mshana

Mshana was an entertainment magazine based in Cape Town (with an editorial office in Sandton) aimed at South African urban youth.

View More On Wikipedia.org
  1. DR HAYA LAND

    Mtu aliyekataa kumuhudumia Mzazi wake hadi anakufa, je, afanye nini ili laana imuepuke?

    Mtu aliyekataa kumuhudumia Mzazi wake hadi anakufa, je, afanye nini ili laana imuepuke? Mshana Jr Bujibuji Simba Nyamaume mchungaji Yaani Maisha ni hatari curse is real.
  2. sifi leo

    Familia ya Dkt. Rwakatare mtafuteni Mshana Jr wa JamiiForums haraka, ni ushauri wa bure!

    Enyi familia ya Dkt. Rwakatare nawashauri ushauri wa bure bure bure kabisa, mtafutieni mganga wa JamiiForums nchini Tanzania ndugu Mshana Jr awasaidie kumzindika ndugu yenu la sivyo nawambieni huyu Diwani hapotei hivi hivi. Mbona alikuwa hapotei mama yake akiwa hai? Mi nasema mtafuteni mshana...
  3. Nazjaz

    Mshana Jr, havumi lakini yumo

    Huyu kaka kajaaliwa kujua almost mambo mengi sana. Kila jukwaa hapa JF ana mchango wake mkubwa tu. Be blessed kaka Mshana Jr
  4. Kiranja Mkuu

    Ana kwa ana Bujibuji na Mshana Jr

    Nadhani hujabahatika kukutana na magwiji Hawa wawili wakiwa nje ya jukwaa letu pendwa. Jumamosi iliyopita nilibahatika kuonana nao mitaa ya Kasumulo wakijiandaa kuvuka mpaka kwenda Lilongwe, hakika ilikuwa ni shangwe Sana.
  5. BASIASI

    Mshana Jr mawazo yako.gm ya kesho kama uko hai mpwa

    Ntafurahi nikiona mawazo ya mpwa want HUyu kabla ya mechi Simba vs yanga Otherwise namtakiaaa mechi njema.kama n mpenzi waoujichanganya avae BARAKOA anawe mikono kabla ya kuzama vibandavyetu vile binafsi ntakuwa kimara bucha WAZEE wA bomoabomoa Njoooona SADAKA YA UKOMBOZI OKOA YANGA ISHINDE
  6. Jidu La Mabambasi

    Mkasa wa David Musyoka ni pure horror movie!

    David Musyoka ni Dereva wa Halmashauri huko Kenya, Kitui County. Siku kaamka vizuri tu na kaenda kazini, akatumwa sehemu kikazi naye kama kwaida kawasha gari akaingia barabarani. Mara akiwa barabarani anaendesha akaona watu wanashangaa ndege tai kashika nyoka. Yule ndege tai akamwachia nyoka...
  7. KAGAMEE

    Siasa na walimu wapya 2020, hajapewa hela ya kujikimu wala mshahara mwaka huu

    Hope kila mmoja ameshiba pilau. Bila kupoteza muda, naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la Uzi huu. Namshukuru Mungu mtoto wa baba yangu mkubwa ni moja ya kijana walibahatika kupata ajira ya ualimu mwaka huu(alikuwa mzigo), But alipangiwa mkoa wa mbali sana na tulipo hivyo baada ya...
  8. R

    Mshana Jr acha uongo wachawi hawaivi na aina ya maji na sio kila maji

    Ipo hivi wachawi hawapatani na baadhi ya aina za maji na sio kila maji, nitaelezea hapa chini. Maji ya mvua!!! Sote tunajua kuwa mvua analeta Mungu sasa maji ya mvua na uchawi ni balaa tupu haviivi hata kidogo na ndio maana kuna baadhi huenda angani kuzuia mvua isinyeshe. Maji ya bahari!!! Hii...
  9. 4

    Mr. Mshana popote ulipo, tafadhali saidia hili

    NDUGU Kwanza nikupe pole na majukum yako ya kila siku nami binafsi nasema asante mungu kwa kuendelea kunilinda na mpaka mda huu nipo wa buheri wa afya ya kutosha na naendelea na majukum yangu kila siku mkuu Dhumuni langu hasa kwa uzi huu kwako ni moja yahani kutaka ufafanuzi na ieleweke sio...
  10. muhubiri mpya

    Polisi wana ugomvi binafsi na chadema au wanatumika kisiasa?

    Habari za wakati huu wanajamvi, kwa muda mrefu nimekuwa nikijaribu kuangalia na kutazama mtifuano ambao umekuwa ukijitokeza mara kwa mara baina ya polisi na mahali wanapokuwapo viongozi wa chadema. Tukilejea matukio machache kuanzia maandamano ya wanachadema mwaka 2012 jijini Arusha, uvamizi wa...
  11. B

    Digba Sowey Vs Mshana Jr

    Kwa muda mrefu sasa hapa Jf kumekuwa na mpambano.mkali Sana wa hoja Kati ya digba sowey na Mshana Jr kuhusu masuala ya ulozi na Uchawi huku kila mmoja akijinasibu kuwa na ufahamu mkubwa kuhusu taaluma ya ulozi kuliko mwenzake. Tusiandikie mate wakati wino upo, Jesus is Here, John the...
  12. J

    Uganga wa Mshana Jr. unapofeli; Yanga 1 Simba 0

    Ama kwa uhakika mkuu Mshana jr leo umetuangusha bhana. Baada ya kukusoma katika ule uzi wa Bawacha pale Mlimani City kwamba leo Mnyama hapakatwi bali anauwa, si ndio nikaagiza bia zangu kusherehekea ushindi lakini yaliyojiri wewe mwenyewe umeyashuhudia. Kamanda mshana jr leo umeniangusha!
  13. kibla matata

    Nifanyeje niache tabia ya kujitenga na watu?

    Habari za mida hii wapendwa Mimi ni wa kwanza kuzaliwa katika familia ya watoto wawili. Katika makuzi yangu tokea Primary School nilikuwa naishi kwa style fulani ya kujitenga tenga na wenzangu. Ikafika kipindi wenzangu niliokuwa nikisoma nao shule wakawa wananiita mimi mchawi. Kwa mfano labda...
Back
Top Bottom