Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.
Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
Jamaa wanasema wamefanya mauaji ya heshima kwa maana binti yao alikuwa amegeuka na kuwa kama "binti wa kimagharibi"
Mtapeli mwanadamu vyote, ila ukishamteka katika fikra na imani, basiiii, unamuibia hadi doti ya mwisho ya utu wake
Wadau mwenye Kujua ama kuelewa juu ya binti anayefaa Kwa Kazi Za ndani ama house girl umri 15-25 basi tuwasiliane.
Mahali Ni DAR Ila malipo ama mshahara Ni suala la maafikiano ya Pande mbili
Kwa mawasiliano nicheki Mie 0743699591
Ebwaana Eeh Kilichonikuta jana Kabla ya mkesha wa Xmass Ni balaa!
Kuna kimchepuko kimoja nilikipenda kutokana na kuwa ni kizuri sana na kina umbo zuri sana nikaona sio mbaya nikitongoze..
Mtoto yule nimemtongoza Ila akawa ananitolewa nje ooh Mimi nakupenda sana ila ningependa tuwe kama kaka na...
Ewe mwanamke
wewe msichana
wewe binti
Usipotambua thamani yako kama mwanamke, zitakazoathirika ni
1. sehemu zako za siri
2. utu wako
3. saikolojia yako juu ya wanaume
4. afya ya akili yako
nakusahuri, jitambue, jielewe jua thamani yako, jua wewe ndio the price sio mwanaume
natoa darasa la...
Hizi habari za jana,
Mama mmoja Pemba analalamika kwamba mtoto wake, Hamida, anayesoma darasa la kwanza amebakwa na Askari Polisi, Godfrey huko Pemba
Anasema yeye anakaa Police Quarter huko Pemba na huyo Askari ni jirani yake na usiku alikuwa anamfuata yule mtoto na kumbaka kwa sababu mtoto...
Marcus Fakana, kijana wa miaka 18 kutoka Tottenham, London Kaskazini, amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja gerezani huko Dubai baada ya kufanya mapenzi na msichana wa London mwenye umri wa miaka 18.
Kwa mujibu wa taarifa, wawili hao walikutana wakati wa likizo wakiwa na familia zao. Msichana...
Huyu binti alikuwa ni mpenzi wa rafiki yangu,sijui walizinguana nini,saa nne usiku akanipigia simu kuwa amezinguana na rafiki yangu yaani mpenzi wake na hajui atalala wapi hana hata mia mbovu
Nikamwambia njoo ulale kwangu,usiku mrefu ndugu zanguni,nilikuwa naishi kighetogheto chumba kimoja...
Habarini wana jamvi,
Nimeona hii niulize kwenu na nitatumia mfano mmoja ulionikuta.
Kwanza kabisa kipindi sijao, enzi hizo nina ubrothermen mwingi sana siku hizi nishazeeka japo under 40, nilipita sana na wadada ila nimegundua nilikuwa nachukua Bar, kwenye clubs na sehemu za chakula so it was...
Mwali ni msichana ambae hajaguswa
Ukimpiga ziwa lake ni gumu kama skonsi
Huyo ndio mwali wa kike
Mwali wa kiume ni nani?
Mwali wa kiume ni mwanaume ambae bado hajaguswa
Hata ukimwuliza gololi zako zinaoshwa na mchanga, maji, maziwa au maji ya ndimu, atakujibu ndio nini!
Kwako wewe tujuze...
Kupitia ukurasa wao wa X, Jeshi la Polisi Tanzania, wametoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa kuhusu binti aliyefanyiwa ukatili Yombo kuwa amekufa, na kusema taarifa hiyo ni uzushi usiokuwa na utu na ubinadamu ndani yake, na kwamba binti huyo yupo salama salimini.
Pia soma: Watuhumiwa wa...
Umri wake ni miaka 26 na jina lake linaanzia na herufi H.
Wakati naenda kukutana nae kwa mara ya kwanza I thought my friend was joking with me. Kwa sifa alizo kuwa anampa kwa sababu alikuwa anampa sifa ambazo tumezoea kuzisikia kutoka kwa wasichana wa kimwera, wayao, WAMAKONDE, wadigo etc...
Dogo amefanya ushawishi Mkubwa sana kwenye WBNA kiasi ambacho amekuwa kivutio cha watu wengi sana.
Hivi karibuni amechaguliwa kwenye all stars ya WBNA, licha ya mafanikio aliweza kuwashukuru wote waliofanikisha ndoto zake kutImiza.
Angelreese ana kiimo flani amazing Akiwa ndani ya uwanja...
Nilikua nikisikia kwamba msichana akikeketwa (genital mutilation) huwa hisia zinapungua na kusababisha atulie na mpenzi 1 ebhana kipindi nipo home tulipata mpangaji wa kirangi kutoka kondoa tena yupo single amekeketwa
Basi nikawa namega kisela kama nimeoa mwisho wa siku yakanishinda demu...
Kwema wakuu, kama mada inavojieleza kuna mdada nilikutananae wiki iliyopita kwa kifupi nilimwelewa nikamwomba namba akanipa tukayajenga fresh akakubali baada ya hapo nikaomba nionane nae sehemu mida ya jioni nikamnunulia nyama za kuku nikatoa noti ya af10 nikalipa. sasa yule demu baada ya kuiona...
Wavulana wana balehe miaka 14 na kuendelea japo mikoa ya Pwani hasa Tanga, Dar es salaam, Pwani, Mtwara na Lindi wananza ngono kabla ya baalehe tofauti na mikoa yenye maadili na mafunzo ya kaskazini na kanda ya kati na kanda ya ziwa.
Sasa , kijana wewe ulimpa msicha mimba ukiwa na umri gani na...
Kwema wakuu,
Katika pitapita zangu nimekutana na mdada fulani mrembo basi bhana nikaomba nikapewa sasa baada yakufika maskani nikamcheki tumechat jana na leo nikajaribu kutupia ndoano imo sasa katika maongezi kanichana ana mtu wake ila kanikubalia. Hii imekaaje wakuu sema kweli pisi nimeielewa...
Wakuu hii imenitokea mimi. Kuna manzi niliona ni wife material ikabidi nimtokee. Hakunizungusha sana kunikubali ila changamoto ikaja kwenye kumtafuna. Kwa muda mrefu binti alikuwa anakataa katakata kufanya mapenzi kiasi kwamba tukawa tunaishia mabusu na mambo mengine madogo madogo. Alikuwa...
Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa.
Ndio kwanza namaliza chuo sifaham majukumu ni nini. Hili swala linanipa mawazo Hadi nashindwa ku focus na masomo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.