mshindi

On May 28, 2016, a three-year-old boy climbed into a gorilla enclosure at the Cincinnati Zoo and Botanical Garden and was grabbed and dragged by Harambe, a 17-year-old western lowland gorilla. Fearing for the boy's life, a zoo worker shot and killed Harambe. The incident was recorded on video and received broad international coverage and commentary, including controversy over the choice to kill Harambe. A number of primatologists and conservationists wrote later that the zoo had no other choice under the circumstances, and that it highlighted the danger of zoo animals near humans and the need for better standards of care.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Chris Brown amuomba msamaha Mshindi wa Tuzo ya GRAMMY, kutokana na post yake iliyohoji "Robert Glasper ni nani"?

    Chris Brown amemuomba msamaha Robert Glasper baada ya kumkashifu kufuatia kushindwa kwake katika uwaniaji wa Tuzo ya Grammy. Mwimbaji huyo wa "Under the Influence" ameweka picha Instagram ikiwa ujumbe wa moja kwa moja aliotuma kwa Glasper ambapo akimpongeza mwanamuziki huyo kwa kushinda Albamu...
  2. NetMaster

    Nakazia: Kombe hili mshindi atakuwa Simba, Yanga atapoteza mechi 2 na Simba atashinda zote zilizobaki

    Mechi 2 za mwisho atazocheza Yanga kule Mbeya dhidi ya Prisons na Mbeya city kuna moja ataangusha points zote. Siku ya Derby kuna maajabu yake, Believe that!!
  3. BARD AI

    Vikosi vya Morocco na Croatia vinavyoingia kuwania Mshindi wa 3 wa Kombe la Dunia 2022

    KIKOSI CHA MOROCCO Kikosi cha Kwanza Bounou; Hakimi, Dari, El Yamiq, Attiat-Allah; Amrabat, El Khannouss; Ziyech, Sabiri, Boufal; En-Nesyri. Benchi: Mohamedi, Tagnaouti, Aguerd, Saiss, Benoun, Ounahi, Chair, Amallah, Jabrane, Hamdallah, Zaroury, Aboukhlal, Ezzalzouli, Cheddira. KIKOSI CHA...
  4. Dong Jin

    Je, utabiri wa Pep Guadiola kuhusu mshindi wa Kombe la Dunia utaenda kutimia hapo Jumapili?

    Mnamo Oktoba Julian Alvarez alipohojiwa na waandishi wa habari, alisema: "Wachezaji wa Ureno na Rodri walikuwa wakizungumza kuhusu nani angeweza kushinda Kombe la Dunia. Walikuwa wakisema Ureno, Ufaransa, na mataifa mengine ya Ulaya. Kisha Pep [Guardiola] akasema, 'unajua nani ana nafasi nzuri...
  5. TECNO Tanzania

    Washindi wa wiki ya kwanza katika kampeni ya kila mechi ina mshindi

    Kampuni ya TECNO bado ina endelea na Kampeni yake ya kila mechi ina mshindi katika msimu huu wa kombe la dunia ambapo ili kushiriki unachotakiwa kufanya ni kupost picha ya mtu umpendae na ujumbe mzuri wa upendo kisha kuutuma kwa kutumia Hashtag #SambazaFuraha na kuTag account ya Kampuni kwenye...
  6. Moha Mfinanga

    Mshindi World Cup 2022

    Sina mengi karata yanagu natupa 1. Brazil 2. England 3. France Huu ni mtazamo wangu tusizungume sana tuupe muda wakati wa kuamua 😂😂😂😂😂😂
  7. JamiiForums

    Kulwa Masanja Isenge anyakua milioni 5 katika Shindano la 'Stories of change' 2022

    Baada ya takriban miezi 4 ya kusubiri kumjua atayejishindia zawadi ya andiko bora kwenye kinyang'anyiro cha storie of change 2022 siku imefika, leo ndio leo, washindi watatangazwa na kupewa zawadi zao. Mshindi wa Shindano la “JF Stories Of Change” atakayejinyakulia kitita cha Tsh. Milioni 5...
  8. Greatest Of All Time

    Hafla ya Tuzo za Ballon d'Or 2022 (Oktoba 17, 2022), Benzema ashinda Tuzo ya Ballon d’Or 2022

    Usiku wa leo, kwanzia saa 1:00 usiku kutakuwa na hafla ya ugawaji wa Tuzo za Ballon d'Or. Katika hafla hiyo, kutakuwa na mchezaji bora wa dunia kwa upande wa wanaume na upande wa wanawake. Vilevile, kutakuwa na tuzo ya golikipa bora wa mwaka, mshambuliaji bora wa mwaka na tuzo ya mchezaji bora...
  9. J

    Rais Samia atangazwa tena mshindi wa tuzo mbili za kimataifa

    Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan ametangazwa na Jumuiya ya Kimataifa ya Watetezi na Amani kuwa mshindi wa tuzo mbili za kimataifa ikiwemo ya amani duniani 2022. Tuzo nyingine aliyotangazwa kuwa mshindi ni Rais wa kwanza mwanamke barani Afrika kuipata ni tuzo ya Rais wa Dhahabu ya Malengo ya...
  10. Chachasteven

    Mfahamu mshindi wa Supa Diva 22 ya fiesta Sumbawanga

    Huyu hapa mshindi wa Supa Diva 22 inayosimamiwa na Fiesta kipindi cha kuendesha show za fiesta mikoani. Afichua siri ya mafanikio yake hadi kushinda. Full story:
  11. Dunia Mwalukasa

    SoC02 Wewe ni mshindi

    Wewe ni mshindi amka na Tumaini jipya Umaskini unaweza kukunyima vingi, lakini usikubali kujishushia thamani yako kwa sababu ya umaskini. Usione umechakaa, thamani yako iko palepale. Fanya kuiboost. Uchakavu wa noti hauondoi thamani yake. Kumbuka maskini ni tajiri asiyekuwa na pesa na utajiri...
  12. Jmushi91

    SoC02 Mshindi ni mimi na wewe leo

    Utajiri, pesa, umaarufu, vyeo, mamlaka, afya, chakula, mavazi, kazi, nyumba, magari, simu ya kisasa, unaweza kutaja mafanikio yoyote ambayo umepata. Hakika orodha haijaisha. Sasa nikuulize, ni mafanikio gani makubwa uliyoyapata maishani? Fikiria juu ya hili unapochimba chini kwenye hii...
  13. Mbaga Jr

    Kenya 2022 Uchaguzi wa Kenya: Mkutano wavurugika kwa fujo, watu wapigana

    Inasikitisha sana wakuu
  14. R

    Kenya 2022 Hivi na USA/Western Europe wana kwaya kama ninazoziona Kenya/Tanzania wakati wa kampeini za urais/kutangaza mshindi?

    Hivi na USA/Western Europe wana kwaya kama ninazoziona Kenya/Tanzania wakati wa kampeini za urais/kutangaza mshindi? Just for curiosity! Maana naona kqama hayo yamepitwa na wakati.
  15. Mu7

    Kenya 2022 Mshindi wa Urais Kenya kutangazwa saa 9:00 mchana

    Stay tuned
  16. Ghazwat

    CEO Barbara: Tumepokea simu nyingi baada ya Tuzo ya goli bora la CAF, klabu kadhaa zikimuhitaji Sakho

    Klabu ya Simba kupitia kwa Mtendaji Mkuu wao (CEO) Barbara Gonzalez, amethibitisha kuwa hadi kufikia sasa wamepokea simu nyingi sana kutoka klabu kadhaa zikiwemo vigogo wa Afrika Wydad na Raja, zikimuhitaji nyota Pape Ousmane Sakho ambaye jana usiku alitwaa Tuzo ya goli bora la CAF 2022...
  17. MSAGA SUMU

    Miss Nigeria 1957 akionesha zawadi yake ya mshindi wa kwanza

  18. TECNO Tanzania

    Tecno imekabidhi zawadi ya milioni 5 za kitanzania kwa mshindi wa promosheni ya spark 8c

    Kampuni ya simu ya TECNO imehitimisha rasmi promosheni ya simu ya SPARK 8C baada ya kukabidhi zawadi ya milioni 5 pesa taslimu za kitanzania kwa mshindi anayefahamika kwa jina la Mohammed Khatibu. Meneja mauzo TECNO...
  19. mugah di matheo

    Fundi Magari ashinda kitita cha Tsh. bilioni 1.2 sport pesa jackpot

    Leo imetusuliwa ngoja tusubiri maelezo zaidi
  20. britanicca

    Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

    Habari za wakuu hapa ni vema uzi uachwe kuonesha nani kapoteza kwa namna tofaut tofauti, Kuna Nyuzi nyingi Sana hapa ila huu utakuwa wa kitaalamu Na shuhuda nilizoshuhudiwa siyo kwa kusimuliwa Wengi wameeleza chanzo cha Vita hii ila kwa hapa naonesha Matokea tu 1. Mpaka sasa week Jana natoka...
Back
Top Bottom