasi ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, marehemu Augustine Mrema, umeshindwa kufanyika leo Machi 6, 2023 kwa kile kinachodaiwa kuwepo kwa viashiria vya rushwa, maelewano mabaya baina ya wagombea.
Machi 5 Halmashauri Kuu ya TLP ilipitisha majina ya wagombea watano...
Mkutano ulikuwa umeitishwa na chama cha siasa cha TLP maarufu kama majogoo leo kuwachagua viongozi wa juu ikiwemo mwenyekiti wa kitaifa umeshindwa kuchagua baada ya vurugu kuzuka kati ya makundi hasimu ndani ya chama hicho.
Polisi waliitwa kutuliza vurugu kisha pande hizo mbili zikakubaliana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.