Kuna mwana, alizifuma text za mke wake zilizoonesha dhahiri shahiri ametoka kuliwa dodo siku za karibuni nyumba ya wageni, mwana kaomba kila mtu ushauri wengi walimpa ushauri kuwa asamehe walee watoto hayo mambo yapo blaa blaaa kibao.
Alipo fika kwangu sikua na maneno mengi nikamwambia piga...