msajili wa vyama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa ameupa Siku 7 Uongozi wa TLP kujibu madai ya ukiukwaji wa Katiba, Kanuni za Chama hicho

    Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, ameupa muda wa siku Saba Uongozi wa Chama cha Tanzania Labour Part (TLP), kutoa ufafanuzi wa madai ya ukiukwaji wa Katiba ,Kanuni za Chama hicho kikongwe cha Siasa Nchini kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa ofisini kwake na Wanachama wa Chama hicho Nchini...
  2. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Barua ya malalamiko kuhusu Uteuzi wa viongozi watendaji na wajumbe wa kamati kuu CHADEMA imewafikia Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

    Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imesema barua ya malalamiko kuhusu uteuzi wa viongozi watendaji wa juu na wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), iliyowasilishwa katika ofisi hiyo na kada wa chama hicho, imewafikia. Kanda huyo Lembrus Mchome, mjumbe wa Baraza...
  3. M

    Kumekucha ,Barua ya Mzee Mbowe yatua kwa msajili wa vyama

    Ofisi ya msajili wa Vyma vya siasa ,imesema barua ya malalamiko kubusu uteuzi wa viongozi watendaji wa juu na wajumbe wa kamati kuu ya CDM iliyowasilishwa katika ofisi na kama wa chama hicho,imewafikia. Ikumbukwe kwamba aliewasilisha barua ni CHAWA wa mzee Mbowe ambae anaitwa MCHOME.
  4. M

    Pre GE2025 Team Mbowe wajidhatiti kumkwamisha LISSU, wapinga uteuzi wa Wajumbe watano wa kamati kuu aloufanya Lissu, waandika Barua kwa msajili wa Vyama

    Katika kile kinachoonekana kuendelea kwa mivutano ya makundi ndani ya Chadema, kada mmoja wa chama hicho, amepinga uteuzi wa viongozi watendaji wa juu wa sekretarieti na wajumbe wa kamati kuu ya chama hicho uliofanywa na Mwenyekiti Tundu Lissu Januari 22, 2025, akidai umekiuka katiba ya chama...
  5. Wakusoma 12

    Msajili wa vyama vya siasa kwanini CCM hawakufata katiba ya chama chao kumpitisha mgombea Urais?

    NB. JK ameonekana rasimi ni adui wa Demokrasia nchini, aliamia kuchukua mamlaka ya kujimilikisha uenyekiti wa kikao na kutoa pendekezo la udikteta kwa kulazimisha kupitishwa majina ya wagombea Urais bila kufuata utaratibu wa chama. Hii maana yake ni kuwa chama kimekiuka miongozo ya katiba ya...
  6. Waufukweni

    Pre GE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa azomewa baada ya kutaja 4R za Samia kwenye Uchaguzi CHADEMA

    Msajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa nchini, Sixty Nyahoza, azomewa na umati wa watu baada ya kutaja 4R za Rais Samia kwenye uchaguzi wa CHADEMA. Uchaguzi huo unafanyika leo, Januari 21, 2025, Mlimani City kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho. Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA...
  7. chiembe

    Kwa kuzingatia hotuba ya Lemma leo, uchaguzi mkuu wa chadema utagubikwa na fujo na vurugu kubwa. Busara ya Msajili wa vyama inatakiwa kuusogeza mbele

    Hii ni tathmini yangu ya haraka haraka. Kuna fukuto kubwa sana na bifu kubwa sana kati ya wanachama na viongozi wa chadema. Natabiri vurugu kubwa sana ambayo kama Ubungo Plaza watakubali kuwapa ukumbi chadema, basi wajiandae kwa lolote litakalotokea, vinginevyo Chadema waweke dhamana ya fedha...
  8. chiembe

    Msajili wa vyama vya siasa asisite kusogeza mbele uchaguzi wa Chadema kama atapata taarifa za viashiria vya uvunjifu wa amani

    Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na...
  9. L

    TANZIA Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu, John Tendwa Afariki Dunia

    Ndugu zangu Watanzania, Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo. Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013. Amepigana vita iliyo...
  10. THE BIG SHOW

    Maaskofu matamko yenu yametosha sasa, ni muda umefika muende kwa Msajili wa Vyama vya Siasa mfungue chama chenu

    Friends and Our Enemies, Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili? Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi...
  11. Yoda

    Kwanini msajili wa vyama vya siasa huwa habadilishwi mara kwa mara?

    Tangu nimepata akili za kufuatilia siasa wasajili wa vyama vya siasa ninaowafahamu ni John Tendwa na huyu wa sasa Francis Mutungi, Sina kumbukumbu kama katika kipindi cha miaka 15 kumekuwa na wasajili wa vyama vya siasa zaidi ya hao wawili, lakini sijawahi kuona tengeua tengeua katika hiyo...
  12. Chachu Ombara

    Pre GE2025 Mahakama: Suala la CCM kutumia watoto kwenye Siasa lipo chini ya Mamlaka ya Msajili wa Vyama vya Siasa

    Mahakama: Suala la CCM kutumia watoto lipo chini ya Mamlaka ya Msajili wa Vyama vya Siasa Mahakama Kuu Masjala Kuu Dar es Salaam (sasa Masjala Ndogo), imejizuia kuamua kama ni halali au si halali kwa Chama cha Mapin duzi (CCM) kuwahusisha watoto wanaojulikana kama Chipukizi katika shughuli za...
  13. K

    Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ifanyiwe mabadiliko makubwa

    Ni wakati muafaka sasa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ifanyiwe mabadiliko makubwa. Viongozi wakuu katika ofisi hiyo wamekaa pale muda mrefu na wengine hata zaidi ya miaka kumi. Mara nyingi ofisi hii imelalalmikiwa na vyama vya upinzani na sasa kama itapendeza mabadiliko makubwa...
  14. J

    Je, Msajili wa Siasa ataichunguza Chadema dhidi ya madai ya Mtu mmoja Kufanya Maamuzi yote ya Chama?

    Kama tuhuma za mchungaji Msigwa Kwamba Mbowe Ndiye anaamua mambo yote ya Chadema basi hicho Siyo Chama cha Demokrasia bali Udikteta Je, msajili wa vyama vya Siasa ataichunguza Chadema pamoja na hesabu za matumizi ya Chama?
  15. Pascal Mayalla

    KMT Wiki Hii Msajili wa Vyama, Jaji Mutungi, Father Kitima, Balozi Amina Salum Ali, Ismail Jussa, Mjengwa, Selasini, Kibamba, Cheyo Waunguruma!.

    Wanabodi Ule mfufulizo wa kipindi cha KMT, kinaendelea Channel Ten kila siku za Jumapili saa 3:00 za usiku na marudio ni kila siku za Jumatano Saa 9:30 Alasiri. Kipindi cha Wiki Hii, Jumapili ya jana ni hiki https://youtu.be/cQiwZySjhsg?si=-4HRmye7ClGDrC0C Wazungumzaji ni 1...
  16. Cheology

    Sifa ya kuajiriwa tume ya uchaguzi, au msajili wa vyama vya siasa.

    Ndg zangu Nimesomea political science eneo la PSPA. Naomba kujua sifa gani kupata ajira tume ya uchaguzi. Najua kazi zao ni Majukumu 1. Kusajili vyama vya siasa na kuvifuta vile ambayo vimekiuka masharti ya usajili kw ujibu wa Sheria namba 5 ya mwaka 1992. 2. Kuratibu shughuli za Baraza la...
  17. Stephano Mgendanyi

    Kawaida atuma Salamu kwa Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini

    KOMREDI KAWAIDA, ATUMA SALAMU KWA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI, ASISITIZA KUMLINDA RAIS SAMIA NI JUKUMU LA VIJANA Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa Ndg. Mohammed Ali KAWAIDA (MCC) ametuma salamu kwa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini na kumtaka kuwachukulia hatua wale wote...
  18. Mpinzire

    Kuna atakayethubutu kuikemea Ofisi ya Msajili wa Vyama hasa Naibu mbele ya Rais hapo kesho?

    Wakati bado najiuliza nani ataenda kuiwakilisha NCCR Magaeuzi kwenye kikao cha viongozi wa vyama vya siasa na Mh Rais, ila bado napata swali mwenyewe! Hivi walivyo wanasiasa wetu kesho unatarajia nn? Kusifia tu na kuwa wapole ama watathubutu ata kukemea vitendo vya Naibu Msajili wa vyama vya...
  19. B

    MSAADA: Anwani ya Msajili wa Vyama vya Siasa

    Wanajamvi, tumejaribu kupiga simu zilizoainishwa kwenye tovuti ya Msajili wa vyama vya siasa hazipatikani, tumeandika email hazijibiwi, tafadhali tunaomba mwenye kufahamu ofisi ilipo kama Dodoma au Dar na eneo husika atusaidie pia kama unazo namba za simu mtusaidie. Tunahitaji huduma kutoka kwa...
  20. J

    Hayati Magufuli aliwapenda sana CHADEMA, vinginevyo angekifutilia mbali. Ila kwa sasa kinaweza kufutwa na Msajili wa Vyama

    Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali. CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya...
Back
Top Bottom